30 June 2025, 5:42 pm

Majirani wakerwa na choo cha muuza pombe

Choo kinachowakera ya wananchi. Picha na Anna Mhina “Hapa sisi tunapata shida na harufu ya kinyesi” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa kata ya Mpanda hotel manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamelalamikia kero wanayoipata ya harufu mbaya ya choo…

Offline
Play internet radio

Recent posts

7 January 2026, 10:50 am

Mtoto mwenye zaidi ya mwaka mmoja ateseka na uvimbe mgongoni

Mama wa mtoto akiwa amempakata mwanae. Picha na Anna Milanzi “Tumekuja kumuona huyu mtoto baada ya kupata taarifa” Na Anna Milanzi Mtoto mmoja mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi tisa katika Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi anakabiliwa na changamoto…

7 January 2026, 10:25 am

Watoto wawili kutoka mazingira hatarishi hadi malezi salama

“Watoto hao walikuwa wanaishi katika mazingira hatarishi” Na Anna Milanzi Makala hii inaangazia safari ya miezi tisa ya ufuatiliaji wa kijamii kuhusu watoto wawili waliokuwa wakiishi katika mazingira hatarishi. Kupitia ushirikiano wa jamii, viongozi wa eneo husika, na mamlaka za…

24 December 2025, 1:17 pm

DC Jamila ateta na vijana

Baadhi ya vijana wakiwa kwenye picha ya pamoja na mkuu wa wilaya Mpanda. Picha na Samwel Mbugi “Wilaya yetu ya Mpanda tumeshapokea billion 24” Na Samwel Mbugi Vijana wilaya ya Mpanda mkoa wa Katavi wameshirikiki kongamano lililowakutanisha na mkuu wa…

24 December 2025, 12:53 pm

TAG Katavi yaeleza umuhimu wa kuwalea wazazi wa kiroho

Kanisa la TAG Living Water wakiwa kwenye ibada ya kumtegemeza mchungaji. Picha na Anna Mhina “Mchungaji anatakiwa apate muda wa kumtafuta Mungu” Na Anna Mhina Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG)  Living Water lililopo mtaa wa Kwalakwacha kata ya…

20 December 2025, 5:05 pm

Wananchi Milala walia kuuzwa eneo la makaburi

“Lakini cha ajabu lile eneo kaingia mtu kalikodisha” Na John Benjamin Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Milala halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamehoji uhalali wa kuuzwa kwa eneo la makaburi ya kijiji hicho baada ya kubaini kuwepo…

20 December 2025, 4:50 pm

Mwanaume afa maji kwenye dimbwi la kufyatulia tofali Katavi

Jeshi la zimamoto na uokoaji likiwa limebeba mwili wa mwanaume huyo. Picha na Anna Mhina “Kumekuwa kama dampo la watu kufia huku” Na Anna Mhina Mtu mmoja jinsia ya kiume ambaye hajafahamika jina lake anayekadiriwa kuwa na umri kati ya…

19 December 2025, 6:49 pm

Zaidi ya wanafunzi 40 wa chuo cha Kilitech watunukiwa vyeti

Wahitimu wa chuo cha ufundi Kilitech. Picha na Anna Mhina “Kwa suala la upungufu wa komputa niachieni mimi” Na Anna Mhina Chuo cha ufundi Kilitech VTC mkoani Katavi kimefanya mahafali yake ya nne (4)  December 18, 2025 ambapo zaidi ya…

16 December 2025, 10:01 pm

Tanzania kujadili utekelezaji makubaliano COP30

“hatuhitaji tena kubaki kwenye ngazi ya ahadi tunataka mifumo madhubuti” Na Restuta Nyondo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuongoza kikao maalum cha wadau wa mazingira na maendeleo kujadili mwelekeo wa nchi katika utekelezaji…

15 December 2025, 5:58 pm

DC Jamila: Wekeni mikakati ya kukabiliana na udumavu kwa watoto

“Tukae kwa pamoja tuweke mikakati namna gani ya kupambana na udumavu” Na Samwel Mbugi Mkuu wa wilaya ya Mpanda mkoani Katavi Jamila Yusuph amewataka wakurugenzi wa halmashauri kuendelea kusimamia kikamilifu mikakati ya kuhakikisha elimu ya lishe inatolewa kwa wananchi ili…

12 December 2025, 6:19 pm

Manispaa ya Mpanda kukusanya billion 7

Viongozi wa walmashauri ya Mpanda katikati ni mkuu wa wilaya Jamila Yusuph. Picha na Samwel Mbugi “Kwa mwaka 2025/2026 halmashauri imejipanga kupokea na kukusanya jumla ya billion 7” Na Samwel Mbugi Halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi imepanga…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.