Mpanda FM
Mpanda FM
1 February 2024, 5:54 pm
“Kaimu kamanda Geofrey Mwambungu amesema kuwa kuna ajali nyingi hutokea katika maeneo ya Migodini kipindi cha mvua”. Picha na Gladness Richard. Na Gladness Richard-Katavi Wachimba wa madini mkoani Katavi wameshauliwa kuchukua tahadhali kabla hawajaingia kwenye Migodi katika kipindi hiki cha…
1 February 2024, 5:27 pm
TAKUKURU wanaendelea kufaatilia utekelezaji wa Miradi 11 yenye thamani ya Shilingi Billioni 9.57 katika sekta ya elimu,Afya na ufundi stadi [VETA].Picha na Gladness Richard Na Gladness Richard-Katavi Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Katavi TAKUKURU wamepokea malalamiko…
1 February 2024, 4:48 pm
Wamehoji kutorekebishwa Kwa baadhi ya Vyoo katika Jengo Hilo Kwa muda mrefu ambavyo vimeharibika, kucheleweshwa Kwa fedha za umalizaji Shule na Zahanati ambazo zimetumia nguvu za wananchi. Picha na Festo Kinyogoto. Na Festo Kinyogoto-Katavi Baraza la Madiwani halmashauri ya Wilaya…
1 February 2024, 3:02 pm
Halmashauri zote zilizopo mkoani Katavi kuhakikisha zinapanda miti milioni 2. Picha na Festo kinyogoto Na John Benjamin-katavi Halmashauri zote na mamlaka za Mistu mkoani Katavi zimetakiwa kuhakikisha zinapanda Miti kwa ajili ya kutunza mazingira na uoto wa AsiliHayo yamebainishwa na…
24 January 2024, 3:43 pm
“Madhara ni kupelekea mtumiaji kupata homa na hata kuharisha kutokana na sumu iliyopo ndani ya Chakula”. Picha Na Mtandao Na Lilian Vicent-katavi Baadhi ya wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameeleza maoni yao Mseto juu ya namna wanazingatia muda sahihi …
24 January 2024, 3:24 pm
“Hakimu Mfawidhi Mkuu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Katavi amewaasa Wananchi kujitokeza kushiriki ili kupata Elimu ya masuala mbalimbali yanayohusu sheria ” Picha na Festo Kinyogoto. Na Festo Kinyogoto-Katavi Kuelekea maazimisho ya wiki ya sheria Hakimu Mfawidhi Mkuu wa Mahakama…
24 January 2024, 2:57 pm
“Wananchi Wamesema Barabara nyingi zilizopo Manisapa zina Mashimo yaliyojaa maji na matope, mitalo iliyojaa michanga na takataka inayosababisha maji kuchepuka na kuingia barabarani” Picha Na Festo Kinyogoto Na Gladness Richard-katavi Wananchi wa Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba Serikali kuboresha…
20 January 2024, 1:52 pm
Picha na Mtandao Wanafunzi hao hawakuweza kufanya mtihani wao wa darasa la nne kwa sababu za utoro ziliopelekea kushindwa kufika katika chumba cha kufanyia mtihani. Na Asha Bakari-Katavi Zaidi ya wanafunzi mia nne [400] wa Shule ya Msingi Nyerere wameshindwa…
19 January 2024, 12:54 pm
Mama wa Mtoto huyo akiwa katika hospitali hiyo kwa Matibabu zaidi ya Mtoto .Picha na Gladness Richard Amefanya kitendo hicho baada ya kufika hospitali na kuomba kwenda chooni na huko ndipo alipofanya jaribio hilo. Na Gladness Richard-Katavi Binti anayefahamika kwa…
18 January 2024, 12:50 am
Picha na Mtandao Ugonjwa huo unawapata watu wa rika zote hivyo jamii inapaswa kupata Matibabu mapema iwezekanavyo mara tu watakapoona viashiria vya Ugonjwa huo. Na Gladness Richard-Katavi Wananchi wa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameeleza namna wanavyoufahamu Ugonjwa wa Macho…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
