Nuru FM
Nuru FM
7 March 2024, 4:30 pm
Yara kuja na Mkakati wa kutoa mafunzo kwa wakulima yenye lengo la kuongeza usalishaji. Na Adelphina Kutika Kampuni ya Yara Tanzania imeanzisha kituo Cha Mafunzo ambacho kitakuwa kikihusika na kuibua tija ya wakulima na kuchangia kilimo endelevu kwa Mkoa wa…
7 March 2024, 4:10 pm
Utaratibu wa wazazi kwenda na watoto Vilabuni chanzo Cha ongezeko la Ukatili dhidi ya watoto Mkoani Iringa. Na Joyce Buganda Mkuu wa Dawati la jinsia na watoto Mkoa wa Iringa Mkaguzi wa Polisi, Elizabeth Swai amewaasa Wanawake kuacha tabia ya…
7 March 2024, 3:29 pm
Licha ya Viongozi Kutoa ahadi kuhusu ukarabati wa Soko hilo lakini utekelezaji wake umekuwa Mgumu. Na Godfrey Mengele Wafanyabiashara wa soko la Kihesa maarufu kama kihesa sokoni lililopo halmashauri ya Manispaa ya Iringa wameitaka serikali kuwajengea soko lenye hadhi ya…
7 March 2024, 2:55 pm
Wananchi wa Kijiji cha Mawambala Kilichopo Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa wanatumia maji ya kisima yanayohatarisha afya zao. Na Hafidh Ally
7 March 2024, 10:09 am
Mafunzo ya kuwajengea uwezo wanahabari ili waweze kuandaa maudhui bora mtandaoni hasa kupitia radio portal. Na Hafidh Ally Waandishi wa habari kutoka radio jamii zilizopo chini ya mtandao wa TADIO wamepewa mafunzo ya namna ya kuchapisha na kutuma maudhui kupitia…
5 March 2024, 8:40 pm
Na Mwandishi wetu Wawekezaji wameshauriwa kujitokeza kwa wingi kuwekeza katika usafiri wa reli hapa nchini. Wito huo umetolewa mkoani Mwanza na Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile ambaye ni Mbunge wa Mufindi Kusini wakati alipokuwa akizindua jukwaa la uwekezaji la…
5 March 2024, 8:57 am
Na Hafidh Ally Mkoa wa Iringa umeunda kamati ndogo itakayofanya kazi siku saba kushughulikia ombi la wafanyabiashara wadogo maarufu wamachinga la kuwaruhusu wanawake kufanya shughuli zao katika eneo la mashine tatu muda wa jioni. Mkuu wa mkoa huo Halima Dendego…
4 March 2024, 12:24 pm
Licha ya takwimu kuonesha kuwa hali ya udumavu nchini imepungua hadi kufikia asilimia 30 mwaka 2022, bado mikoa ya Iringa na Njombe ina hali ya udumavu wa kutisha. Na Frank Leonard Wakati baadhi ya wadau wakionekana kutoziafiki takwimu zinazoonesha mkoa…
3 March 2024, 8:14 pm
Na Joyce Buganda Mhe. Ibrahim Ngwada Mstahiki Meya Manispaa ya Iringa amezindua rasmi program jumuishi ya Taifa ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto PJT-MMMAM huku watendaji na wananchi wakitakiwa kushiriki vema katika kutekeleza programu hiyo. Hayo yamezungumzwa…
3 March 2024, 8:00 pm
Na Mwandishi wetu Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwa bega kwa bega tangu Rais wa awamu ya pili, hayati Ali Hassan Mwinyi alipoanza kuugua mwezi Novemba na kupelekwa Uingereza kwa matibabu. Rais…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.