Mpanda FM
Mpanda FM
17 January 2026, 12:25 pm
Baadhi ya madiwani wakitembelea mradi wa miji 28. Picha na Betord Chove “Mpango tulioupokea ni mzuri shida ya maji katika mji wetu tunakwenda kuipunguza” Na Betord Chove Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Mpanda imetoa taarifa ya utendaji…
15 January 2026, 3:36 pm
“Tunaomba daktari atuelimishe kuhusu huu ugonjwa” Na Samwel Mbugi Kutokana na uwepo wa ugonjwa wa kifafa cha mimba katika jamii wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi wameiomba serikali kutoa elimu itakayosaidia kufahamu na kuelewa dalili na sababu zinazosababisha.…
15 January 2026, 2:55 pm
Uongozi wa shule ya msingi Mpanda pamoja na mwenyekiti wa mtaa. Picha na Roda Elias “Tumeridhisha na ujenzi wa choo” Na Roda Elias Serikali ya mtaa wa Mpanda hotel manispaa ya Mpanda mkoani Katavi imeridhishwa na ujenzi wa mradi wa …
14 January 2026, 5:47 am
Madawati mabovu yaliyopo katika shule ya msingi Mpanda. Picha na Rhoda Elias “Tayari tumeshawaelekeza mafundi wamekuja na kufanya tathimini yao” Na Rhoda Elias Serikali ya mtaa wa Mpanda hotel imefanya ziara katika shule ya msingi Mpanda iliyopo manispaa ya Mpanda…
13 January 2026, 6:36 pm
Hayati Abeid Amani Karume. Picha na mtandao “Hatuna uelewa wowote kuhusu Sikukuu ya Mapinduzi” Na Anna Mhina Wakati Zanzibar wakiadhimisha sikukuu ya Mapinduzi hapo jana January 12 baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali kurithisha historia…
13 January 2026, 3:17 pm
Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph akitoa maelekezo kwa kamati. Picha na Samwel Mbugi “Mnisikilize vizuri huyuhuyu MACPANDO lazima afike mwisho” Na Samwel Mbugi Wananchi wa mtaa wa Tulieni kata ya Nsemlwa wamelalamikia migogoro ya viwanja inayotokana na kampuni…
12 January 2026, 12:27 pm
“Rai yangu kwenu hii miche mkaipande na muitunze” Na Samwel Mbugi Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph amewahimiza wakulima wa zao la korosho kuhakikisha wanapanda na kuitunza ipasavyo miche waliyoipokea ili iweze kusitawi vizuri na kuleta tija katika maendeleo…
12 January 2026, 9:28 am
“Mwamko wa elimu bado ni mdogo kwa mkoa wa Katavi” Na Anna Mhina Kutokuwa na mwamko wa elimu kumetajwa kama sababu inayopelekea wazazi kuwa na mwamko mdogo katika zoezi la uandikishaji kwa watoto mapema. Wakizungumza na Mpanda radio FM baadhi…
10 January 2026, 3:41 pm
Afisa maendeleo akitoa elimu kwa wananchi. Picha na Anna Milanzi “Tunawajengea uwezo kamati hizo kwa kuziimarisha” Na Anna Milanzi Taasisi ya Mkombozi Paralegal iliyopo mkoani Katavi imeendelea kuwawezesha wananchi kupata elimu ya masuala ya ukatili wa kijinsia na kuwawezesha kutambua…
7 January 2026, 10:50 am
Mama wa mtoto akiwa amempakata mwanae. Picha na Anna Milanzi “Tumekuja kumuona huyu mtoto baada ya kupata taarifa” Na Anna Milanzi Mtoto mmoja mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi tisa katika Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi anakabiliwa na changamoto…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
