6 April 2026, 1:35 pm

RC Mrindoko atoa onyo kwa wanaoleta taharuki

“Naomba nisisitize msiamini katika uvumi” Na Benny Gadau Mkuu wa Mkoa wa Katavi  Mwanamvua Mrindoko amekemea vikali vitendo vya wananchi kujichukulia sheria mkononi na kudhuru wengine kutokana na taarifa zisizo na ukweli, akisisitiza kuwa vitendo vya aina hiyo pamoja na…

On air
Play internet radio

Recent posts

29 June 2026, 3:13 pm

Mbwa waleta gumzo ,wamiliki watajwa

“Kumekuwa na mbwa wanaodhurura ovyo hawana uangalizi kutoka kwa wamiliki hali inayozua hofu “ Na Anna Milanzi- Katavi Wakazi manispaa ya Mpanda   mkoani Katavi wamewasisitiza wamiliki wa mbwa kufungia mbwa wao ili kuwaepusha na ugonjwa wa kichaa cha mbwa  ambao…

27 June 2026, 6:13 pm

Matembezi ya TRA Katavi  yaongeza nguvu usafi wa mazingira

“ Lengo la kufanya hivyo ni kuchangia kuuweka mkoa katika hali ya usafi“ Na Anna Milanzi -Katavi Katika kuendelea na maadhimisho ya miaka 30 ya Mamlaka ya mapato Tanzania  (TRA) ,TRA mkoa wa Katavi imekuja na suluhisho la uhifadhi wa…

23 June 2026, 10:20 am

Watumishi watakiwa kutenda haki

“Niwapongeze sana kufanya bonanza hili katika mkoa wetu wa Katavi” Na Betord Chove Watumishi wa taasisi zinazohusiana na kutoa haki wametakiwa kushirikiana ili kuweza kutenda haki kwa wananchi katika kutekeleza majukumu yao. Wito  huo umetolewa na Katibu tawala wa mkoa…

22 June 2026, 11:12 am

Akutwa amejinyonga hadi kufa kwa kipande cha chandarua

“Tumeshtushwa na tukio hili na huyu kijana hatumfahamu.“ Na Anna Milanzi Katavi Kijana mmoja wa kiume ambaye bado hajafahamika anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 30 hadi 35 amekutwa amejinyonga kwa kutumia kipande cha chandarua katika mtaa wa Nsemulwa…

18 June 2026, 4:36 pm

Hofu yatanda kaburi kufukuliwa

Hofu na taharuki zimewakumba wananchi wa Kijiji cha Milala, Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, kufuatia taarifa za kufukuliwa kwa kaburi la marehemu aliyezikwa hivi karibuni katika eneo hilo. Na John Benjamini -Katavi Taarifa za tukio hilo zimetolewa na mwenyekiti wa…

18 June 2026, 12:21 pm

TBS yateketeza bidhaa feki

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kanda ya magharibi limeteketeza bidhaa feki na bidhaa zisizokidhi viwango zilizokamatwa katika manispaa ya Mpanda mkoani Katavi. Na Ben Gadau -Katavi Akizungumza wakati wa zoezi hilo, afisa mdhibiti ubora kutoka TBS Kanda ya magharibi, Ezekiel…

18 June 2026, 11:55 am

Onyo latolewa ukaguzi magari ya shule

“Wanafanya ukaguzi huo wakati huu wa likizo ili shule zitakapofunguliwa magari hayo yawe yana usalama wa kubeba wanafunzi huku akisema hatua za kisheria zitachukuliwa kwa ambao watakiuka agizo hilo“ Na Anna Milanzi-Katavi Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Katavi…

4 June 2026, 11:30 am

Mama, mtoto wafariki kwa sumu ya carbon monoxide Mpanda

“Tulikuta watoto hao wakiwa katika hali mbaya na mama wa watoto hao, baada ya muda mfupi aliishiwa nguvu tukawawahisha hospitali kwa ajili ya matibabu.” Na Anna Milanzi -Katavi Mama aliyefahamika kwa jina la Happiness Ngunda (25) pamoja na mtoto wake,…

27 May 2026, 5:09 pm

Ujumbe wa Eid al-adha wahamasisha amani,mshikamano

“Amewataka waumini wa dini ya kiislam kuto kugawanyika kwa misingi ya siasa wala ukabila na udini jambo ambalo ni kinyume na taratibu namiongozo ya dini hiyo.” Na Samwel Mbugi- Katavi Waumini wa dini ya kiislamu mkoa wa Katavi wamesisitizwa kuwa…

25 May 2026, 11:11 am

Radio jamii zaahidi wakulima kuneemeka na TADB

Na Denis Mkakala Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) inaendesha semina kwa wamiliki na wasimamizi (Meneja) wa redio za kijamii ambazo ni redio wanachama wa Taasisi ya Maendeleo ya Redio za Jamii Tanzania – TADIO zipatazo 50 kutoka Tanzania…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.