Recent posts
6 April 2023, 9:50 am
Wanafunzi 45 Waliokatishwa Masomo Wasajiliwa Kufanya Mtihani Kashato TRC
MPANDA Jumla ya wanafunzi wa kike 45 walio katishwa masomo kwa sababu mbalimbali wamesajiliwa kufanya mitihani ya kidato cha pili na cha nne katika kituo cha Kashato TRC ambapo wakidato cha pili ni 32 na kidato cha nne ni 13.…
6 April 2023, 9:18 am
Kamati ya PETS Yabaini Madudu Shule za Msingi Nsimbo
NSIMBO Kamati ya ufuatiliaji wa matumizi ya fedha za umma katika shule za msingi (PETS) halmashauri ya Nsimbo imebaini uwepo wa uchakavu wa miundombinu,ukosefu wa vyoo mashuleni na uhaba wa walimu. Akisoma taarifa ya Awali wakati akiwasilisha taarifa ya Mrejesho…
6 April 2023, 8:46 am
Serikali Kutatua Mgogoro wa Kagera Group Dhidi ya Wanakijiji Dirifu
MPANDA Serikali imehaidi kutatua mgogoro uliopo kati ya bodi ya kagera group na wanakijiji wa dirifu kata ya magamba ,manispaa ya mpanda mkoani katavi. Hayo yamesemwa na katibu tawala wa manispaa ya Mpanda Kenneth Pesambili akimwakilisha mkuu wa wilaya ya…
6 April 2023, 8:36 am
Kamati ya Shule za Msingi Imetakiwa Kufatilia Miradi Katika Shule za Msingi
MPANDA Kamati za shule za msingi katika halmashuri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi zimetakiwa kuhakikisha zinafuatilia miradi inayofanyika katika shule za msingi. Hayo yamezungumzwa na kaimu afsa elimu msingi wa halmashuri ya manispaa ya Mpanda Victor Mwakajumlwa katika semina…
4 April 2023, 5:55 am
Wananchi Makongolo Walia na Ukosefu wa Maji
MPANDA Wananchi wa kijiji cha Makongolo kata ya magamba halamshauri ya manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameulalamikia uongozi wa kijiji hicho kwa kushindwa kutatua changamoto ya maji ambayo imekuwa kikwazo katika shughuli zao za kila siku. Wakizungumza na kituo hiki…
4 April 2023, 5:53 am
Wananchi Mpanda Watoa Maoni Mseto Juu ya Damuchafu
MPANDA Baadhi Ya wananchi wa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wametoa maoni mseto juu ya wimbi lililoibuka la watu wanaofanya matukio ya kupora na kuiba mitaani maarufu kama Damu Chafu. Wameyasema hayo kwa nyakati tofauti wakati wakizungumza na kituo hiki…
4 April 2023, 5:51 am
Mtoto wa Siku 14 Atelekezwa Mlangoni
KATAVI Mtoto mchanga anayekadiriwa kuwa na umri wa siku 14 amekutwa ametupwa kwenye mlango wa nyumba ya Jenifa Donald mkazi wa Tambukareli mtaa wa Shauritanga Manispaa ya Mpanda. Mashuhuda wa tukio hilo wakizungumza na Mpanda radio wamebainisha kuwa mtoto huyo…
4 April 2023, 5:49 am
Wananchi Kayenze Walia Ucheleweshwaji wa Mradi wa Maji
KATAVI Wananchi wa Kayenze kata ya Katuma Wilayani Tanganyika Mkoani Katavi wameiomba serikali kumhimiza mkandarasi anayejenga mradi wa maji kukamilisha mradi kwa wakati. Wananchi Kwa nyakati Tofauti wameiambia Mpanda radio kuwa kumekuwa na adha kubwa ya upatikanaji wa maji safi…
31 March 2023, 1:31 pm
Mikopo ya Asilimia 10 Yaendelea Kutolewa Nsimbo
NSIMBO Wanawake,vijana na watu wenye ulemavu kutoka katika halmashauli ya nsimbo mkoani Katavi wameendelea kunufaika na mikopo ya 10% ambayo inatolewa katika halmashauri hiyo. Akisoma taarifa ya utowaji wamikopo afisa maendeleo kutoka katika halmashauli ya nsimbo Lucy Kagine amesema kuwa…
30 March 2023, 3:38 pm
Wananchi Tanganyika Waomba Elimu ya Afya ya Meno na Kinywa
KATAVI Baadhi ya wananchi wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi wameomba kupatiwa elimu ya afya ya kinywa na meno kabla ya kupata athari. Wakizungumza na Mpanda radio Fm wamekiri kupata huduma bora ya afya ya meno huku wakiomba serikali kutoa elimu…