Mpanda FM
Mpanda FM
7 March 2024, 2:31 pm
“Madiwani Wa Halmashauri ya Manispaa Ya Mpanda Wameonyesha Kutoridhishwa Na Bajeti Hiyo Na Kumtaka Manager Wa Tarura Kwenda Kupitia Upya Na Kuiwasilisha Kwa Baraza Hilo Ifikapo Jumatatu ya tarehe 11 mwezi wa tatu mwaka huu” Picha na Deus Daud Na…
7 March 2024, 1:55 pm
“Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Katavi Kaster Ngonyani amesema mtuhumiwa alifikishwa mikononi mwa Jeshi hilo akiwa na hali mbaya hivyo muda mchache baada ya kufikishwa hospitali alifariki dunia na mwili kukabidhiwa kwa ndugu kwaajili ya mazishi” Picha na…
5 March 2024, 3:13 pm
“Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amesema suala hilo lipo katika uchunguzi na hatua kali za kisheria zitachukuliwa huku wao kama serikali wamesikitishwa kutokea kwa tukio hilo” Na Gladness Richard-Katavi Binti mwenye umri wa miaka 13 mkazi wa kijiji…
20 February 2024, 5:24 pm
Wananchi wamesema mtaa huo umekuwa na harufu kali ambayo imekuwa haivumiliki na wamekosa namna ya kufanya hivyo wanahifadhi kwenye mifuko kwa sababu taarifa za taka hizo wamelalamika kwa viongozi wao bila mafanikio yeyote. Na Samwel Mbugi-Katavi Wananchi wa kata ya…
20 February 2024, 12:29 pm
Picha na Deus Daud Mkoa wa Katavi unatarajia kutatua kero katika miundombinu ya Elimu ikiwemo ujenzi wa Maboma zaidi ya 500 ambayo kati yake 400 yako katika hatua za umaliziaji kimkoa kwa shule za Msingi na Sekondari na madawati 30,000…
19 February 2024, 4:32 pm
Picha na Samwel Mbugi Wamesimamia uchanguzi na kumpata mshindi wa nafasi ya Mwenyekiti wa shina la Mpanda Hotel Donard Chrispin Mpazi aliyeshinda kwa kupata kura 195 kati ya wapiga kura 326 baadaya uchaguzi huo kushindwa kufanyika mra mbili. Na Samweli…
16 February 2024, 11:58 pm
Picha na Festo Kinyogoto Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Hamad Mapengo amesema bajeti hiyo inakwenda kutatu changamoto mbalimbali huku nguvu kubwa ikiwa imeelekezwa katika sekata ya Elimu na Afya. Na Leah Kamala-Katavi Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya…
12 February 2024, 9:00 am
Wananchi wa mtaa huo wameonesha kusikitishwa na tukio hilo huku wakiomba sheria ichukue mkondo wake” Picha na Ben Gadau Na Ben Gadau-Katavi Mtoto mchanga wa umri wa siku moja amekutwa ametupwa katika mtaa wa mlimani site kata ya Uwanja wa…
9 February 2024, 3:08 pm
Baadhi ya wagonjwa wanaofikishwa katika hospital Hutelekezwa na ndugu zao na kuleta mzigo kwa serikali.Picha na Mtandao Na Veronica Mabwile-Katavi. Wito umetolewa kwa wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi kuacha taabia ya kuwatelekeza wagonjwa wakati wakupatiwa huduma za matibabu ili…
9 February 2024, 2:56 pm
Watuhumiwa 12 wamekamatwa wakiwa na mali za wizi,11 wakiwa na pombe haramu ya moshi,7 wakiwa na nyara za serikali na 12 wakiwa na madawa ya kulevya. Picha na Gladness Richard Na Gladness Richard-Katavi Jeshi la polisi Mkoani Katavi limeendelea…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
