Mpanda FM
Mpanda FM
19 February 2024, 4:32 pm
Picha na Samwel Mbugi Wamesimamia uchanguzi na kumpata mshindi wa nafasi ya Mwenyekiti wa shina la Mpanda Hotel Donard Chrispin Mpazi aliyeshinda kwa kupata kura 195 kati ya wapiga kura 326 baadaya uchaguzi huo kushindwa kufanyika mra mbili. Na Samweli…
16 February 2024, 11:58 pm
Picha na Festo Kinyogoto Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Hamad Mapengo amesema bajeti hiyo inakwenda kutatu changamoto mbalimbali huku nguvu kubwa ikiwa imeelekezwa katika sekata ya Elimu na Afya. Na Leah Kamala-Katavi Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya…
12 February 2024, 9:00 am
Wananchi wa mtaa huo wameonesha kusikitishwa na tukio hilo huku wakiomba sheria ichukue mkondo wake” Picha na Ben Gadau Na Ben Gadau-Katavi Mtoto mchanga wa umri wa siku moja amekutwa ametupwa katika mtaa wa mlimani site kata ya Uwanja wa…
9 February 2024, 3:08 pm
Baadhi ya wagonjwa wanaofikishwa katika hospital Hutelekezwa na ndugu zao na kuleta mzigo kwa serikali.Picha na Mtandao Na Veronica Mabwile-Katavi. Wito umetolewa kwa wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi kuacha taabia ya kuwatelekeza wagonjwa wakati wakupatiwa huduma za matibabu ili…
9 February 2024, 2:56 pm
Watuhumiwa 12 wamekamatwa wakiwa na mali za wizi,11 wakiwa na pombe haramu ya moshi,7 wakiwa na nyara za serikali na 12 wakiwa na madawa ya kulevya. Picha na Gladness Richard Na Gladness Richard-Katavi Jeshi la polisi Mkoani Katavi limeendelea…
9 February 2024, 2:41 pm
Na John Benjamin-Katavi Baadhi ya wananchi katika mtaa wa Airtel kata ya Uwanja wa Ndege halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamelalamikia kuwepo kwa kundi ambalo limekuwa likijitambulisha kuwa ni ulinzi shirikishi ambalo limekuwa likifanya matukio ya kiharifu kama…
9 February 2024, 2:29 pm
Wananchi wamehimizwa kujenga tabia ya kuchukua mikopo katika taasisi za kifedha zinazozingatia sheria na miongozo ya serikali zikiwemo benki ili kuepuka usumbufu wa mikopo umiza. Na Veronica Mabwile-Katavi Imeelezwa kuwa Uwepo wa Elimu ndogo juu ya madhara ya tokanayo na…
9 February 2024, 2:16 pm
Tumejipanga kutoa elimu na kuzuia rushwa kwa Wananchi na wagombea Ili kuhakikisha uchaguzi wa serikali za mitaa unakuwa huru na haki kwa mwaka huu na Uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.Picha na mtandao Na Samweli Mbhugi-Katavi Taasisi ya kuzuia na kupambana…
5 February 2024, 4:14 pm
“Chama Cha Mapinduzi hakipo tayari kuona baadhi ya wananchi wakidhurumiwa haki zao.Picha na Deud Daud Na Festo Kinyogoto Mjumbe wa halamashauri kuu ya CCM taifa, katibu wa itikadi na Uenezi Chama cha Mapinduzi PAUL MAKONDA Amemuagiza mkuu wa wilaya ya…
5 February 2024, 3:49 pm
“Chama cha mapinduzi hakipo tayari kuona Wananchi wakiendelea kuteseka na kero zinzowakabili huku watendaji wa serikali wakitumia mianya hiyo kujinufaisha wenyewe bila kujali wananchi.Picha na Deus Daud Na Festo Kinyogoto Mjumbe wa halamashauri kuu ya CCM taifa, katibu itikadi uenezi…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
