

3 February 2025, 6:58 pm
Picha ya pamoja ya viongozi mbalimbali wa mkoa wa Katavi. Picha na Anna Mhina “Mahakama ni chombo muhimu kwenye utoaji haki” Na Lilian Vicent Baadhi ya wananchi mkoani Katavi wamesema kuwa kupitia wiki ya sheria wameweza kujifunza sheria na kutambua…
31 January 2025, 7:50 pm
Picha ya baraza la madiwani wa halmashauri ya Mpanda. Picha na Edda Enock “Madiwani walalamikia kampuni za uchimbaji madini” Na Edda Enock Baraza la madiwani manispaa ya Mpanda mkoani Katavi limelalamikia kampuni za uchimbaji madini ambazo zinafanya shughuli za uchimbaji…
31 January 2025, 7:36 pm
Picha ya mwenyekiti wa baraza la ardhi na nyumba Katavi Gregory Kalashani. Picha na Anna Mhina. “Wananchi mkoani Katavi wameomba elimu ya ardhi itolewe zaidi” Na Liliani Vicent Baadhi ya wananchi mkoani Katavi wametoa maoni yao kuhusiana na hatua za…
30 January 2025, 12:35 pm
Picha ya mfano wa mtu mwenye msongo wa mawazo. “Imebainika kuwa chanzo cha watu kujiua ni msongo wa mawazo” Na Rhoda Elias Baadhi ya wananchi manispaa ya Mpanda Mkoani katavi wamesema hali duni ya kimaisha na msongo wa mawazo ni…
30 January 2025, 12:21 pm
Baadhi ya wananchi wakipatiwa huduma kwenye banda la RITA. Picha na Samwel Mbugi. “Wananchi wa mkoa wa Katavi wanufaika na zoezi la utoaji wa vyeti vya kuzaliwa” Na Samwel Mbugi Baadhi ya wananchi manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi wamefurahishwa…
30 January 2025, 9:40 am
Afisa ustawi wa jamii manispaa ya mpanda mkoani Katavi Anyulumye Longo. Picha na Leah Kamala “Wazazi watakiwa kushirikiana na walimu kujua maendeleo ya watoto wao” Na Leah Kamala Baadhi ya wazazi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamesema ni wajibu…
27 January 2025, 6:23 pm
Picha ya mwenyekiti wa mtaa wa Kasimba Benard Nswima. Picha na Anna Mhina “Mtoto wa miaka 7 afariki dunia kwa madai ya kuunguzwa moto” Na Eda Enock Mtoto mmoja aliyefahamika kwa jina la Hamisi mwenye umri wa miaka 7 amefariki…
27 January 2025, 5:30 pm
Picha ya Stuart Kiondo akizungumza na waandishi wa habari. Picha na Lilian Vicent “Stendi kuu ya Mizengo Pinda kuna mapungufu katika ukusanyaji wa mapato”. Na Lilian Vicent Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Katavi imefanikiwa kuokoa…
24 January 2025, 6:29 pm
Picha ya pamoja ya viongozi wapili kutoka kulia ni mkuu wa mkoa wa Katavi. Picha na Anna Mhina “Wakurugenzi watakiwa kuhakikisha wanafikisha elimu ya msaada wa kisheria kwa wananchi” Na Ben Gadau Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko…
23 January 2025, 2:30 pm
Picha ya mkuu wa mkoa wa Katavi. Picha na Samwel Mbugi “Wananchi watakiwa kujitokeza kupata elimu ya msaada wa kisheria” Na Samweli Mbugi Wananchi Wametakiwa kujitokeza kupata elimu ya msaada wa kisheria kupitia kampeni ya mama Samia Legal AID inayolenga…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.