Jamii FM
Jamii FM
6 June 2025, 14:16 pm
Haya ni mafunzo yanayotolewa kwa maafisa ugani yanayohusu matumizi sahihi na salama ya viuatilifu ili waweze kutoa elimu kwa wakulima wa zao la korosho lengo likiwa kufikia uzalisha mzuri wa zao hilo NA Musa Mtepa Zaidi ya maafisa ugani 500…
26 May 2025, 15:22 pm
Zahanati ya Mtawanya imekuwa ikihudumia Wananchi kutoka kata ya Mtawanya pamoja na vijiji Jirani kutoka halmashauri ya Mtwara vijijini hivyo uwepo wa jengo la nje wa wagonjwa(OPD) litasaidia kuondoa adha kwa wananchi hao. Na Musa Mtepa Mei 25, 2025 –…
26 May 2025, 14:36 pm
Ni zaidi ya kilomita 40 mwenge umekimbizwa katika halmashauri ya Mtwara Mikindani huku ikipita katika miradi sita ya maendeleo ambapo yote mkimbiza Mwenge wa uhuru kitafa ameridhia utekelezaji wake Na Musa Mtepa Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa,…
23 May 2025, 16:51 pm
Hii ilikuwa ni kufunga mafunzo ya kilimo bora cha mazao kwa wakulima vijana waliopo katika kata saba za Manispaa ya Mtwara Mikindani ambapo zaidi ya vijana wa kike na wakiume 700 wamenufaika na mafunzo hayo Na Musa Mtepa Zaidi ya…
20 May 2025, 16:30 pm
Na Mwanaidi Kopakopa, Mwanahamisi Chikambu Wanawake walioko katika nafasi za uongozi wamesema kuwa nafasi wanazopewa kama madiwani au wabunge zinawajengea uwezo na kujiamini kugombea nafasi nyingine za juu za uongozi wa kisiasa. Katika makala haya, wanawake hao wameeleza kwa kina…
18 May 2025, 15:35 pm
“Mradi huu utatusadia kuondokana na kero tunazopata kwani hapo awali maji ya kutawaza tulikuwa tunaenda kuchota Bondeni Mandawa hivyo huu mradi ni suluhisho tosha la changamoto hii” Na Musa Mtepa Waumini wa dini ya Kiislamu wanaoswali katika Msikiti wa Nuru…
16 May 2025, 11:19 am
Watumishi wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) kutoka kituo cha Naliendele na vituo vingine nchini wametakiwa kuzingatia maadili ya utumishi wa umma katika kutekeleza majukumu yao Na Mwanahamisi Chikambu Watumishi wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI)…
12 May 2025, 12:18 pm
Serikali kupitia Wizara ya Kilimo kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa na utaratibu wa kutoa pembejeo za kilimo bure kwa wakulima hasa kwenye zao la Korosho Na Msafiri Kipila Wakulima wa zao la korosho mkoani Mtwara wamempongeza Rais wa Jamhuri…
23 April 2025, 13:27 pm
Kampeni hii ya upandaji miti imefadhiliwa na wadau wa mazingira kutoka Finland kwa kushirikiana na Jamii FM Redio chini ya usimamizi wa mtaalam wa utafiti wa misitu Mzee Orestus Kinyero Na Musa Mtepa Afisa Mstaafu wa Utafiti wa Miti na…
18 April 2025, 18:06 pm
Katika kuonyesha hamasa na mafanikio ya wanawake vijijini katika kushiriki uongozi wa serikali za mitaa, kwa kuangazia ushindi wa Rukia Mnyachi kama Mwenyekiti wa Kijiji cha Nyengedi, aliyehamasishwa na kituo cha taarifa na maarifa kinachojishughulisha na masuala ya kijinsia, na…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.