Jamii FM

Recent posts

18 September 2025, 08:56 am

Mtwara yapiga hatua dhidi ya talaka holela

Door of Hope Tanzania imewasilisha mrejesho wa mradi wa “Pinga Ukatili, Jenga Amani na Kizazi Chenye Usawa” mkoani Mtwara, ukilenga kupinga ukatili wa kijinsia na kutoa msaada wa kisheria. Viongozi wamesifu mafanikio, ikiwemo kupungua kwa funga nyumba na talaka holela…

15 September 2025, 09:20 am

CCM Mtwara Mjini yataka mafiga matatu Oktoba 29

CCM Mtwara Mikindani yazindua kampeni Septemba 14, 2025, kwa wagombea ubunge na udiwani. Rehema Sombi ataka mshikamano na ushindi wa “mafiga matatu” – Diwani, Mbunge, Rais. Joel Nannauka na Arif Primji waahidi maendeleo na huduma bora kwa wananchi kupitia sera…

12 September 2025, 08:39 am

Wananchi kijiji cha Nyengedi kuchangia 10,000 ujenzi wa shule

Wananchi wa Nyengedi wametakiwa kutekeleza kwa uaminifu makubaliano ya kuchangia shilingi 10,000 kwa kila kaya ili kufanikisha ujenzi wa Shule ya Msingi Mnyengedi, mradi unaolenga kuboresha elimu na kupunguza adha ya watoto kutembea umbali mrefu NA MUSA MTEPA Wananchi wametakiwa…

11 September 2025, 09:02 am

13 mbaloni  kwa wizi wa pembejeo za korosho

Jeshi la Polisi Mtwara linawashikilia watuhumiwa 13 kwa tuhuma za wizi wa pembejeo za korosho zilizotolewa kwa wakulima msimu wa 2024/2025, wakiwemo watendaji wa serikali Na Musa Mtepa Mtwara, Septemba 10, 2025 – Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linawashikilia…

10 September 2025, 09:03 am

Mwenyekiti atoa shukrani fidia ujenzi wa bandari kisiwa Mgao

Mwenyekiti wa Kijiji cha Mgao ameishukuru Halmashauri ya Mtwara Vijijini kwa kulipa fidia ya ujenzi wa bandari Kisiwani Mgao, huku akitoa wito kwa wananchi kuchukua tahadhari za kiafya kutokana na ongezeko la wageni. Na Musa Mtepa  Mwenyekiti wa Serikali ya…

1 September 2025, 13:16 pm

JWTZ yaadhimisha miaka 61 kwa shughuli za kijamii, michezo Mtwara

JWTZ limeadhimisha miaka 61 tangu kuanzishwa kwake kwa kushiriki shughuli za kijamii ikiwemo uchangiaji damu na mpira wa kirafiki dhidi ya Jeshi la Polisi, katika viwanja vya Nangwanda Sijaona, Mtwara Na Musa Mtepa Jeshi la Wananchi la Tanzania (JWTZ) leo…

1 September 2025, 00:14 am

Mwenyekiti wa kijiji aongoza ujenzi nyumba ya mwenye ulemavu Mtwara

Familia ya Mzee Salumu Zomba, mwenye ulemavu wa macho, yamekabidhiwa nyumba mpya baada ya kuishi kwenye kibanda kibovu, juhudi zilizowezeshwa na viongozi wa kijiji cha Mnyengedi kwa kushirikiana na wadau mbalimbali. Na Musa Mtepa Baada ya kuishi katika mazingira hatarishi…

22 August 2025, 15:18 pm

Wanawake waliovunja ukimya, safari ya Coletha, Zaituni kisiasa

Walizunguka kwa miguu, walikutana na wananchi, wakahamasisha, na walipambana kwa hali na mali kuhakikisha sauti ya mwanamke inasikika katika uongozi wa ngazi ya chini Na Mwanaidi Kopakopa Katika miaka ya karibuni, Tanzania imeanza kushuhudia mwamko mpya wa wanawake kushiriki kikamilifu…

18 August 2025, 12:57 pm

Wanachama CCM Msimbati watishia kujiondoa uanachama

Wanachama zaidi ya 150 wa CCM Msimbati wamelalamikia kuondolewa kwa jina la Rashidi Linkoni aliyeshinda kura za maoni, wakitishia kurudisha kadi zao, huku viongozi wa wilaya wakisisitiza maamuzi ya kamati ya siasa Na Musa Mtepa Zaidi ya wanachama 150 wa…

15 August 2025, 16:28 pm

Wanahabari watakiwa kuzingatia weledi uchaguzi mkuu

Mafunzo kwa waandishi wa Jamii FM Redio yamewahimiza kuzingatia weledi, usalama kazini na kujikinga na uhalifu mtandaoni kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 Na Musa Mtepa Waandishi wa habari wametakiwa kuwa makini na kuzingatia weledi wa taaluma yao, hususan…

Vision and Mission

Who we are

JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.

Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.

Vision

The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.

Coverage:

Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.