Mpanda FM
Mpanda FM
18 December 2023, 3:18 pm
Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji Ewura imesema inahakikisha mtumiaji anapata huduma bora za maji ,umeme, petroli na gesi asilia. Na Lilian Vincent – KATAVI Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji Ewura imesema moja…
16 December 2023, 5:23 pm
Kufuatia agizo la manispaa ya Mpanda ambalo linazuia kulima mazao marefu katikati ya makazi ya watu zoezi la kufyeka mazao Kwa ambao walikaidi agizo hilolimeendelea. Na Mwandishi wetu – Mpanda Kufuatia agizo la manispaa ya Mpanda ambalo linazuia kulima mazao…
16 December 2023, 12:15 am
Wananchi mkoani Katavi watoa maoni juu ya madhara ya kuvaa miwani bila kuzingatia ushauri wa madktari wa macho. Na Lilian Vincent – Katavi Wananchi Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa maoni juu ya madhara yanayoweza kumpata mtu anaevaa miwani bila…
15 December 2023, 3:59 pm
Mbunge wa jimbo la Mpanda mjini Sebastiani Kapufi afanya ziara kukagua miradi ya maendeleo iliyopo katika jimbo lake. Na Deus Daud – Mpanda Mbunge wa jimbo la Mpanda mjini Sebastiani Kapufi amefanya ziara kukagua miradi ya maendeleo iliyopo katika jimbo lake…
15 December 2023, 2:40 pm
Serikali yachangia shilingi milioni 14 kwa ajili ya matundu ya vyoo shule ya Msingi Msasani. Na Gladness Richard – Mpanda Kufuatia ujenzi unaoendelea Wa shule ya Msingi Msasani Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi Serikali imechangia shilingi milioni 14 kwa ajili…
15 December 2023, 2:23 pm
Wananchi Katavi washauriwa kuweka mazingira katika hali ya usafi ili kutokomeza mazalia ya mbu. Na Leah Kamala – Mpanda Wananchi Maanispaa ya Mpanda mkoani Katavi Katavi wameshauriwa kuweka mazingira katika hali ya usafi ili kutokomeza mazalia ya mbu katika msimu huu…
12 December 2023, 10:11 pm
Picha na Mtandao Mfumo huo utasaidia katika ukusanyaji mapato kwa kuwa wateja watalipia bili za huduma ya maji kwa njia ya simu na fedha hizo kuingia katika mfumo wa malipo ya serikali. Na Betord Benjamini- Katavi Wakala wa Maji na…
12 December 2023, 10:10 am
Picha na Site Tv Daraja hilo limegharimu kiasi cha Shilingi Bilioni 4.8 Na Betord Benjamini-Katavi Daraja la Msadya lenye urefu wa Mita 60 lilipo katika halmashauri ya Mlele mkoani Katavi limekamilika na limeanza kutoa huduma kwa wananchi. Akizungumza Meneja wa…
6 December 2023, 9:51 am
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi ACP Kaster Ngonyani .Picha na Gladness Richard Jeshi la polisi limewatia mbaroni watuhumiwa wakiwa na lita 135 na mtambo wa kutengenezea pombe ya Moshi huku watu 17 wakikamatwa wakiwa na pombe haramu…
4 December 2023, 11:06 am
Picha na Mtandao Asilimia 5.4% ya wananchi mkoani Katavi wana maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU). Na Gladness Richard-Katavi Imeelezwa kuwa Kati ya Watu 100 Mmoja kati yao ana Maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi Mkoani Katavi. Takwimu hizo Zimetolewa na…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
