Mpanda FM

Recent posts

28 May 2024, 12:38 pm

Wananchi Misunkumilo walia ukosefu wa kituo cha afya

Wamebainisha kuwa kwa sasa huwalazimu kupata huduma za afya katika zahati ya Shule ya wasichana ya Mpanda ama kusafiri hadi mjini kuja kupata huduma hiyo hali ambayo imekuwa ikiwagarimu muda na pesa kwa ajili ya usafiri.”Picha na mtandao Na John…

24 May 2024, 10:05 am

Katavi: Watoto waendelea kuogelea mto Misunkumilo

“Serikali ya mtaa haitasita kuchukua hatua kwa wazazi ambao watoto wao watabainika wanazurura mtaani, amesema mwenyekiti wa mtaa wa Mpanda Hoteli Christina Mshani” Picha na Samwel Mbugi Wazazi Mpanda Hoteli Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kutimiza wajibu Wa kuwalinda…

24 May 2024, 9:19 am

Wawili wanaswa na bangi 110kg Tanganyika

“Mkuu wa wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu amewataka wananchi wilayani humo kuacha kujihusisha na na shuguli za dawa za kulevya” Picha na John Benjamin Na john Benjamin-Katavi Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa kushirikiana na vyombo…

23 May 2024, 10:57 am

RC Mrindoko :Hospitali zinazodaiwa na MSD zilipe madeni

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko.Picha na Anna Milanzi “kulipa madeni katika hospitali ambazo zinadaiwa kutaongeza ufanisi katika utendaji kazi“ Na Rachel Ezekia-Katavi Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amezitaka hospitali zinazodaiwa na bohari ya dawa kanda…

21 May 2024, 3:18 pm

Zimamoto Mpanda waaswa kuchukua tahadhari kabla ya kuzima moto

“Jeshi la zimamoto lililoundwa kwa sheria namba 14 ya mwaka 2007 jukumu lake kubwa ni kuzima moto na kuokoa maisha na mali katika  majanga yatokanayo na moto ,mafuriko ,teteeko la ardhi ,ajali za barabarani pamoja  na  majanga mengine” Picha na…

20 May 2024, 3:46 pm

Katavi kunufaika na mashine mpya kunusuru kukatika umeme

Na mwandishi wetu Dodoma Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga amesema mradi wa ujenzi wa njia ya umeme kutoka Tabora hadi Katavi wenye thamani ya shilingi bilioni 116 umefikia asilimia 58, ambapo utakapokamilika utauunganisha mkoa wa Katavi kwenye gridi ya…

17 May 2024, 2:06 pm

Wananchi Katavi wahofia aliyesimamia mgogoro wao na jeshi kuwageuka

Huenda ametugeuka kwa kuwa eneo lake limeachwa wazi hivyo tunadhani kuwa zipo sababu za yeye kuegemea upande mmoja na kusababisha maeneo hayo kuchukuliwa na jeshi” Alisema mmoja wa wananchi aliehudhuria kliniki hiyo. Picha na Lilian Vicent Na Lilian Vicent -Katavi Mkuu…

16 May 2024, 4:46 pm

Simba Yasemekana Kuonekana Maeneo ya Mpanda Hotel na Msasani

“Tumepokea barua kutoka kambi ya Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ ikimuarifu kuwajulisha wananchi wa mtaa wake kuwepo kwa mnyama Simba ili wawe makini pindi wanapokuwa katika shughuli zao hususani zile za usiku Amesema mwenyekiti wa mtaa wa Mpanda hotel. Picha…

15 May 2024, 11:59 pm

Mpanda Madiwani WaivaaTanesco Umeme Kukata Mara kwa Mara

“Kukatika kwa umeme baadhi ya maeneo imekuwa inajirudia na kumekuwa hakuna taarifa kutoka mamlaka husika jambo ambalo limekuwa likipeekea changamoto ya kusimama kwa baadhi ya kazi za watu zinazotegemea nishati ya umeme” Picha na Lilian Vicent Na Lilian Vicent-Katavi Wananchi…

15 May 2024, 11:12 pm

Rc Katavi, Wazazi Zungumzeni na Watoto Kulinda Maadili

Mkuu wa mkoa wa katavi Mhe. Mwanamvua Mrindoko alipokuwa akitoa hotuba kwa Wananchi katika viwanja vya kituo cha Afya Nsemulwa katika siku ya familia duniani. Picha na Gladness Richard Kauli mbiu ya maadhimisho hayo kwa mwaka huu ni ‘Tukubali tofauti…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.