Mpanda FM

Recent posts

20 August 2025, 11:25 pm

Ofisi ya GIZ yazinduliwa Katavi

“ofisi hiyo itatumika na wadau mbalimbali katika kutekeleza mradi unaolenga kutatua changamoto mbalimbali hasa za uhifadhi wa maji“ Na Anna Milanzi -KataviShirika lisilo la kiserikali  kutoka nchini Ujerumani GIZ limezindua ofisi yake katika jengo la Mpanda Plaza manispaa ya Mpanda…

20 August 2025, 6:59 pm

Chaka: Tiini sheria za usalama barabarani

Mkaguzi wa polisi Jofrey Chaka. Picha na Anna Mhina “Hakikisheni vyombo vya usafiri vinakuwa bora” Na Anna Mhina Jeshi la polisi mkoani Katavi kupitia kitengo cha usalama barabarani limewataka watumiaji wa  barabara kutii sheria za usalama barabarani  ili kuepusha ajali…

15 August 2025, 5:04 pm

Wazazi, walezi waleeni watoto katika maadili

Mkuu wa dawati jinsia na watoto Katavi Judith Mbukwa. Picha na Anna Mhina “Tutengeneze ukaribu na watoto wetu kutawajengea usalama zaidi” Na Roda Elias Wazazi  katika manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuhakikisha wanasimamia ndoto za watoto ili ziweze kutimia.…

13 August 2025, 4:58 pm

Mpanda yajiandaa kutoa elimu kwa wakulima

Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamil Yusuph. Picha na Samwel Mbugi “Tumedhamiria kufanya maonesho kabla yamsimu wa kilimo” Na Samwel Mbugi Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph amewapongeza wakulima na wajasiriamali walioenda kwenye maonyesho ya Nanenane jijini Mbeya kwa…

12 August 2025, 1:38 pm

Uchafu wa mighahawa kero kwa walaji Katavi

Moja ya mgawaha uliopo mtaa wa Mpanda hotal. Picha na Roda Elias ” Unakula chakula unakaa kidogo unaenda kununua flajiri” Na Roda Elias Baadhi ya walaji wa vyakula katika migahawa inayopatikana kata ya Mpanda hotel manispaa ya Mpanda mkoani Katavi…

12 August 2025, 11:58 am

Wakulima watumieni vema maafisa kilimo

Ndugu Adili Mbilinyi akitoa neno kwa wakulima. Picha na Leah Kamala “Nitoe wito kwa wananchi watumieni vema maafisa kilimo” Na Leah Kamala Baadhi ya wakulima wa Kitongoji cha kasherami A, Kijiji cha muungano kata ya Ibindi halmashauri ya Nsimbo wamepatiwa…

8 August 2025, 1:16 pm

Mtoto mchanga atelekezwa chooni, mashuhuda walaani

“mtoto huyo alitupwa katika moja ya chumba cha vyoo ambavyo vimesitishwa matumizi.“ Na Samwel Mbugi -Katavi Mtoto mchanga anayekadiriwa kuwa na umri wa siku moja mweye jinsi ya kike ameokotwa kwenye choo cha shule ya msingi Kashato manispaa ya Mpanda…

7 August 2025, 7:02 pm

Umuhimu wa maziwa ya mama kwa mtoto

“Ulishaji wa maziwa ya mama pekee husaidia kupunguza vifo vya watoto wachanga, kuimarisha ukuaji wa akili, na kupunguza hatari ya kupata magonjwa sugu” Na Anna Millanzi Maziwa ya mama ni chakula bora na kamili kwa mtoto mchanga, hasa katika miezi…

7 August 2025, 4:56 pm

‘Mama nyonyesha mtoto unapojifungua’

Muuguzi katika hospitali ya manispaa ya MpandaAnderson Evarist  Fidel. Picha na Samwel Mbugi “Tunachowasaidia tunamchukua mtoto na kumuweka kwenye maziwa ya mama” Na Anna Millanzi Kina mama wanaojifungua watoto  manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuzingatia unyonyeshaji wa watoto wao…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.