Nuru FM
Nuru FM
3 April 2023, 2:57 pm
Viongozi wa Kimila Mkoani Iringa wametajwa kuwa sababu ya wananchi kujitokeza kupata chanzo ya Uviko-19. Na Ashura Godwin Wananchi Mkoani Iringa wameanza kuwa na mwamko wa kupata chanjo ya uviko-19 baada ya kupata elimu na hamasa kutoka kwa viongozi wa…
30 March 2023, 12:26 pm
Ni muhimu kwa jamii kupata dozi mbili za chanjo ya Uviko-19 ili kukabiliana na Maambukizi mapya ya Virusi vya Corona. Na Ashura Godwin Idara ya Afya mkoa wa Iringa imewataka wananchi kujitokeza katika vituo vya afya ili kupata na kukamilisha…
29 March 2023, 8:05 pm
Elimu ya Uhifadhi inayotolewa na wahifadhi katika maeneo yanayozunguka hifadhi ya taifa ya Ruaha imesaidia wananchi kusalimisha silaha wanazotumia kufanya ujangili. Na Vitor Meena Hifadhi ya Taifa ya Ruaha Mkoani Iringa, imeendelea na ziara ya kuzungukia Vijiji vinavyozunguka hifadhi hiyo…
29 March 2023, 7:55 pm
Deni la Serikali kufikia June 30,2022 lilikuwa Tsh. Trilioni 71.31 ikilinganishwa na Tsh. Trilioni 64.52 Na Mwandishi wetu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali – CAG, Charles Kichere amesema hadi kufikia Juni 30, 2022 deni la Serikali lilikuwa…
28 March 2023, 12:17 pm
Liston Dugange mkazi wa Kijiji cha Mtambula Wilayani Mufindi ahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa mauaji ya kukusudia dhidi ya Emmanuel Mbigi. Na Mwandishi wetu Mahakama Kuu Kanda ya Iringa iliyoketi Wilayani Mufindi imetoa adhabu ya kunyongwa hadi kufa Liston Dugange…
27 March 2023, 2:08 pm
27 March 2023, 12:52 pm
Watoto 172 mkoani Iringa wamekabidhiwa bima za afya ili kuweza kumudu matibabu pindi wanapokabiliwa na magonjwa. Na Adelphina Kutika. Taasisi isiyo ya kiserikali ya Rounding Hands to Save Community na Makutano TV kwa kushirikiana na Chuo Kikuu Huria cha Iringa na Hidaya Catering…
22 March 2023, 9:22 am
Miradi inayotekelezwa Mkoani Iringa na serikali ni pamoja na miradi ya afya na Kilimo. Na Adelphina Kutika Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa Iringa kimeendelea kutekeleza miradi ya maendeleo nchini ikiwemo sekta ya afya na kilimo. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa…
22 March 2023, 9:09 am
Katika kukabiliana na matukio ya ukatili katika jamii, usiri umetajwa kusababisha matukio hayo kukithiri. Na fabiola Bosco Usiri ndani ya familia umetajwa kuwa sababu ya ongezeko la vitendo vya ukatili wa kingono na vipigo kwa watoto mkoani Iringa licha ya…
19 March 2023, 7:19 pm
Mbio za Great Ruaha Utalii Marathon zinatarajia kufanyika Julai 8, 2023 kwa kushirikisha wakimbiaji zaidi ya 600 wakiwemo watalii kutoka nje ya nchi. Na Hafidh Ally SHIRIKA la Sustainable Youth Development Partnership (SYDP) linatarajia kuratibu shindano la mbio za marathon…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.