Jamii FM

Recent posts

16 June 2025, 17:17 pm

Wakulima wa ufuta, korosho wahama chama

Wakulima wa mazao ya ufuta na korosho wa kijiji cha Imekuwa wamekuwa wakipambana uanzishwaji wa chama cha ushirika tangu mwaka 2023 bila mafanikio kwa kile kinachoelezwa kutokidhi vigezo vya unazishaji wake Na Musa Mtepa Baadhi ya wakulima wa mazao ya…

8 June 2025, 19:38 pm

TARI yaeleza mbinu za kudhibiti ubwili unga kwenye mikorosho

Stanslaus Lilai alikuwa anatoa Elimu hiyo kwenye mafunzo ya maafisa ugani wa halmashauri ya Manispaa ya Mtwara Mikindani ikiwa njia mojawapo ya kufika elimu hiyo kwa wakulima kupitia maafisa hao Na Musa Mtepa Wakulima wa zao la korosho nchini wameaswa…

8 June 2025, 10:09 am

Kipindi: Taka za plastiki chanzo kikuu mabadiliko ya tabianchi

Haya yalikuwa mahojiaono ya moja kwa moja studio na maafisa wa Mazingira kutoka Baraza la uhifadhi na utunzaji wa Mazingira NEMC kanda ya kusini siku ya june 5,2025 ikiwa ni siku ya Mazingira Duniani. Na Musa Mtepa Dunia inaendelea kuathirika…

6 June 2025, 17:07 pm

Maafisa ugani wapewa mbinu bora za uzalishaji korosho

Haya ni mafunzo yanayotarajiwa kuwafikia zaidi ya maafisa ugani 500 katika mkoa wa Mtwara ambapo kwa hatua ya awali yanatarajiwa kufanyika katika mikoa yaLindi na Mtwara NA Musa Mtepa Zaidi ya maafisa ugani 500 kutoka mkoa wa Mtwara watanufaika na…

6 June 2025, 14:16 pm

TARI, CBT yatoa mafunzo ya viuatilifu kwa maafisa ugani

Haya ni mafunzo yanayotolewa kwa maafisa ugani yanayohusu matumizi sahihi na salama ya viuatilifu ili waweze kutoa elimu kwa wakulima wa zao la korosho lengo likiwa kufikia uzalisha mzuri wa zao hilo NA Musa Mtepa Zaidi ya maafisa ugani 500…

26 May 2025, 15:22 pm

Mwenge waweka jiwe la msingi Zahanati Mtawanya

Zahanati ya Mtawanya imekuwa ikihudumia Wananchi kutoka kata ya Mtawanya pamoja na vijiji Jirani kutoka halmashauri ya Mtwara vijijini hivyo uwepo wa jengo la nje wa wagonjwa(OPD) litasaidia kuondoa adha kwa wananchi hao. Na Musa Mtepa Mei 25, 2025 –…

26 May 2025, 14:36 pm

Mwenge wa uhuru wapongeza mradi wa vijana Mtwara Mikindani

Ni zaidi ya kilomita 40 mwenge umekimbizwa katika halmashauri ya Mtwara Mikindani huku ikipita katika miradi sita ya maendeleo ambapo yote mkimbiza Mwenge wa uhuru kitafa ameridhia utekelezaji wake Na Musa Mtepa  Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa,…

20 May 2025, 16:30 pm

Wanawake viongozi wafunguka kuhusu nafasi zao katika siasa

Na Mwanaidi Kopakopa, Mwanahamisi Chikambu Wanawake walioko katika nafasi za uongozi wamesema kuwa nafasi wanazopewa kama madiwani au wabunge zinawajengea uwezo na kujiamini kugombea nafasi nyingine za juu za uongozi wa kisiasa. Katika makala haya, wanawake hao wameeleza kwa kina…

18 May 2025, 15:35 pm

Masjid Nuru Islamia Naliendele kunufaika na huduma ya maji

“Mradi huu utatusadia kuondokana na kero tunazopata kwani hapo awali maji ya kutawaza tulikuwa tunaenda kuchota Bondeni Mandawa hivyo huu mradi ni suluhisho tosha la changamoto hii” Na Musa Mtepa Waumini wa dini ya Kiislamu wanaoswali katika Msikiti wa Nuru…

Vision and Mission

Who we are

JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.

Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.

Vision

The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.

Coverage:

Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.