Mpanda FM
Mpanda FM
21 November 2023, 8:33 pm
Picha na Mtandao Baadhi ya kampuni hizo zinatoa mikopo kwa kutofuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa sheria. Na John Benjamini-Katavi Wafanyabiashara wadogo [machinga] mkoa wa Katavi wameiomba serikali kuzifuatilia kampuni ambazo zinajihusisha na utoaji wa mikopo kwa wafanyabiashara kutokana na…
21 November 2023, 5:59 pm
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko.Picha na Betrod Benjamini Mrindoko amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Tanganyika Shaban J. Juma kufika ofisini kwake akiwa na nyaraka zinazoonesha ramani ya eneo la Luhafwe na mikataba yote ya uwekezaji…
20 November 2023, 7:35 pm
Picha na Mtandao Jumla ya Wanafunzi 5233 wanafanya mtihani wa kuhitimu kidato cha Nne Mkoani Katavi ambapo Mkuu wa Mkoa huo amewapongeza walimu wote kwa maandalizi ya kuhakikisha wanafunzi wanafanya vizuri Na Betrod Benjamini -Katavi Mkuu wa mkoa wa Katavi…
10 November 2023, 1:58 pm
Wananchi wa Kijiji cha Kimani kata ya Ugala halmashauri ya Nsimbo wameiomba serikali kutolea ufafanuzi malalamiko ambayo yanawataka kuhama. Nsimbo Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Kimani kata ya Ugala halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi wameiomba serikali kutolea ufafanuzi juu…
10 November 2023, 1:44 pm
Mamkala ya hali ya hewa Tanzania TMA imewataka wananchi Katavi kuchukua tahadhari ya kujikinga na madhara ya mvua. Na John Benjamin – Katavi Mamkala ya hali ya hewa Tanzania TMA imewataka wananchi mkoani Katavi kuchukua tahadhari ya kujikinga na madhara…
8 November 2023, 3:07 pm
Baraza la madiwani Nsimbo Mkoa wa Katavi waishauri Wakala wa Maji na usafi wa Mazingira Vijijini [RUWASA] kuthibiti Mapato. Na Betord Chove-Nsimbo Baraza la madiwani katika halmashauri ya Nsimbo mkoa wa Katavi wameishauri Wakala wa Maji na usafi wa Mazingira…
8 November 2023, 2:48 pm
Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Peter Pinda metoa wito kwa wazee mkoani Katavi kuwaelekeza vijana maadili mema katika jamii. Na John Benjamin – Mpanda Waziri Mkuu mtaafu wa awamu nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda ametoa wito kwa…
8 November 2023, 1:19 pm
Mtu mmoja mwenye umri wa miaka 50 amekutwa amefariki dunia katika eneo la Rugwa. Na Gladness Richard – Mpanda Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina Hillalie Rioba mwenye umri wa miaka 50 amefariki dunia katika eneo la Rugwa kata ya Kazima…
24 October 2023, 4:08 am
Dawati la jinsia na watoto Katavi laahidi Kuwalinda wanafunzi ili waweze kutimiza Ndoto Zao. KataviKitengo cha Dawati la jinsia na watoto Mkoani Katavi Kimewahakikishia Kuwalinda wanafunzi Dhidi ya mienendo Mibovu ili waweze kutimiza Ndoto Zao. Akizungumza na wanafunzi wa shule…
20 October 2023, 6:17 am
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amewataka wanachi kujitokeza kuchangamkia fursa katika kuelekea wiki ya Mwanakatavi. Na Ben Gadau – KataviMkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amewataka wanachi kujitokeza kuchangamkia fursa katika kuelekea wiki ya mwanakatavi…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
