Nuru FM
Nuru FM
26 May 2023, 9:52 am
Na Frank Leonard Madiwani watano na watendaji zaidi ya 10 wamezuiwa kwa zaidi ya saa mbili kuingia katika kikao cha Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Iringa kama adhabu baada ya kuchelewa kwenye kikao hicho kilichokuwa kimepangwa kuanza saa 2:00…
24 May 2023, 2:08 pm
Na Hafidh Ally Shirika la Sustainable Youth Development Partnership (SYDP) linaloratibu mbio zilizopewa jina la Great Ruaha Marathon 2023 zitakazofanyika katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha mkoani Iringa, tarehe 8 Julai mwaka huu limeanza kufanya zoezi la usajili wa washiriki. Mbio…
23 May 2023, 5:44 pm
Na Frank Leonard Madereva bajaji 132 wa mjini Iringa wameanza mafunzo ya udereva yatakayowawezesha kupata leseni za kuendesha vyombo hivyo vya moto baada ya mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa Daudi Yassin kuahidi kubeba gharama zake. Mafunzo…
22 May 2023, 8:33 pm
Na Mwandishi wetu Madiwani wa halmashauri ya manispaa ya Iringa kwa kushirikiana na kampuni ya ASAS DAIRIES wametoa msaada kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum wa shule ya msingi Katumba II iliyopo wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya. Madiwani wamekabidhi zawadi kadhaa…
20 May 2023, 1:32 pm
Na Hafidh Ally Waandishi wa habari mkoani Iringa wamehudhuria Bunge la 12, Mkutano wa 11 Kikao cha 29 cha Bunge la Bajeti kusikiliza Upitishwaji wa Bajeti ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari. Wanahabari hao wamefika bungeni kwa…
17 May 2023, 3:37 pm
Na Ansgary Kimendo Mwili wa mtoto mchanga anayekadiriwa kuwa na miezi tisa umekutwa ndani ya mfuko katika dampo lililopo eneo la kihesa sokoni kata ya Kihesa manispaa ya Iringa asubuhi ya leo. Wakizungumza kwa masikitiko baadhi ya wakazi wa eneo…
16 May 2023, 10:35 am
Na Hafidh Ally Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa iringa Dkt. Ritta Kabati ameiomba serikali kutenga fedha za kukarabati barabara ya Dodoma-Iringa katika mlima Nyang’oro. Kabati ameyasema hayo bungeni jijini Dodoma katika kipindi cha maswali na majibu huku akihoji ni…
15 May 2023, 1:16 pm
Na Hafidh Ally Mdau wa maendeleo Elia Kitomo amekabidhi mashine ya kuprint na kutoa copy katika shule ya msingi Nyamihuu ili iwasaidie katika shughuli za Kitaaluma. Akizungumza wakati wa kukabidhi mashine hiyo, Elias Kitomo ambaye ni Mkurugenzi wa Kitomo Hardware…
11 May 2023, 11:21 am
Na Hafidh Ally Mbunge Viti Maalumu Mkoa wa Iringa Dkt Ritta Kabati ameibana serikali kujua mkakati wa kusambaza gesi kwa wananchi wote hapa nchini ili waweze kunufaika na rasilimali hiyo. Kabati ametoa hoja hiyo katika kipindi cha maswali na majibu…
11 May 2023, 10:50 am
Na Fabiola Bosco Mashindano ya mbio za magari yanayofahamika kwa jina la CMC Automobile Sao Hill Forest Rally of Iringa yanatarajiwa kuanza tarehe 13 mwezi wa tano katika Misitu ya asili Sao Hill . Kwa mujibu wa mwandaaji mkuu wa…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.