Nuru FM

Bil 29 zatekeleza miradi ya elimu MUCE

1 September 2025, 11:58 am

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Kheri James akikagua maendeleo ya Miradi ya elimu chuo cha Muce. Picha na Ayoub Sanga

Miradi hiyo inalenga kuongeza fursa na ubora wa elimu kwa wanafunzi wote hapa nchini.

Na Ayoub Sanga

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mheshimiwa Kheri James, amefanya ziara katika Chuo Kishiriki cha Mkwawa kilichopo Manispaa ya Iengo ikiwa ni kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali yenye thamani ya takribani shilingi bilioni 29.

MWANAHABARI WETU NURU JOHN AMETUANDALIA TAARIFA KAMILI…………….

MWISHO