Mpanda FM
Mpanda FM
16 February 2026, 8:30 pm
“Mradi ni fursa muhimu katika juhudi za kupunguza vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga“ Na Ben Gadau -Katavi Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Hoza Mrindoko, amezindua mradi wa THAMINI UHAI unaolenga kupunguza vifo vya kinamama wajawazito…
12 February 2026, 5:55 pm
Dkt. Juma Zuberi Homera waziri wa katiba na sheria. Picha na Restuta Nyondo ” Utekelezaji wa huduma hii uanze mikoa yote ya Tanzania bara” Na Restuta Nyondo Waziri wa katiba na sheria Dkt .Juma Zuberi Homera ameagiza wakala wa usajili,…
12 February 2026, 1:36 pm
Anyulumye Longo Afisa Ustawi manispaa ya Mpanda, mkoani Katavi. Picha na Anna Mhina Wazazi na walezi katika manispaa ya Mpanda, mkoani Katavi, wamesema kuwa uelewa mdogo wa jamii juu ya umuhimu wa elimu na hali ya umasikini vinachangia mtoto kutokupelekwa…
6 February 2026, 5:07 pm
Christina Ruchahura kamisha wa mamlaka ya udhibiti na kupambana na madawa ya kulevya Kanda ya magharibi. Picha na Samwel Mbugi “Hii mamlaka imeanzishwa kwa mujibu wa sheria ya kudhibiti na kupambana madawa ya kulevya” Na Samwel Mbugi Wananchi mkoani Katavi…
6 February 2026, 3:19 pm
SACP Kaster Ngonyani kamanda wa polisi Katavi. Picha na Anna Mhina “Tumefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 34 kwa makosa mbalimbali” Na Anna Mhina Jeshi la polisi mkoa wa Katavi limeendelea kuimarisha ulinzi na usalama kwa raia na mali zao kwa kufanya operasheni,…
5 February 2026, 4:40 pm
Coplo Sophia Peleka askari kitengo cha elimu ya usalama barabarani Katavi. Picha na Anna Mhina “Madereva hilo hawalizingatii sana kwa mkoa wetu” Na Anna Mhina Baadhi ya watembea kwa mguu manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamewalalamikia badhi madereva wa vyombo…
5 February 2026, 3:59 pm
Baraka Nkondo daktari bingwa wa magonjwa ya pua, koo na masikio. Picha na Leah Kamala “Magonjwa haya yanapotokea na jumuisha na magonjwa ya kuambukiza” Na Leah Kamala Wananchi manispaa ya mpanda mkoani Katavi wameshauriwa kujenga desturi ya kupima afya zao…
4 February 2026, 9:21 am
Baada ya kupatiwa matibabu. Picha na Anna Mhina “Niligongewa mlango saa tano za usiku “ Na Anna Mhina Kijana mmoja ambaye jina lake limehifadhiwa anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 30-35 mkazi wa mtaa wa Mpadeko uliopo kata…
3 February 2026, 3:30 pm
“Mtunze kila kitu mnachokikuta kuanzia majengo mpaka samani” Na Samwel Mbugi Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwananamvua Hoza Mrindoko amewataka wanafunzi na walimu wa shule ya Ufundi Mgombe secondary school iliyopo wilaya ya Mlele kijiji cha Uzega kutunza miundombinu ya…
2 February 2026, 5:36 pm
“Watu wanaweza kufungua kesi popote pale bila kufika mahakamani” Na Samwel Mbugi Mahakama nchini Tanzania imefanikiwa kufanya maboresho ya mifumo ya tehama na kurahisisha upatikanaji huduma za uendeshaji wa kesi kwa njia ya mtandao kama utekelezaji wa dira ya upatikanaji…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
