

11 July 2022, 8:24 am
Dereva wa basi la shule, Odunsa Mandala anashikiliwa na Polisi baada ya wanafunzi wawili kufariki huku wengine wakizimia kutokana na kukosa hewa katika basi lao la shule eneo la Aguda katika jimbo la Lagos. Mandala, alikuwa akiendesha basi kuwarudisha wanafunzi…
11 July 2022, 8:02 am
Taasisi ya Raising Up Friendship Foundation (RUFFO) imeitaka jamii kwa kushirikiana na wadau mbalimbali kuwa na utamaduni wa kuwasaidia wanafunzi taulo za kike jambo ambalo litawasaidia kukabiliana na dharura wakati wa kuapata hedhi wakiwa shuleni. Imeelezwa kuwa baadhi ya watoto…
8 July 2022, 7:29 am
CHAMA cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Ilala kimepata pigo kufuatia Diwani wake wa Kata ya Mahohe Mohamed Ngonde, kufariki leo alfajili Akizungumza kwa njia ya simu Katibu wa Madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Busoro Pazi, alisema…
4 July 2022, 4:19 pm
Nyumba inayojengwa kwa familia ya watu watatu wenye ulemavu katika kijiji cha Lulanzi Kilichopo Kata ya Mititu Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa imefikia hatua ya kupigwa plasta, kuwekwa milango na madirisha. Akizungumza na Nuru fm kuhusu maendeleo ya ujenzi huo,…
4 July 2022, 3:52 pm
Serikali imefanikiwa kujenga vyuo kadhaa ambapo kuna vyuo takribani 43 vya VETA ambavyo vinafanya kazi lakini pia kuna vyuo 39 ambavyo vinajengwa na ifikapo mwezi Julai mwishoni kutakuwa na Vyuo takribani 78 vya VETA nchini. Ameyasema hayo leo Julai 4,2022…
4 July 2022, 3:49 pm
KLABU ya Azam FC imeendelea kujiimarisha kuelekea msimu ujao baada ya kumsajili Mfungaji Bora wa Azam Sports Federation Cup (ASFC), Abdul Hamisi Suleiman ‘Sopu’ kutoka Coastal Union kwa mkataba wa miaka mitatu. Sopu anakuwa mchezaji mpya wa nne na wa…
4 July 2022, 3:44 pm
KIUNGO wa zamani wa Simba,Bernard Morrison ameweka wazi kuwa ambacho anakipenda na atakikumbuka kutoka kwa viongozi na mashabiki wa Simba ni upendo hivyo anaomba uendelee daima. Kwa sasa kiungo huyo amerejea ndani ya Yanga aliyokuwa akiichezea zamani kabla ya kuwafunga…
4 July 2022, 3:40 pm
KAMATI ya Uchaguzi ya Yanga imeitudisha nyuma kwa siku moja Uchaguzi Mkuu wa klabu hiyo kutoka Julai 10 hadi 9, mwaka huu. Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Yanga, Malangwe Mchungahela amesema sababu za kurudisha nyuma uchaguzi huo ni kupisha…
24 June 2022, 8:00 am
TUME ya Taifa Sayansi na Teknolojia ( COSTECH), imetoa zaidi ya sh milioni 400 kwa ajili ya Miradi miwili mojawapo ukiwa wa Uandaaji wa Lishe Bora ya Gharama Nafuu kwa Unenepeshaji Ng’ombe nchini. Aidha Mradi mwingine ni ukarabati wa maabara…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.