Mpanda FM

Recent posts

9 October 2023, 3:06 pm

Chongolo amtaka Waziri wa maji kufika Karema na Ikola

Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi taifa Daniel Chongolo amemtaka Waziri wa maji Juma Aweso kuhakikisha anafika kata za Karema na Ikola Kutatua changamoto ya maji Na John Benjamin – Tanganyika Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi taifa Daniel Chongolo…

9 October 2023, 2:28 pm

Jamii Katavi yashauriwa kuwa na matumizi sahihi ya uzazi wa mpango

Jamii Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi imeshauriwa kuwa na matumizi sahihi ya uzazi wa mpango Na Kalala Robert & Veronica Mabwile – MpandaJamii Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi imeshauriwa kuwa na matumizi sahihi ya uzazi wa mpango ili kuwa na…

9 October 2023, 1:38 pm

Wananchi waombwa  kuacha kuwapa nguvu Kamchape

Wananchi wa mkoa wa Katavi waombwa  kuacha kuwapa nguvu na fursa watu wanaodhaniwa  kuwa na uwezo wa kufichua wachawi[Kamchape] Na John Benjamin – KataviWananchi wa mkoa wa Katavi wameombwa  kuacha kuwapa nguvu na fursa watu wanaodhaniwa  kuwa na uwezo wa kufichua wachawi[Kamchape]…

9 October 2023, 12:37 pm

TRA Katavi yatoa elimu ya mabadiliko ya sheria mpya za kodi

MpimbweMamlaka ya Mapato Tanzania TRA Mkoa wa Katavi imetoa elimu ya mabadiliko ya sheria mpya za kodi kwa wafanyabiashara wa halmashauri ya Mpimbwe pamoja na kusikiliza kero na kuzipatia ufumbuzi. Akizungumzia utoaji wa elimu hiyo Meneja wa TRA mkoa wa…

5 October 2023, 2:01 pm

Wananchi Kasekese waishukuru serikali kwa kuwajengea shule mpya

Wananchi wa kijiji cha Magogo kata Kasekese wilaya ya Tanganyika mkoani  Katavi wameishukuru serikali kwa kuwajengea shule kijijini hapo. Na Gladness Richard – Tanganyika Wananchi wa kijiji cha Magogo kata Kasekese wilaya ya Tanganyika mkoani  hapa wameishukuru serikali kwa kuwajengea…

5 October 2023, 1:41 pm

Chongolo aahidi kufanyia kazi mradi wa umeme wa gridi ya taifa

Katibu mkuu wa Chama Cha mapinduzi taifa Daniel chongolo ameahidi kufanyia kazi mradi wa umeme wa gridi ya taifa Na John Benjamin – Mpanda Katibu mkuu wa Chama Cha mapinduzi ccm taifa Daniel chongolo ameahidi kufanyia kazi kuhakikisha mradi wa…

4 October 2023, 1:43 pm

Mbogo atoa fedha kukamilisha ofisi za CCM Mlele

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Katavi kupitia CCM Taska Restituta Mbogo ametoa zaidi ya shilingi milioni tatu kwa ukamilishaji wa ofisi za CCM wilaya ya Mlele na ofisi ya UWT wilayani hapo. Na Ben Gadau – MleleMbunge wa Viti Maalumu…

2 October 2023, 10:11 pm

Katibu mkuu CCM taifa Daniel Chongolo awasili Katavi

KATAVIKatibu mkuu wa chama cha mapinduzi CCM taifa Daniel Chongolo Amewasili Mkoani Katavi kuanza Ziara ya Siku 6 kwa ajili ya kukagua miradi na kuzungumza na wananchi. Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na chama cha Mapinduzi mkoani Katavi mara baada…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.