Mpanda FM

Jamii inawajibikaje kwa mwanamke aliyekosa nafasi ya uongozi?

8 September 2025, 7:53 pm

Baadhi ya wachangia mada wa kata ya Mpanda Hotel. Picha na Anna Mhina

“Tutamtia moyo na kumheshimu kwani amethubutu”

Na Anna Mhina na Roda Elias

Baadhi ya wananchi wa  kata ya Mpanda hotel manispaa  ya Mpanda mkoani Katavi wameeleza wajibu wao juu ya mwanamke aliyekosa nafasi ya uongozi.

Wakizungumza na Mpanda Radio FM wananchi hao wamesema kuwa wanachukua wajibu kuwatia moyo na kuendelea kumwamini  mwananamke huyo aliyekosa nafasi ya  uongozi. Sikiliza makala hii zaidi.