Nuru FM

TRA Iringa yazindua dawati la uwezeshaji biashara

13 September 2025, 9:04 am

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Kheri James akizindua Dawati la Uwekezaji. Picha na Ayoub Chacha

Dawati hilo lina lengo la kuboresha uhusiano kati ya TRA na wafanyabiashara.

Na Adelphina Kutika

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Iringa imezindua Dawati Maalumu la Uwezeshaji Biashara, hatua inayolenga kuboresha mahusiano kati ya serikali na wafanyabiashara sambamba na kuimarisha utamaduni wa ulipaji kodi kwa hiari.

MWANAHABARI WETU AZORY OREMA AMETUANDALIA UNDANI WA TAARIFA HII