Mpanda FM

Recent posts

7 January 2025, 6:34 pm

Watu wenye ulemavu Katavi walia na TASAF

“Kata ya Mpanda Hotel hakuna mtu mwenye ulemavu ambae amenufaika na TASAF “ Na Samwel Mbugi-Katavi Katibu wa chama cha watu wenye ulemavu mkoa wa Katavi Godfrey Albeto Sadala amesema watu wenye ulemavu wanabaguliwa kuingizwa kwenye mradi wa wanufaika wa…

6 January 2025, 7:18 pm

RC Katavi apiga stop wakuu wa wilaya kufyeka mazao ya wakulima

“Ameutaka uongozi wa halmashauri ya wilaya ya Tanganyika kulipa fidia ya mbegu kama sehemu ya uharibifu” Na Samwel Mbugi -Katavi Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko ametoa maelekezo kwa Wakuu wa Wilaya kuhakikisha doria zinazofanyika katika misitu na…

3 January 2025, 10:21 pm

Viongozi wa CHADEMA Katavi wamuunga mkono Lisu

“wao kama viongozi wa CHADEMA watahakikisha wanamuunga mkono Tundu Lissu kwa ajili ya maendeleo ya chama na Taifa kwa ujumla.“ Na Edda Enock-Katavi Viongozi wa chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA mkoa wa Katavi  Wamemuunga  mkono Tundu Lissu Katika kuwania…

3 January 2025, 10:05 pm

Mtoto wa miaka 8 afariki kwa kujinyonga, sababu kukosa nguo za sikukuu

“wazazi hakikisheni mnatunza fedha kwa ajili ya kuwanunulia watoto nguo za sikukuu ili kuwaepushia watoto msongo wa mawazo“ Mtoto mwenye umri wa miaka 8 amefariki dunia mkoani Katavi mara baada ya kujinyonga kutokana na kukosa nguo za sikukuu Akizungumza na…

3 January 2025, 9:34 pm

Jeshi la polisi Katavi labainisha mafanikio kwa mwaka 2024

“kipindi cha mwaka 2024, jeshi la polisi mkoa wa Katavi limefanikiwa kudhibiti wizi wa mifugo ambapo watuhumiwa 48, walikamatwa kwa kosa la wizi wa mifugo“ Na Leah Kamala-Katavi Jeshi la polisi mkoa wa katavi limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 8064 kwa kipindi…

1 January 2025, 9:04 pm

Diwani Mpanda Hotel ashiriki chakula na wenye ulemavu

“kupitia sera ya utawala bora  wamejipanga kutambua makundi ya watu wenye ulemavu  kwani wamekuwa wakisahaulika katika jamii“ Na Samwel Mbugi – Katavi Baadhi  ya watu wenye ulemavu Kata ya Mpanda Hotel Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameshiriki chakula cha pamoja…

31 December 2024, 10:14 pm

Waendesha bajaji Katavi watembelea wagonjwa, yatima

“wameguswa kutoa msaada kwa watu hao wenye uhitaji kuliko kwenda kufanya starehe “ Na Samwel Mbugi-Katavi Baadhi ya wanawake katika wodi ya wazazi  pamoja na watoto yatima wanaoishi  kituo cha  mtakatifu Yohane Poul  wa II Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi…

26 December 2024, 6:12 pm

Waumini wa kanisa la EAGT Kasekese walipokea neno la Krismasi

“kupitia neno la Mungu lililohubiriwa siku ya sikukuu ya Krismasi limeendelea kuwakuza kiimani na kumjua Mungu zaidi“ Na Lilian Vicent-Katavi Waumini wa kanisa la EAGT lilipo  kata ya Kasekese Halmashauri ya wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi wamesema  kupitia neno lilohubiriwa…

26 December 2024, 5:41 pm

Mahindi yafyekwa tena Katavi

“Katika makubaliano ilikuwa wataendelea kufanya shughuli zao za kilimo mpaka watakapopewa fidia lakini hawataruhusiwa kukata mti wowote ambao utakuwa ndani ya shamba“ Na Samwel Mbugi-Katavi Baadhi wa wananchi wa kata ya Kasekese kijiji cha Kagunga halmashauri ya wilaya ya Tanganyika …

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.