Mpanda FM
Mpanda FM
4 September 2025, 10:38 am
” Kukaa na mkojo kwa muda mrefu kunaweza kusababisha figo kushindwa kufanya kazi” Na Anna Mhina Wananchi wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuacha tabia ya kubana haja ndogo kwa muda mrefu (mkojo) ili kuepukana na madhara…
1 September 2025, 7:49 pm
Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko. Picha na Restuta Nyondo “Niwasihi wanakatavi jitokezeni kushiriki mikutano ya kampeni” Na Restuta Nyondo Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amewataka wananchi kuepukana na vitendo vya uvunjifu wa sheria na…
30 August 2025, 3:30 pm
Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph. Picha na Anna Mhina “Ninachoweza kusema ni kwamba magari yote yenye zaidi ya tani 10” Na Sultani Kandulu Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusufu amewataka wafanyabiashara kushushia bidhaa zao katika eneo la…
30 August 2025, 1:10 pm
“Hatuna utaratibu wa kuwakata wagonjwa wetu miguu” Na Anna Mhina Baadhi ya madereva pikipiki maarufu kama bodaboda wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali kuingilia kati suala la kupatiwa haki ya huduma za kiafya pindi wanapopata ajali. Wakizungumza na…
28 August 2025, 6:57 pm
Moja ya makazi yanayotiririsha maji taka. Picha na Sultani Kandulu “Kuna watoto wadogo wanaweza kuchezeachezea zile tope” Na Sultani Kandulu Wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuacha tabia ya kutiririsha maji taka ili kuepukana na magonjwa ya mlipuko…
28 August 2025, 3:30 am
Mgombea ubunge jimbo la Nsimbo Anna Lupembe na msimamizi wa uchaguzi jimbo la Nsimbo Julius Moshi. Picha na Restuta Nyondo. “Kwa kuwa umekizi vigezo hivyo nakuteua kuwa mgombea ubunge jimbo la Nsimbo” Na Restuta Nyondo Mgombea Ubunge wa Jimbo la…
25 August 2025, 6:48 pm
Jofrey Chaka mkaguzi wa polisi. Picha na Anna Mhina “Mtembea kwa miguu anatakiwa atembee upande wake wa kulia” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali kutoa elimu ya usalama barabarani kwa watembea kwa…
20 August 2025, 11:25 pm
“ofisi hiyo itatumika na wadau mbalimbali katika kutekeleza mradi unaolenga kutatua changamoto mbalimbali hasa za uhifadhi wa maji“ Na Anna Milanzi -KataviShirika lisilo la kiserikali kutoka nchini Ujerumani GIZ limezindua ofisi yake katika jengo la Mpanda Plaza manispaa ya Mpanda…
20 August 2025, 6:59 pm
Mkaguzi wa polisi Jofrey Chaka. Picha na Anna Mhina “Hakikisheni vyombo vya usafiri vinakuwa bora” Na Anna Mhina Jeshi la polisi mkoani Katavi kupitia kitengo cha usalama barabarani limewataka watumiaji wa barabara kutii sheria za usalama barabarani ili kuepusha ajali…
17 August 2025, 3:15 pm
“kikao cha halmashauiri kuu kupitia chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Katavi kilichofanyika August 13,2025 kimewateua wagombea udiwani katika kata hizo“ Na Anna Milanzi-Katavi Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Katavi kimeteua majina ya wagombea udiwani katika kata 58 zilizopo…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
