Jamii FM

Recent posts

2 March 2025, 11:23 am

Vijana 69 mkoani Mtwara wahitimu  mafunzo ya ufundi stadi

Hizi ni sherehe za kuhitimu  kwa mafunzo ya ufundi stadi ambapo takribani vijana 69 wamehitimu na kutunukiwa vyeti ikiwa ishara ya kutambuliwa kwa mafunzo hayo,mafunzo haya yalikuwa yanatolewa kwa mafundi chuma,seremala na mafundi uchoraji Na Msafiri Kipila Vijana 69 kutoka…

23 February 2025, 11:11 am

Shekhe Mkuu Mtwara awataka wananchi kutunza amani kuelekea uchaguzi

Mkutano wa hadhara wa shehe mkuu wa mkoa wa Mtwara ulikuwa hitimisho la ziara yake aliyoifanya katika kata ya Magomeni ,ambapo kabla ya mkutano huo alitembelea miradi mbalimbali ya kijamii ikiwemo Zahanati ya magomeni,Shule ya sekondari makanledi,Ujenzi wa Msikiti Muzdalifa…

18 February 2025, 09:26 am

ATCL yarejesha safari za ndege Dar es Salaam, Mtwara

Meneja wa Uwanja wa Ndege wa Mtwara Jordan Mchami amesema kutokana na kuwepo kwa gharama ndogo za nauli kwenda na kurudi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam ambayo ni shilingi 199,000, kutapelekea kuongezeka kwa abiria watakaotumia usafiri huo. Na Musa…

17 February 2025, 20:14 pm

Wanaume Mtwara wahamasishwa kuruhusu wanawake kuendeleza ufundi chuma

Jamii imekuwa ikiamini kuwa mwanamke au mtoto wa kike hawezi kuwa fundi chuma,Seremala na fundi uashi kama ilivyo kwa mtoto wa kiume hali inayopelekea mwanamke kuwa nyuma katika sekta ya ufundi. Na Musa Mtepa Wanaume wa mkoani Mtwara wametakiwa kuwapa…

17 February 2025, 19:06 pm

Simba SC yatua Mtwara, kuwakabili Namungo Feb 19 Ruangwa

Katika misimu miwili iliyopita simba sc haijawahi kushinda mchezo wowote wa ligi kuu katika uwanja wa Majaliwa dhidi ya Timu ya Namungo ,katika michezo miwili waliyocheza katika miimu hiyo miwili wameambulia kupata sare. Na Musa Mtepa Timu ya soka ya…

11 February 2025, 14:36 pm

‘Sauti ya mwanamke’ kunufaisha wananchi 13,500 Mtwara

Mradi huu unatarajia kutekelezwa katika kata zote 18 za manispaa ya Mtwara Mikindani huku lengo kuu likiwa kutoa elimu juu ya msaada wa kisheria ,haki na umiliki wa mali (Ardhi) na unyanyasaji wa kijinsia Na Musa Mtepa Zaidi ya wananchi…

2 February 2025, 12:02 pm

Wananchi Makome B waiomba serikali kukamilisha ujenzi wa sekondari

Kijiji cha Makome B kipo umbali wa zaidi ya Kilomita 35 kutoka makao makuu ya mkoa wa Mtwara na kipo katika kata ya Mbawala,Halmashauri ya Mtwara vijijini kilichozungukwa na Milima na Mabonde pamoja na misitu asili Na Musa Mtepa Kutokana…

Vision and Mission

Who we are

JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.

Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.

Vision

The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.

Coverage:

Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.