Mpanda FM
Mpanda FM
24 January 2024, 3:24 pm
“Hakimu Mfawidhi Mkuu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Katavi amewaasa Wananchi kujitokeza kushiriki ili kupata Elimu ya masuala mbalimbali yanayohusu sheria ” Picha na Festo Kinyogoto. Na Festo Kinyogoto-Katavi Kuelekea maazimisho ya wiki ya sheria Hakimu Mfawidhi Mkuu wa Mahakama…
24 January 2024, 2:57 pm
“Wananchi Wamesema Barabara nyingi zilizopo Manisapa zina Mashimo yaliyojaa maji na matope, mitalo iliyojaa michanga na takataka inayosababisha maji kuchepuka na kuingia barabarani” Picha Na Festo Kinyogoto Na Gladness Richard-katavi Wananchi wa Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba Serikali kuboresha…
20 January 2024, 1:52 pm
Picha na Mtandao Wanafunzi hao hawakuweza kufanya mtihani wao wa darasa la nne kwa sababu za utoro ziliopelekea kushindwa kufika katika chumba cha kufanyia mtihani. Na Asha Bakari-Katavi Zaidi ya wanafunzi mia nne [400] wa Shule ya Msingi Nyerere wameshindwa…
19 January 2024, 12:54 pm
Mama wa Mtoto huyo akiwa katika hospitali hiyo kwa Matibabu zaidi ya Mtoto .Picha na Gladness Richard Amefanya kitendo hicho baada ya kufika hospitali na kuomba kwenda chooni na huko ndipo alipofanya jaribio hilo. Na Gladness Richard-Katavi Binti anayefahamika kwa…
18 January 2024, 12:50 am
Picha na Mtandao Ugonjwa huo unawapata watu wa rika zote hivyo jamii inapaswa kupata Matibabu mapema iwezekanavyo mara tu watakapoona viashiria vya Ugonjwa huo. Na Gladness Richard-Katavi Wananchi wa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameeleza namna wanavyoufahamu Ugonjwa wa Macho…
18 January 2024, 12:00 am
Picha na Mtandao Tahadhari wanazotakiwa kuchukua Wananchi ili kujiepusha na Ugonjwa huo ikiwa ni pamoja na kutumia Vyoo bora. Na Lilian Vicent-Katavi Baadhi ya Wananchi wa Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa maoni mseto juu ya tahadhari wanazozichukua kuhakikisha wanajikinga…
17 January 2024, 1:54 pm
Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph akipanda Mti akikaimu kwa Mkuu wa wilaya ya Tanganyika .Picha na Deus Daudi lengo la mradi huo ni kuimarisha usimamizi wa pamoja wa mazingira na urejeshwaji wa ardhi iliyoharibiwa ili kujenga uhimilivu wa…
17 January 2024, 12:48 pm
Utunzaji wa Misitu na upandaji Miti unahusisha biashara ya hewa ukaa .Picha na Mtandao Wanatarajia kuanza kufanya Biashara hiyo kutokana kuwa na Maeneo yanayoruhusu kufanya Biashara ya Hewa ukaa. Na Betord Benjamini-Katavi Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mpimbwe wilayani…
16 January 2024, 10:11 am
Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu akizungumza na wanafunzi .Picha na Deus Daudi Taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii haina ukweli wowote na wanafunzi waendelee kufika shuleni . Na Deus Daudi-Katavi Mkuu wa wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu amekanusha…
15 January 2024, 11:39 am
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko( upande wa kulia)akitoa Maelekezo baada ya kupokea taarifa ya ujenzi wa Barabara.Picha na Kinyogoto Festo Barabara hiyo imekuwa na changamoto Kwa muda mrefu Kwani Wananchi wanapata adha ya kusafiri Kwa muda wa masaa…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
