Mpanda FM
Mpanda FM
18 January 2024, 12:00 am
Picha na Mtandao Tahadhari wanazotakiwa kuchukua Wananchi ili kujiepusha na Ugonjwa huo ikiwa ni pamoja na kutumia Vyoo bora. Na Lilian Vicent-Katavi Baadhi ya Wananchi wa Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa maoni mseto juu ya tahadhari wanazozichukua kuhakikisha wanajikinga…
17 January 2024, 1:54 pm
Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph akipanda Mti akikaimu kwa Mkuu wa wilaya ya Tanganyika .Picha na Deus Daudi lengo la mradi huo ni kuimarisha usimamizi wa pamoja wa mazingira na urejeshwaji wa ardhi iliyoharibiwa ili kujenga uhimilivu wa…
17 January 2024, 12:48 pm
Utunzaji wa Misitu na upandaji Miti unahusisha biashara ya hewa ukaa .Picha na Mtandao Wanatarajia kuanza kufanya Biashara hiyo kutokana kuwa na Maeneo yanayoruhusu kufanya Biashara ya Hewa ukaa. Na Betord Benjamini-Katavi Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mpimbwe wilayani…
16 January 2024, 10:11 am
Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu akizungumza na wanafunzi .Picha na Deus Daudi Taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii haina ukweli wowote na wanafunzi waendelee kufika shuleni . Na Deus Daudi-Katavi Mkuu wa wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu amekanusha…
15 January 2024, 11:39 am
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko( upande wa kulia)akitoa Maelekezo baada ya kupokea taarifa ya ujenzi wa Barabara.Picha na Kinyogoto Festo Barabara hiyo imekuwa na changamoto Kwa muda mrefu Kwani Wananchi wanapata adha ya kusafiri Kwa muda wa masaa…
15 January 2024, 10:28 am
Picha na Mtandao Dawa hizo Mara nyingi huwa zinatolewa kwa Watoto walio na umri chini ya miaka mitano Na Gladness Richard-Katavi Baadhi ya Wananchi wa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wametoa maoni mseto juu ya Matumizi sahihi ya dawa za…
20 December 2023, 5:15 pm
Askari wa Jeshi la zimamoto na Uokoaji Katavi washauriwa kufanya kazi kwa weredi na kuendelea kuwa wavumilivu. Na Gladness Richard – Katavi Askari wa Jeshi la zimamoto na Uokoaji mkoani Katavi wameshauriwa kufanya kazi kwa weredi na kuendelea kuwa wavumilivu…
20 December 2023, 5:05 pm
Ng’ombe 14 wamekufa baada ya kusadikika kunywa maji yenye sumu katika kitongoji cha Mwenge. Na Ben Gadau – Katavi Ng’ombe 14 wamekufa baada ya kusadikika kunywa maji yenye sumu katika kitongoji cha Mwenge kijiji cha Sosaiti kata ya Magamba Manispaa…
20 December 2023, 4:43 pm
Viongozi,watendaji na wadau mkoani Katavi wameaswa kuyatumia vizuri Matokeo ya sensa ya sita ya watu na makazi iliofanyika mwaka 2022 katika kutimiza adhma ya serikali Na Festo Kinyogoto – Katavi Mkoa wa Katavi unaongoza Kwa kuwa na ongezeko la watu…
20 December 2023, 4:15 pm
Wananchi Katavi wameeleza mbinu wanazozitumia katika kuzuia na kupambana na ugonjwa wa malaria. Na Gladness Richard – Mpanda Wananchi Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameeleza mbinu wanazozitumia katika kuzuia na kupambana na ugonjwa wa malaria katika msimu huu wa mvua.…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
