Mpanda FM

Recent posts

16 January 2025, 1:02 pm

Wananchi washauriwa kujenga nyumba imara

“Inapojengwa nyumba imara husaidia kuepusha majanga hasa tetemeko la ardhi linapotokea“ Na Roda Elias-Katavi Wananchi manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameshauriwa kujenga nyumba zilizo imara na kuzikagua kila wakati ili kuepukana na athari za tetemeko la ardhi. Ushauri huo umetolewa…

16 January 2025, 11:48 am

Wananchi washauriwa kuacha kula udongo

“Wameainisha sababu zinazowapelekea kutumia udongo“ Na Roda Elias-Katavi Wananchi Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuacha ulaji wa udongo [maarufu kama Pemba ] ili kulinda afya na kuepukana na magonjwa. Wakizungumza na Mpanda Redio FM wananchi hao wameainisha sababu zinazowapelekea kutumia…

15 January 2025, 9:36 pm

Chatu awanyima usingizi wakazi wa Kasimba

“Ameonekana tena katika maeneo hayo jioni ya January 15, 2025“ Na Anna Milanzi-Katavi Wananchi wa mtaa wa Kasimba mkoani Katavi wamejikuta wakiishi kwa hofu kutokana na uwepo wa nyoka aina ya chatu ambaye anaonekana katika maeneo ya Jirani na makazi…

14 January 2025, 9:52 pm

wananchi mtaa wa Mpadeco walalamikia kutozolewa takataka kwa wakati

“wamelalamikia kutozolewa taka kwa wakati huku wakiwa na hofu kutokana na uwepo wa mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu“ Na Samwel Mbugi -Katavi Baadhi ya wananchi wa mtaa wa mpadeco kata ya Makanyagio Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamelalamikia serikali kutokutoa…

10 January 2025, 12:14 pm

Ubovu wa barabara kikwazo cha uchumi

“Serikali kuchukua hatua za haraka za matengenezo ili kulifungua eneo hilo“ Na John Benjamin Katavi Ubovu wa barabara inayounganisha kata ya Nsemulwa na Uwanja wa Ndege manispaa ya Mpanda mkoani Katavi ni kero ambayo inazorotesha ukuaji wa uchumi wa kata…

9 January 2025, 1:17 pm

Chatu azua hofu kwa wananchi mtaa wa Kasimba

“Hofu imetanda miongoni mwao kwani huenda chatu huyo akaleta madhara kwa binadamu.“ Na Lilian Vicent -Katavi Wananchi wa mtaa wa Kasimba Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamelalamikia uwepo wa nyoka aina ya chatu ambaye amekuwa tishio kwa kula mifugo kama…

9 January 2025, 9:41 am

Wajasiriamali wahamasishwa kuchukua mikopo ya 10%

“kina mama, vijana pamoja na wazee wanapaswa kutambua faida za kujiunga na mikopo inayotolewa ya asilimia 10“ Na Roda Elias -Katavi Wajasiriamali  katika soko la masaa linalopatikana kata ya Mpanda Hotel wametakiwa kuchangamkia fursa za mikopo inayotolewa  ya asilimia 10.…

9 January 2025, 9:31 am

Wananchi Katavi washauriwa kuweka malengo ya mwaka

“Kuweka malengo mwanzoni mwa mwaka  husaidia kuepuka matumizi yasiyoyalazima“ Na Lilian Vicent -Katavi Baadhi ya wananchi Mkoani Katavi wamesema kuwa kuweka malengo mwanzoni mwa mwaka  ni moja ya sababu inayochangia kufikia mafanikio kwa wakati. Wakizungumza na Mpanda Redio  FM wamebainisha…

8 January 2025, 12:24 pm

Mbunge jimbo la Nsimbo akabidhi gari ya wagonjwa Itenka

“Amewataka  wauguzi   na wananchi kutumia gari hilo kwa kufuata kanuni sheria na miongozo ya serikali” Na Rachel Ezekia-Katavi Mbunge wa jimbo la Nsimbo Anna Lupembe amekabidhi gari la kubebea wagonjwa katika kituo cha afya Itenka Kilichopo hlmashauri ya Nsimbo Wilayani…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.