Mpanda FM

Recent posts

17 November 2025, 10:20 am

Athari za mabadiliko ya tabianchi mwiba kwa zao la alizeti Katavi

Na Restuta Nyondo Karibu kusikiliza makala fupi inayozungumzia athari za mabadiliko ya tabia nchi kwa zao la alizeti mkoani Katavi wakati mkutano wa 30 wa nchi wanachama wa mkataba wa umoja wa mataifa kuhusu mabadiliko ya tabianchi (COP30) ukiwa unaendelea…

8 November 2025, 2:05 pm

Matarajio ya wananchi Katavi kuelekea mkutano wa COP30

“Mkutano huu ni muhimu kwa Tanzania kwani tutaweza kulinda misitu ya asili” Na Restuta Nyondo Jamhuri ya muungano wa Tanzania imethibitisha kushiriki katika Mkutano wa 30 wa nchi wanachama wa mkataba wa umoja wa mataifa kuhusu mabadiliko ya tabianchi (COP30)…

28 October 2025, 9:52 am

Athari za rushwa kipindi cha uchaguzi

Afisa TAKUKURU mkoa wa Katavi Leonard Minja. Picha na Anna Mhina Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Katavi imeweka bayana athari zitokanazo na rushwa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025.…

28 October 2025, 9:45 am

Mrindoko awapongeza waumini wa TAG Mpanda kwa kuliombea Taifa

Wachungaji wa TAG Mpanda wakiliombea Taifa. Picha na Anna Mhina “Tunaliombea Taifa kwasababu ni agizo la Mungu” Na Anna Mhina Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amewapongeza waumini wa kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Bethel lililopo…

22 October 2025, 1:57 pm

TAG Living Water yatenga siku 14 kwa ajili ya uchaguzi mkuu

Waumini wa kanisa la Living Water wakihitimisha maombi. Picha na Anna Mhina “Nazidi kuwasisitiza viongozi Taifa bado linahitaji kumuomba Mungu” Na Anna Mhina Waumini wa kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Living Water lililopo mtaa wa Kwalakwacha kata ya…

22 October 2025, 12:45 pm

TAKUKURU Mpanda yaeleza athari za rushwa kipindi cha uchaguzi

Afisa wa TAKUKURU Leonard Minja akizungumza na Mpanda radio. Picha na Anna Mhina “Rushwa ikifumbiwa macho hupelekea jamii nzima kuathirika” Na Samwel Mbugi Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Katavi imeweka bayana athari zitokanazo na rushwa…

20 October 2025, 5:01 pm

Mwigulu “Puuzieni taarifa zinazoenezwa kwenye mitandao ya kijamii”

Waziri wa fedha Mwigulu Nchemba. Picha na mtandao ” Wengine wanasema serikali imeishiwa hela “ Na Restuta Nyondo Serikali imesema kuwa Tanzania ina akiba ya fedha kiasi cha zaidi ya trilion 16 kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa na hakuna nchi yeyote…

20 October 2025, 4:43 pm

Sumry awaahidi wanampanda mbolea ya ruzuku

Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Mpanda wa pili kutoka kulia akiwanadi wagombea wa jimbo hilo. Picha na Leah Kamala “Ndugu zangu wa Kasokola kwenye kilimo Rais Samia amefanya kazi kubwa” Na Leah Kamala Mgombea Ubunge wa jimbo la mpanda mjini…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.