Mpanda FM
Mpanda FM
30 September 2025, 2:25 pm
Afisa kilimo kata ya Makanyagio Philemon Tesha. Picha na Anna Mhina “Mimi nachukulia kilimo ni ile hatua ya mwisho ya kijana aliyefeli maisha” Na Anna Mhina Wakulima mkoani Katavi wametakiwa kuachana na kilimo cha mazoea na badala yake wajikite kulima…
29 September 2025, 12:44 pm
Omary Yusuph daktari hospital ya rufaa Katavi . Picha na Anna Mhina “Anaposhiriki ananifanya nisione jambo la ujauzito kuwa ni gumu” Na Anna Mhina Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Msasani uliopo kata ya Mpanda hotel manispaa ya Mpanda mkoani…
20 September 2025, 4:48 pm
Moja ya taa za barabarani katika halmashauri ya manispaa ya Mpanda. Picha na Sultan Kandulu “Taa za barabarani kuwa mbovu zinaleta changamoto kwetu sisi watumiaji wa vyombo vya moto” Na Sultan Kandulu Watumiaji wa barabara mkoani Katavi wametakiwa kuchukua tahadhari…
20 September 2025, 4:21 pm
Kulia juu ni mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko. Picha na Benny Gadau “Mwenge wa uhuru unatarajiwa kutembelea miradi 46 yenye umbali wa 769” Na Benny Gadau Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amewataka wananchi kudumisha amani…
19 September 2025, 12:38 pm
Baadhi ya washiriki wakiwa kwenye mjadala, aliyesimama ni mtangazaji wa Mpanda radio FM Betord Chove. Picha na Benny Gadau “Ili niweze kupiga kura cha kwanza niwe na kitambulisho” Na Betord Chove na Benny Gadau Mpanda radio FM kwa kushirikiana taasisi…
18 September 2025, 10:33 am
“Hawa watoto ni wanafunzi ambao wapo likizo kusubiri matokeo yao” Na Anna Mhina Wazazi na walezi wametakiwa kuacha tabia ya kuwatumia watoto kama mtaji pindi wanapohitimu elimu yao ya msingi na badala yake wawaache wafikie ndoto zao. Hayo yamesemwa na …
18 September 2025, 9:31 am
Viongozi mbalimbali katika picha ya pamoja, wapili kutoka kulia ni mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph. Picha na Benny Gadau “Ushirikiano kati ya TRA na wafanyabiashara ni jambo la msingi sana” Na Benny Gadau Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA…
16 September 2025, 3:56 pm
MNEC Gilbert Sampa kulia akimnadi mgombea ubunge jimbo la Nsimbo Anna Lupembe. Picha na Samwel Mbugi “Tufanye kampeni za kistaarabu hakuna sababu za kutumia kejeli wala matusi” Na Samwel Mbugi Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Katavi kimezindua kampeni jimbo…
16 September 2025, 3:31 pm
“Mgombea udiwani Kata ya Nsemulwa na kata ya Shanwe wamemuombea kura mgombea udiwani wa kata hiyo ya kazima“ Na Anna Milanzi-Katavi Chama cha ACT wazalendo kimeendelea na kampeni zake katika maeneo mbalimbali mkoani Katavi na kunadi sera zao kwa wananchi.…
16 September 2025, 1:31 pm
Picha ya baadhi wagombea nafasi mbalimbali za uongozi, wanne kutoka kulia ni mgombea ubunge jimbo la Mpanda mjini Haidary Sumry. Picha na Samwel Mbugi “Yale ambayo tumeyaahidi 2020 tumeyatekeleza” Na Samwel Mbugi Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa katavi kimezindua…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
