Mpanda FM

Recent posts

18 September 2025, 9:31 am

TRA Katavi yazindua dawati la uwezeshaji wa biashara

Viongozi mbalimbali katika picha ya pamoja, wapili kutoka kulia ni mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph. Picha na Benny Gadau “Ushirikiano kati ya TRA na wafanyabiashara ni jambo la msingi sana” Na Benny Gadau Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA…

16 September 2025, 3:56 pm

MNEC Sampa azindua kampeni za CCM Nsimbo

MNEC Gilbert Sampa kulia akimnadi mgombea ubunge jimbo la Nsimbo Anna Lupembe. Picha na Samwel Mbugi “Tufanye kampeni za kistaarabu hakuna sababu za kutumia kejeli wala matusi” Na Samwel Mbugi Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Katavi kimezindua kampeni jimbo…

16 September 2025, 3:31 pm

ACT yamnadi mgombea udiwani kata ya Kazima

“Mgombea udiwani Kata ya Nsemulwa na kata ya Shanwe wamemuombea kura mgombea udiwani wa kata hiyo ya kazima“ Na Anna Milanzi-Katavi Chama cha ACT wazalendo kimeendelea na kampeni zake katika maeneo mbalimbali mkoani Katavi na kunadi sera zao kwa wananchi.…

16 September 2025, 1:31 pm

CCM yazindua kampeni jimbo la Mpanda Mjini

Picha ya baadhi wagombea nafasi mbalimbali za uongozi, wanne kutoka kulia ni mgombea ubunge jimbo la Mpanda mjini Haidary Sumry. Picha na Samwel Mbugi “Yale ambayo tumeyaahidi 2020 tumeyatekeleza” Na Samwel Mbugi Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa katavi kimezindua…

11 September 2025, 12:22 pm

Wagonjwa Katavi wanufaika na simba day

Mashabiki wa simba wakitoa zawadi kwa uongozi wa kituo cha afya Itenka. Picha na Anna Mhina “Tunawashukuru sana wanasimba kwa kutukumbuka” Na Anna Mhina Jamii imeshauriwa kujitokeza katika kushiriki shughuli za kijamii ikiwemo uchangiaji wa damu katika vituo vya afya…

10 September 2025, 1:06 pm

Wananchi Mpanda waomba elimu ya mikopo

Afisa maendeleo ya jamii manispaa ya Mpanda Irene Samson. Picha na Leah Kamala ” Tunapata pesa lakini hatujui namna ya kuitumia hivyo ni muhimu kupata elimu” Na Leah Kamala Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali…

9 September 2025, 8:57 pm

Mapokezi ya Dkt. Nchimbi yatikisa Majimoto Katavi

Baadhi ya wanachama waliojitokeza kwenye mkutano wa mgombea mwenza wa urais. Picha na Samwel Mbugi “Chama kikipewa ridhaa kitaendelea kuboresha huduma za kijamii” Na Samwel Mbugi Mgombea mwenza wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi…

9 September 2025, 8:41 pm

Darasa la saba ndani ya chumba cha mtihani Septemba 10

Leonard Victor afisa elimu manispaa ya Mpanda.Picha na Sumaiya Emmanuel “Nimejiandaa vizuri na nafurahi kuhitimu elimu yangu ya msingi” Na Sumaiya Emmanuel Jumla ya wanafunzi  5312 wanatarajiwa kufanya mitihani ya kumaliza elimu ya msingi manispaa ya Mpanda mkoani Katavi.  Akizungumza…

8 September 2025, 7:53 pm

Jamii inawajibikaje kwa mwanamke aliyekosa nafasi ya uongozi?

Baadhi ya wachangia mada wa kata ya Mpanda Hotel. Picha na Anna Mhina “Tutamtia moyo na kumheshimu kwani amethubutu” Na Anna Mhina na Roda Elias Baadhi ya wananchi wa  kata ya Mpanda hotel manispaa  ya Mpanda mkoani Katavi wameeleza wajibu…

8 September 2025, 6:55 pm

Mgombea mwenza urais wa CCM kutua kesho Katavi

Katibu wa siasa na uenezi CCM mkoa wa katavi Theonas Kinyonto. Picha na Samwel Mbugi “Kutakuwa na mkutano mkubwa katika wilaya ya Mlele” Na Samwel Mbugi Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Katavi kinatarajia kumpokea mgombea mweza wa Uraisi Dkt…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.