30 June 2025, 5:42 pm

Majirani wakerwa na choo cha muuza pombe

Choo kinachowakera ya wananchi. Picha na Anna Mhina “Hapa sisi tunapata shida na harufu ya kinyesi” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa kata ya Mpanda hotel manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamelalamikia kero wanayoipata ya harufu mbaya ya choo…

On air
Play internet radio

Recent posts

12 December 2025, 6:19 pm

Manispaa ya Mpanda kukusanya billion 7

Viongozi wa walmashauri ya Mpanda katikati ni mkuu wa wilaya Jamila Yusuph. Picha na Samwel Mbugi “Kwa mwaka 2025/2026 halmashauri imejipanga kupokea na kukusanya jumla ya billion 7” Na Samwel Mbugi Halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi imepanga…

11 December 2025, 12:46 pm

Maadili ya vijana wa sasa ni tofauti na zamani?

“Watoto wa sasa hivi hawawasikilizi wazazi wao” Na Janeth Kaombwe Katika kuadhimisha siku ya haki na maadili kitaifa inayofanyika tarehe 10 mwezi wa 12 kila mwaka, vijana wamehimizwa kuendelea kufuata maadili ya kitanzania kwani kumekuwa na mmomonyoko  wa maadili kwa…

11 December 2025, 12:19 pm

Walimu Mpanda wapigwa marufuku ukomo wa usajili wa wanafunzi

Picha ya shule ya msingi Mpanda. Picha na Anna Mhina “Mzazi anapokuja kumuandikisha mtoto ni marufuku kumwambia hatuna nafasi” Na Anna Mhina Wazazi na walezi wilayani Mpanda wametakiwa kujitokeza mapema katika kuwaandikisha watoto shule  hususani darasa la kwanza na awali…

8 December 2025, 4:36 pm

Jamii Katavi yaaswa kujenga familia imara

“Inanipa uhuru wa kupumua na kuwa na afya njema” Na John Benjamin Baadhi ya vijana wilaya Mpanda mkoani Katavi wametaja matumizi ya njia za uzazi wa mpango yana mchango katika kuboresha ustawi wa jamii na mahusiano ya kifamilia. Wakizungumza na…

8 December 2025, 3:03 pm

Shumbi: Vijana kuweni na nidhamu ya fedha

“Kukamilisha malengo kwanza unatakiwa uwe na msimamo” Na Leah Kamala Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa maoni yao kuhusiana na umuhimu wakujiwekea malengo ili kuboresha maisha yao binafsi. Wakizungumza na Mpanda radio FM wananchi hao wamesema…

6 December 2025, 1:02 pm

DC Jamila: Kasafisheni mji

“Mji wetu unapaswa uwe msafi” Na Samwel Mbugi Mkuu wa wilaya ya mpanda Jamila Yusuph amewataka madiwani wa kata zote za manispaa mkoani Katavi kusimamia usafi wa mazingira bila kusubiri wakuu wa idara husika ili kusaidia kutopata magonjwa yatokanayo na…

6 December 2025, 12:32 pm

Viongozi wa dini Katavi watoa tamko la amani

“Sisi kama viongozi wa dini tutashirikiana na wananchi katika kudumisha amani” Na Restuta Nyondo Viongozi wa dini mkoani Katavi wametoa tamko la amani na kuhamasisha utulivu na ushirikiano kwa wananchi huku wakisema ni wajibu wa kila mtu kulinda amani na…

4 December 2025, 5:28 pm

Kanoni: Madiwani zingatieni maadili ya kazi yenu

Madiwani wa manispaa ya Mpanda. Picha na Samwel Mbugi “Maadili ndio msingi wa maendeleo yetu katika manispaa yetu ya Mpanda” Na Samwel Mbugi Baraza la madiwani la manispaa ya Mpanda mkoani Katavi limempitisha diwani wa kata ya Magamba Charles Philipo…

4 December 2025, 12:13 pm

Wananchi Katavi hatarini kupata magonjwa ya mlipuko

“Serikali naishauri iongeze magari yanayobeba taka” Na Samwel Mbugi Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi wameiomba serikali kuendelea kutoa elimu ya usafi wa mazingira kipindi hiki cha mvua zilizoanza kunyesha ili kujiepusha na magonjwa ya mlipuko…

4 December 2025, 9:03 am

Viongozi wa Kidakio cha Mto Katuma walia na wafugaji

“Wafugaji hawaelewi ukimwambia leo kesho anarudia tena” Na Restuta Nyondo Ongezeko la mifugo katika eneo la Kidakio cha Mto Katuma imetajwa kuwa chanzo cha uharibifu wa vyanzo vya maji mkoani Katavi. Felista Madeleke mjumbe wa kamati mto Katuma amesema kuwa…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.