Jamii FM
Jamii FM
13 July 2025, 15:42 pm
Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo amewahamasisha wananchi wa Mtwara kushiriki uchaguzi mkuu Oktoba 2025, akisisitiza umuhimu wa kuchagua viongozi wa chama hicho ili kuleta maendeleo. Na Musa Mtepa Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amewaasa wananchi wa Mtwara…
13 July 2025, 12:33 pm
Wakulima wa Kijiji cha Kilambo, wameiomba Serikali kusaidia kudhibiti viboko wanaovamia na kuharibu mazao yao usiku katika ukanda wa Mto Ruvuma, wakitumia njia hatarishi kujilinda. Wanaomba msaada wa magemu skauti ili kulinda maisha na mazao yao. Na Musa MtepaWakulima wa…
12 July 2025, 13:39 pm
Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Ndumbwe, Ndugu Abdull Mahupa, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea ubunge Jimbo la Mtwara Vijijini kupitia CUF. Ametaja afya, miradi ya maendeleo na uboreshaji wa huduma kwa wananchi kuwa vipaumbele vyake Na Musa Mtepa…
30 June 2025, 17:11 pm
Hii ni ziara ya kaimu balozi wa Marekani nchini Tanzania katika mkoa wa Mtwara ambapo alifanya mazungumzo na mkuu wa mkoa na kutembelea Bandari ya Mtwara na kujionea inavyofanya kazi Na Musa Mtepa Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Andrew…
21 June 2025, 12:01 pm
Hii ilikuwa sehemu ya kipindi kilichofanyika redioni kuelekea maadhimisho ya wiki ya Mazingira Duniani ambapo NEMC iliwasihi wananchi kutumia vifungashio vinavyokubalika kisheria ili kulinda mazingira, huku ikiendelea kutoa elimu kuhusu madhara ya mifuko ya plastiki na umuhimu wa utunzaji wa…
19 June 2025, 18:53 pm
“Mabadiliko makubwa yameanza kujitokeza ambapo wanawake wameanza kushika nafasi muhimu za uongozi katika nyanja mbalimbali kama siasa, uchumi na hata uongozi katika taasisi za dini.” Na Mwanahamisi Chikambu Katika historia ya jamii nyingi duniani, mwanamke ameonekana kuwa nyuma katika masuala…
16 June 2025, 17:17 pm
Wakulima wa mazao ya ufuta na korosho wa kijiji cha Imekuwa wamekuwa wakipambana uanzishwaji wa chama cha ushirika tangu mwaka 2023 bila mafanikio kwa kile kinachoelezwa kutokidhi vigezo vya unazishaji wake Na Musa Mtepa Baadhi ya wakulima wa mazao ya…
8 June 2025, 19:38 pm
Stanslaus Lilai alikuwa anatoa Elimu hiyo kwenye mafunzo ya maafisa ugani wa halmashauri ya Manispaa ya Mtwara Mikindani ikiwa njia mojawapo ya kufika elimu hiyo kwa wakulima kupitia maafisa hao Na Musa Mtepa Wakulima wa zao la korosho nchini wameaswa…
8 June 2025, 10:09 am
Haya yalikuwa mahojiaono ya moja kwa moja studio na maafisa wa Mazingira kutoka Baraza la uhifadhi na utunzaji wa Mazingira NEMC kanda ya kusini siku ya june 5,2025 ikiwa ni siku ya Mazingira Duniani. Na Musa Mtepa Dunia inaendelea kuathirika…
6 June 2025, 17:07 pm
Haya ni mafunzo yanayotarajiwa kuwafikia zaidi ya maafisa ugani 500 katika mkoa wa Mtwara ambapo kwa hatua ya awali yanatarajiwa kufanyika katika mikoa yaLindi na Mtwara NA Musa Mtepa Zaidi ya maafisa ugani 500 kutoka mkoa wa Mtwara watanufaika na…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.