19 February 2026, 2:22 pm

Mtoto achomwa kisu cha moto, mama mzazi ahusika

“Amepata majeraha baada ya kuchomwa kisu cha moto na mama  yake mzazi kwa madai ya kuwa na tabia ya kuomba pesa kwa majirani“ Na Rhoda Elias-Katavi Mtoto  mmoja mwenye umri wa miaka 4 ambaye ni mkazi wa mtaa wa Mpanda…

On air
Play internet radio

Recent posts

6 March 2026, 6:00 pm

Mwanakulya “Wanawake chachu ya maendeleo”

“Msherehekee na kuanzimisha siku ya wanawake duniani” Na Samwel Mbugi Wanawake manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuadhimisha siku ya wanawake duniani kwa kutambua na kuthamini mchango wa mwanamke katika jamii. Akizungumza mbele ya wanawake katika ukumbi wa manispaa ya…

6 March 2026, 3:34 pm

Lyamba sekondari yapokea Kompyuta

Katibu mwenenzi akimkabidhi mwalimu kompyuta hizo. Picha na Betord Chove “Walitupatia changamoto nyingi” Na Betord Chove Katibu mwenezi wa chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Nsemulwa  wilayani Mpanda mkoani Katavi Geofrey Alfonce Kipeta amekabidhi kompyuta mbili  za  mezani kwa shule…

5 March 2026, 3:51 pm

Miti 400 yapandwa kuelekea siku ya wanawake

“Maelekezo ya serikali ni kupnda miti katika maeneo yetu” Na Samwel Mbugi Jumla ya miti 400 ya matunda na kivuli imepandwa na wanawake katika shule ya msingi Mkapa iliyopo manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi ikiwa ni sehemu ya kuelekea…

5 March 2026, 2:02 pm

Kliniki ya ardhi, mkombozi wanawake kumiliki hati

“Niwasihi wananchi wa Mpanda waweze kufika ili watatuliwe migogoro ya ardhi” Na John Benjamin Wananchi wilaya ya Mpanda wametakiwa kuchangamkia fursa ya kampeni ya klinki ya Samia iliyolenga kutatua changamoto, migororo na kutoa hati ya ardhi. Hayo yamebainishwa na mkuu…

5 March 2026, 1:47 pm

Ukosefu wa shule Mbogwe watoto wageuka vibarua mashambani

“Watoto wetu wanateseka” Na Anna Mhina Wananchi wa kitongoji cha Mbogwe kilichopo kijiji na kata ya Kabungu wilayani Tanganyika mkoani Katavi wameiomba serikali kuingilia kati ujenzi wa shule ya msingi ulioanzishwa katika kitongoji hicho. Wakizungumza na Mpanda radio FM wananchi…

4 March 2026, 5:32 pm

Sumry awang’ata sikio vijana Mpanda

“Ameahidi kuendelea kushirikiana kwa pamoja katika katika kuhakikisha chama kinaimarika.“ Na Samwel Mbugi-Katavi Mbunge wa Jimbo la Mpanda mjini Haidary Hemed Sumry amekutana na baraza la umoja wa vijana CCM wilaya ya Mpanda kuwashukuru kutokana na namna wanavyoshiriki kuhakikisha chama…

3 March 2026, 5:03 pm

Kusuasua mradi wa machinjio Mzanda awa mbogo

“Tumuombe mkurugenzi autoe mradi huu kwenye kata” Na Samwel Mbugi Mwenyekiti wa mtaa wa Mpanda hotel Ibrahim Msanda amefanya ziara ya ukaguzi wa marekebisho ya miundombinu ya mradi wa machinjio ya mkoa wa Katavi iliyopo kata ya Mpanda hotel manispaa…

2 March 2026, 3:48 pm

Shilingi 300 zaleta mjadala baraza la madiwani

Madiwani wakiwa kwenye kikao cha pili cha baraza. Picha na Samwel Mbugi “Sasa mimi nisipokuwa na mia tatu ina maana nibaki” Na Samwel Mbugi Baraza la madiwani manispaa ya Mpanda mkoani Katavi limepiga marufuku matumizi ya tiketi za mkono zinazotumiwa…

2 March 2026, 3:28 pm

Wananchi wachekelea bwawa la Iziwasungu

Balozi Baraka Luvanda akipokea maelekezo kutoka kwa mkurugenzi wa halmashauri ya Mpimbwe. Picha na Samwel Mbugi “Mradi huu umetutoa katika shida na masikitiko” Na Samwel Mbugi Wananchi wa Kata ya Kansansa  halmashauri ya Mpimbwe wilaya ya Mlele wametoa shukrani kwa…

27 February 2026, 4:41 pm

Serikali Mpanda yapata hasara, madirisha 120 yapotea

“Nimesikitishwa na uharibifu huu wa miundombinu, ulinzi ni lazima uwepo katika maeneo hayo” Na Anna Milanzi-Katavi Jumla ya madirisha 120 ya alminium yameibwa  katika shule za msingi, sekondari pamoja na zahanati zilizopo manispaa ya Mpanda mkoani Katavi Hayo yameelezwa wakati…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.