

1 November 2024, 3:06 pm
kaimu mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Katavi Stuart Kiondo.picha na Samwel Mbugi “ametoa rai kwa wananchi wote wa mkoa wa Katavi kutoa taarifa za vitendo vya Rushwa hususani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa November 27…
30 October 2024, 4:33 pm
Mkuu wa wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu, picha na Lea Kamala “Kukamilika kwa bweni kutatatua changamoto iliyokuwa ikiwakabili wanafunzi wa kike na kuchangia kutomaliza masomo yao.” Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu kwa niaba ya Mkuu Wa Mkoa wa…
28 October 2024, 8:59 am
Waziri wa Uchukuzi Prof Makame Mbalawa .picha na Ben Gadau “Miradi hiyo inatokana na pesa zilizopatikana katika mradi wa hewa ukaa ambao ni jumla ya bilioni 22 ambapo vijiji 8 vya halmashauri ya wilaya ya Tanganyika vinanufaika na mradi huo.“…
26 October 2024, 2:50 pm
katibu tawala wilaya ya mlele akimuwakilisha mkuu wa wilaya hiyo na kutoza zawadi kwa washindi “wamefurahishwa na michezo hiyo huku wakiwashauri wananchi kuwa na desturi ya kujaribu na kujiamini.“ Na Leah Kamala -Katavi Katibu tawala wa wilaya ya Mlele Yahya…
26 October 2024, 12:10 pm
Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko , wanne kutoka kulia picha na Rachel Ezekia “Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amezitaka taasisi ambazo hazijazindua maonyesho kuzindua maonyesho katika wiki ya mwanakatavi“ Na Rachel Ezekia- Katavi Mkuu…
25 October 2024, 3:11 pm
Mkurugenzi wa asasi ya Tuelimike kijiji cha isanjandugu halmashauli ya nsimbo Douglas Mwaisaka picha na Lea Kamala ” Wananchi wanapaswa kuchagua kiongozi ambaye atakuwa tayari kushirikiana na jamii yake, mwenye nia na uwezo wa kuwaongoza.” Na Lea Kamala Wananchi wa…
25 October 2024, 2:35 pm
Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu, amemtaka mkandarasi kuhakikisha daraja la Ifume linajengwa kwa ubora ili liweze kuwaondolea wananchi wa maeneo hayo kero ya kutumia barabara hususani msimu wa mvua. Wananchi wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi wametakiwa kulinda miundombinu…
24 October 2024, 1:00 pm
Picha na Mtandao ” Watu wenye ulemavu wanapaswa kugombea nafasi kama watu wenginepasipo kujali ulemavu wao “ Wananchi wa manispaa ya mpanda mkoani Katavi, wameshauriwa kuwaunga mkono na kutowakatisha tamaa watu wenye ulemavu pale wanapotaka kuwania nafasi mbalimbali za uongozi..…
21 October 2024, 11:23 am
SSP Deus Sokoni, Mwanasheria wa kikosi Cha usalama barabarani.picha na Anna Milanzi “Kuna baadhi ya makondakta na mawakala ambao hawatoi tiketi mtandao kwa abiria na kuwapatia tiketi za mkono hali ambayo hupelekea abiria hao kuibiwa kwa kuongezewa nauli jambo ambalo…
17 October 2024, 10:32 am
Picha na mtandao “Wamejipanga kuhakikisha wakulima wanalima kilimo chenye tija kwa kutumia mbinu bora zitakazosaidia kuzalisha kwa tija.” Na Lilian Vicent -Katavi Baadhi ya wakazi mkoani Katavi wamewataka wataalamu wa kilimo kuendelea kutoa elimu kwa wakulima ili kuhakikisha uzalishaji wa…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.