30 June 2025, 5:42 pm

Majirani wakerwa na choo cha muuza pombe

Choo kinachowakera ya wananchi. Picha na Anna Mhina “Hapa sisi tunapata shida na harufu ya kinyesi” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa kata ya Mpanda hotel manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamelalamikia kero wanayoipata ya harufu mbaya ya choo…

On air
Play internet radio

Recent posts

18 February 2026, 11:34 am

IUCN yatoa mafunzo ya utunzaji wa mazingira

“kupitia mafunzo hayo wanaamini kuendelea kuwapata wadau zaidi ambao watakuwa mabalozi juu ya uhifadhi wa mazingira katika utunzaji wa hewa ya carbon kwenye maeneo yao.“ Na Ben Gadau -Katavi Shirika la IUCN International Union For Conservation Of Nature limetoa mafunzo…

18 February 2026, 9:00 am

Mdau CCM,atoa vifaa vya ukarabati ofisi ya UVCCM Mpanda

“Wamepongeza hatua hiyo ya kuboresha miundombinu ya ofisi na kuwataka wadau wengine kujitokeza ili kuendelea kuboresha miundombinu ya ofisi” Na Betord Chove-Katavi Wananchama wa jumuiya mbalimbali ndani ya chama cha mapinduzi CCM wilaya ya Mpanda  mkoani Katavi wametakiwa kujitoa ili…

16 February 2026, 8:30 pm

Vifo kwa wajawazito, watoto wachanga sasa basi

 “Mradi ni fursa muhimu katika juhudi za kupunguza vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga“ Na Ben Gadau -Katavi Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Hoza Mrindoko, amezindua mradi wa THAMINI UHAI unaolenga kupunguza vifo vya kinamama wajawazito…

12 February 2026, 5:55 pm

Bodi za wadhamini fanyeni kazi kwa kufuata sheria

Dkt. Juma  Zuberi  Homera waziri wa katiba na sheria. Picha na Restuta Nyondo ” Utekelezaji wa huduma hii uanze mikoa yote ya Tanzania bara” Na Restuta Nyondo Waziri wa katiba na sheria Dkt .Juma  Zuberi  Homera ameagiza wakala wa usajili,…

12 February 2026, 1:36 pm

Uelewa mdogo, umasikini vyachangia mtoto kutokupelekwa shule

Anyulumye Longo Afisa Ustawi manispaa ya Mpanda, mkoani Katavi. Picha na Anna Mhina Wazazi na walezi katika manispaa ya Mpanda, mkoani Katavi, wamesema kuwa uelewa mdogo wa jamii juu ya umuhimu wa elimu na hali ya umasikini vinachangia mtoto kutokupelekwa…

6 February 2026, 5:07 pm

Rungu zito kwa watumiaji wa madawa ya kulevya

Christina Ruchahura kamisha wa mamlaka ya udhibiti na kupambana na madawa ya kulevya  Kanda ya magharibi. Picha na Samwel Mbugi “Hii mamlaka imeanzishwa kwa mujibu wa sheria ya kudhibiti na kupambana madawa ya kulevya” Na Samwel Mbugi Wananchi mkoani Katavi…

6 February 2026, 3:19 pm

34 wadakwa kwa makosa mbalimbali Katavi

SACP Kaster Ngonyani kamanda wa polisi Katavi. Picha na Anna Mhina “Tumefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 34 kwa makosa mbalimbali” Na Anna Mhina Jeshi la polisi mkoa wa Katavi limeendelea kuimarisha ulinzi na usalama kwa raia na mali zao kwa kufanya operasheni,…

5 February 2026, 4:40 pm

Mpanda wachoshwa na madereva wasioheshimu vivuko vya watembea kwa miguu

Coplo Sophia Peleka askari kitengo cha elimu ya usalama barabarani Katavi. Picha na Anna Mhina “Madereva hilo hawalizingatii sana kwa mkoa wetu” Na Anna Mhina Baadhi ya watembea kwa mguu manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamewalalamikia badhi madereva wa vyombo…

5 February 2026, 3:59 pm

Dawa zisizo rasmi chanzo magonjwa ya koo na masikio

Baraka Nkondo daktari bingwa wa magonjwa ya pua, koo na masikio. Picha na Leah Kamala “Magonjwa haya yanapotokea na jumuisha na magonjwa ya kuambukiza” Na Leah Kamala Wananchi manispaa ya mpanda mkoani Katavi wameshauriwa kujenga desturi ya kupima afya zao…

4 February 2026, 9:21 am

Mume ang’atwa mdomo kisa mchepuko

Baada ya kupatiwa matibabu. Picha na Anna Mhina “Niligongewa mlango saa tano za usiku “ Na Anna Mhina Kijana mmoja ambaye jina lake limehifadhiwa anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 30-35 mkazi wa mtaa wa Mpadeko uliopo kata…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.