Mpanda FM
Mpanda FM
28 June 2025, 5:17 pm
Mwenyekiti wa CCM Katavi Idd Kimanta. Picha na John Benjamin “Kiongozi atakaeonesha anamtaka fulani ndani ya chama tutachukua hatua” Na John Benjamin Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Katavi kimekemea vikali mianya ya rushwa upangaji wa matokeo kwa wagombea wataojitokeza…
26 June 2025, 2:07 pm
Baadhi ya waandishi wa habari wakipatiwa mafunzo. Picha na Anna Mhina “Mafunzo ya leo yatatusaidia katika kuandaa habari kwa umakini” Na Anna Mhina Zaidi ya waandishi wa habari 20 mkoani Katavi wamepatiwa mafunzo ya lishe bora pamoja na ukatili kwa…
26 June 2025, 8:47 am
Mahali ulipopumzishwa mwili wa Silavius. Picha na Leah Kamala “Ni tukio ambalo haulitegemei linatokea katika utafutaji” Na Leah Kamala Kijana mmoja mwendesha pikipiki ya magurudumu matatu maarufu kama bajaji kata ya Nsemulwa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi Silavius Nestory Kameme…
25 June 2025, 8:24 am
Daktari bingwa wa magonjwa ya akili na afya ya akili Edward Buchee. Picha na Anna Mhina “Mama mjamzito kama anatumia vilevi anaweza kujifungua mtoto wa aina hiyo” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba…
23 June 2025, 12:09 pm
Mto Misunkumilo wananchi wakiendelea na shughuli zao. Picha na Anna Mhina “Maeneo ya mtoni sio maeneo rafiki kwa watoto” Na Roda Elias Mtoto Aliefahamika kwa jina la Barnaba Daniel (7) mkazi wa kata ya Makanyagio manispaa ya Mpanda mkoani Katavi…
20 June 2025, 3:49 pm
Watembea kwa miguu wakivuka barabara eneo la Machinjioni. Picha na Samwel Mbugi “Makundi yote ya watumiaji barabara wachukue tahadhari” Na Samwel Mbugi Kutokana na uwepo wa ajali za mara kwa mara eneo la Machinjioni manispaa ya mpanda mkoani Katavi wananchi…
20 June 2025, 2:34 pm
Baadhi ya madiwani wa halmashauri ya manispaa ya Mpanda. Picha na Bertod Chove “Naiomba jamii tushirikiane kulaani vitendo hivi” Na Bertod Chove Diwani Viti maalumu manispaa ya Mpanda Ashura Maganga amelaani vitendo vya wanasiasa wanaofanya ukatili kwa watu wenye ualbino…
19 June 2025, 8:34 am
Picha ya viongozi wa serikali katikati ni mkuu wa wilaya ya Mpanda. Picha na Anna Mhina “Kumfungia mtoto ndani ni kumnyima haki zake za msingi” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba…
19 June 2025, 8:19 am
Wanafunzi wakiwa kwenye maandamano siku ya mtoto wa Afrika. Picha na Anna Mhina “Uelewa mdogo wa jamii juu ya umuhimu wa elimu unatukwamisha tusitimize ndoto zetu” Na Anna Mhina Wazazi na walezi mkoani Katavi wametakiwa kutoa taarifa za vitendo vya…
14 June 2025, 12:15 pm
Meneja wa Mpanda radio FM Denis Mkakala. Picha na Samwel Mbugi “Tumekuja kuwasalimia watoto na kuwaletea zawadi” Na Anna Mhina Wazazi na walezi wa mkoa wa Katavi wameshauriwa kuhakikisha wanasimamia misingi ya malezi bora ya kulea watoto na si kuwatelekeza.…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
