Nuru FM
Nuru FM
15 March 2024, 9:11 am
Mfumo wa kidigitali wa Crop Stock Dynamic System (CSDS) unalenga kuwatambua na kuwadhibiti wafanyabiashara wanaouza mazao yaliyoharibika na kupoteza sifa ya kupelekwa sokoni. Na Frank Leonard MAOFISA ugani zaidi ya 100 wa mikoa ya Iringa, Ruvuma, Rukwa na Katavi wanapata…
14 March 2024, 11:35 am
Mradi wa umwagiliaji Kata ya Madibira unawawezesha wakulima kulima mpunga kwa uhakika wa kupata mavuno wanayotarajia. Na Joyce Buganda Wakulima wa Mpunga Kata ya Madibira wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya wameishukuru Serikali ya Rais wa Awamu ya Sita chini ya…
14 March 2024, 10:48 am
Kitendo cha wafanyabiashara wa soko kuu la Iringa mjini kuruhusiwa kufanya biashara zao mpaka saa nne usiku kimeonekana kuwa msaada kwa wananchi wanaotaka huduma hizo. Na Azory Orema Licha ya soko kuu Manispaa ya Iringa kuruhusiwa kufanya biashara mpaka saa…
13 March 2024, 9:32 pm
Serikali inatakiwa kufanyia kazi malalamiko ya muda mrefu ya Madereva wa Daladala ambayo yamekuwa kero kwa watumiaji. Na Azory Orema Wananchi wanaotumia usafiri wa daladala Manispaa ya Iringa wamelalamikia ugumu wa usafiri wao baada ya daladala zinazopakia abiria kugoma kufanya…
12 March 2024, 5:34 pm
Na Adelphina Kutika Waandishi wa habari mkoani Iringa wametakiwa kuachana na uandishi wa kawaida na badala yake wajikite kuandika habari za wananchi ili kuwaongezea heshima katika jamii. Agizo hilo limetolewa na Mwenyekiti wa Iringa Press Club (IPC) Frank Leonard katika…
12 March 2024, 12:57 pm
Udhamini walioupata timu ya City Center utasaidia vijana wao kutojihusisha na matumizi ya dawa za kulevya. Na Hafidh Ally Kampuni ya Twinsteps inayojihusisha na kazi ya kuuza na kununua magari ndani na nje ya Tanzania imejitolea kuidhamini timu ya mpira…
12 March 2024, 11:22 am
Watumishi wazembe katika ofisi za umma waonywa ili kuleta maendeleo mkoani Iringa. Na Godfrey Mengele Mkuu wa Mkoa wa Iringa Peter Serukamba amewataka watumishi waliopo katika idara mbalimbali kufanya kazi kwa weledi na kutoa huduma kwa jamii na kuacha kufanya…
12 March 2024, 11:01 am
Matumizi ya zaidi ya Milioni 60 katika ujenzi wa stendi ya mabasi ya Igumbilo yamemuibua Mstahiki Meya Manispaa ya Iringa kujua uhalali wa Matumizi. Na Godfrey Mengele Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Ibrahim Ngwada amelazimika kuiagiza mamlaka…
8 March 2024, 4:40 pm
Mashuka yaliyokabidhiwa Hospitalini hapo yatawasaidia wagonjwa wanaolazwa. Na Mwandishi wetu Ikiwa Leo ni Siku ya Wanawake Duniani wanawake kutoka Idara ya Maji Safi na Mazingira Iringa (IRUWASA) wametembelea Hospitali ya Rufaa Ya Mkoa wa Iringa na kutoa mashuka 20 kwa…
7 March 2024, 4:40 pm
Kuondolewa kwa kivuko Cha katika stendi ya zamani Iringa kumetajwa kuwa sababu ya ongezeko la foleni na magari yao kuharibika. Na Godfrey Mengele Madereva wanaotumia kituo cha stendi kuu ya zamani, kwa sasa ikifahamika kama stendi ya daladala wameshangazwa na…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.