Mpanda FM

Recent posts

27 February 2026, 4:41 pm

Serikali Mpanda yapata hasara, madirisha 120 yapotea

“Nimesikitishwa na uharibifu huu wa miundombinu, ulinzi ni lazima uwepo katika maeneo hayo” Na Anna Milanzi-Katavi Jumla ya madirisha 120 ya alminium yameibwa  katika shule za msingi, sekondari pamoja na zahanati zilizopo manispaa ya Mpanda mkoani Katavi Hayo yameelezwa wakati…

26 February 2026, 4:03 pm

Kaya maskini zapata bima ya afya

“Msikubali kupitwa na fursa ya bima ya afya” Na Betord Chove Watu wapatao 23,236 kutoka kaya maskini  wanatarajia kunufaika na huduma ya bima ya afya kwa wote kupitia mfuko wa TASAF mkoani Katavi. Akitoa taarifa wakati wa hafla ya  uzinduzi…

26 February 2026, 3:37 pm

Karema yakosa mawasiliano

Daraja lililovunjika na kusababisha kukosekana kwa mawasiliano. Picha na Betord Chove “Hakuna mtanzania anayeweza kuingia Karema” Na Betord Chove Daraja linalounganisha vijiji vya Ikola, Karema na makao makuu ya Wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi limekatika kutokana na mvua  zinazoendelea kunyesha.…

26 February 2026, 3:06 pm

Makanyagio: Maji yawatesa wakazi

Mhandisi Philipo Pagati meneja usambaji maji manispaa ya Mpanda. Picha na Anna Mhina “Kwa kweli kuna changamoto kubwa ya maji” Na Leah Kamala Wananchi kata ya makanyagio manispaa ya Mpanda mkoani Katavi  wamelalamikia  upatikanaji wa maji safi na salama hali…

25 February 2026, 11:05 am

Waliohusika kumuua Irene kukiona

“Nilimtuma mdogo wake hakumkuta,tukaenda wote kumtafuta hadi usiku wa saa sita hatukufanikiwa kumuona basi tukafunga mlango tukalala“ Na Anna Milanzi -Katavi Kufuatia mauaji ya  Irene Yosia binti mwenye  umri wa miaka 16 mkazi wa mtaa wa Tulieni manispaa ya Mpanda…

24 February 2026, 7:05 pm

Million 372 zatumika ununuzi wa vifaa tiba Mpanda

Baadhi ya viongozi katikati ni mbunge wa jimbo la Mpanda mjini Haidary Sumry. Picha na Samwel Mbugi “Tunaishukuru serikali tumepokea vifaa tiba” Na Samwel Mbugi Hospitali ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi imepokea vifaa tiba 46 kutoka serikali ya awamu…

24 February 2026, 1:25 pm

Mwili wakutwa kwenye shimo la kufyatulia tofali

Picha na mtandao wa mwananchi “Tukio hili limetushtua sana na huu ni ukatili” Na Anna Mhina Wakazi wa mtaa wa Tulieni, kata ya Nsemulwa, Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, wamepatwa na mshtuko kufuatia kukutwa kwa mwili wa msichana mmoja ndani…

23 February 2026, 7:05 pm

Halmashauri ya manispaa Mpanda yatenga bil. 35.2

“Hatuwezi kutengeneza miradi kama hatukusanyi mapato” Na Samwel Mbugi Baraza la madiwani halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi imepitisha mapendekezo ya rasimu ya mpango na bajeti zaidi ya shilingi billioni 35 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 Akisoma taarifa…

21 February 2026, 7:19 pm

Usafi wa kinywa kwa watoto, fumbo kwa wazazi

Wanatumia vitambaa na wengine kutumia mikono pasipo kujua njia sahihi za kitaalamu kwa ajili ya kusafisha vinywa vya watoto. Na Rhoda Elias-Katavi Baadhi ya wananchi manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameeleza kuwa hawana uelewa wa kutosha juu ya namna sahihi…

20 February 2026, 6:16 pm

Skimu ya umwagiliaji Mwamkulu, kicheko kwa wakulima

“walikuwa wakikumbana na changamoto katika shughuli za kilimo, ikiwemo ukosefu wa maji ya uhakika kwa ajili ya umwagiliaji” Na Ben Gadau – Katavi Baadhi ya wananchi wa Kata ya Mwamkulu wameishukuru Serikali kwa kuwapelekea mradi wa skimu ya umwagiliaji, wakisema…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.