Nuru FM

Wafanyabiashara wa Mashine tatu wapelekwa Mlandege

18 July 2025, 11:01 am

Wafanyabiashara wakiwa katika eneo la Mlandege. Picha na Ayoub Sanga

Zoezi hilo limefanyika katika soko la Machinga lililopo eneo la Mlandege, likihusisha Umoja wa wafanyabiashara , idara ya masoko, maendeleo ya jamii na ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa.

Na Godfrey Mengele

Serikali ya Manispaa ya Iringa kwa kushirikiana na uongozi wa Umoja wa Wafanyabiashara imefanya zoezi la kuwagawia maeneo ya mbadala ya biashara kwa wafanyabiashara waliopoteza mali zao katika janga la moto lililotokea usiku wa kuamkia Julai 12 katika soko la Mashine Tatu, Iringa Mjini.

Mwanahabari wetu Godfrey Mengele ametuandalia taarifa kamili…….