14 April 2024, 2:18 pm

DC Mpanda aagiza kufanyika tathmini maafa ya mafuriko

Baadhi ya Nyumba zikiwa zimezingirwa na Maji katika Kata ya Misunkumilo .Picha na Restuta Nyondo “Baada ya kupata taarifa amefika eneo la tukio na kuanza kuchukua hatua za awali ili kuwanusuru wananchi “ Na Betold Chove-Katavi Mkuu wa wilaya Ya…

On air
Play internet radio

Recent posts

19 April 2024, 11:41 pm

Rais wa chemba ya wafanyabiashara nchini azitaka taasisi binafsi kuungana

Rais wa chemba  ya wafanyabiashara Tanzania [TCCIA] Vicent Bruno Minja akizungumza na wafanyabiashara mkoani Katavi.Picha na Veronika Mabwile “changamoto zinashindwa kutatuliwa kutokana na wafanyabiashara wenyewe kutokuwa na umoja“ Na Veronika Mabwile -Katavi Rais wa chemba  ya wafanyabiashara Tanzania [TCCIA] Vicent…

19 April 2024, 12:03 pm

Mwenyekiti Chadema mkoa wa Katavi atangaza maandamano

 Mwenyekiti wa Chama cha Chadema mkoa wa Katavi akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake. Picha na Lilian Vicent “tuna mambo makuu manne ikiwamo jambo la maandamano ambapo wiki ya maandamano inaanza tarehe 22 mwezi wa nne na jambo hili…

16 April 2024, 12:12 am

Mafuriko yazitenganisha Mpanda, halmashauri ya Nsimbo

‘Kutopitika kwa barabara hii kutasababisha wanafunzi washindwe kwenda shule na hata wananchi watashindwa kuzifikia huduma muhimu kutokana na kutenganishwa kwa barabara hiyo” Na Lilian Vicent Katavi Barabara inayounganisha Manispaa ya Mpanda na  Halmashauri ya Nsimbo Imekatika kutokana na Mvua kubwa…

14 April 2024, 2:18 pm

DC Mpanda aagiza kufanyika tathmini maafa ya mafuriko

Baadhi ya Nyumba zikiwa zimezingirwa na Maji katika Kata ya Misunkumilo .Picha na Restuta Nyondo “Baada ya kupata taarifa amefika eneo la tukio na kuanza kuchukua hatua za awali ili kuwanusuru wananchi “ Na Betold Chove-Katavi Mkuu wa wilaya Ya…

14 April 2024, 1:18 am

Katibu Mkuu CCM atua Mpanda, asikiliza kero za wananchi

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Taifa Balozi Dkt.Emmanueli Nchimbi akizungumza na Wananchi na Viongozi Mbalimbali Katavi .Picha na Samwel Mbugi “Serikali itaendelea kutekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi CCM katika kusimamia miradi yote ili iweze kuleta manufaa yaliyokusudiwa“…

13 April 2024, 11:18 pm

Dkt. Nchimbi apokelewa Katavi kwa kishindo

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa Dkt.Emmanuel Nchimbi akiwasili Katika uwanja wa ndege Mkoani Katavi kwa ajili ya ziara ya siku mbili Mkoani hapa .Picha na Samwel Mbugi “ Amewataka Viongozi kuhakikisha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Wanaweka…

12 April 2024, 8:55 pm

Watoto waangukiwa na ukuta Katavi, mmoja afariki

Nyumba ambayo ukuta wake umeanguka na kuwaangukia Watoto Wawili ambapo Mmoja kati yao amefariki .Picha na Deus Daud “Baada ya Mvua Kunyesha na Maji kuwa mengi  yamezunguka  Nyumba na kusababisha kuanguka kwa Ukuta wa Nyumba hiyo“ Na Lilian Vicent -Katavi…

12 April 2024, 8:21 pm

RC Katavi: Serikali inatambua umuhimu wa Vvongozi wa dini

 Picha na Mtandao “Amewapongeza viongozi wa Baraza la BAKWATA kwa kuonyesha Ushirikiano katika juhudi zinazofanywa na Serikali  na kuainisha kuwa Serikali inatambua Mchango wa Dini katika kufanya Shughuli za Maendeleo “ Na Samwel Mbugi-Katavi Viongozi wa Baraza kuu la Waislamu…

11 April 2024, 10:00 am

Wananchi Katavi watakiwa kushiriki uchaguzi

“Uchaguzi unapofika ni vema kushiriki katika uchaguzi huo na kuendeleza utulivu na amani iliyopo” Sheikh Nassoro Kakulukulu. Na Deus Daudi-Katavi Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Katavi Nassoro Kakulukulu amewataka Wananchi kujiandaa na kushiriki katika Uchaguzi Wa serikali za Mitaa  na…

11 April 2024, 12:36 am

Ulinzi, usalama waendelea kuimarishwa Katavi

“Baraza kuu  la Waislamu    wanaupongeza uongozi wa   Mkuu wa  Mkoa kwa kuhakikisha hali ya utulivu inaimarika“ Na Lilian Vicent-Katavi Wananchi wa mkoa wa Katavi Wamehakikishiwa usalama wakati wa kufanya shughuli za kijamii na kiuchumi kwa kuwa jeshi la polisi lipo…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.