Jamii FM

Recent posts

1 September 2025, 00:14 am

Mwenyekiti wa kijiji aongoza ujenzi nyumba ya mwenye ulemavu Mtwara

Familia ya Mzee Salumu Zomba, mwenye ulemavu wa macho, yamekabidhiwa nyumba mpya baada ya kuishi kwenye kibanda kibovu, juhudi zilizowezeshwa na viongozi wa kijiji cha Mnyengedi kwa kushirikiana na wadau mbalimbali. Na Musa Mtepa Baada ya kuishi katika mazingira hatarishi…

22 August 2025, 15:18 pm

Wanawake waliovunja ukimya, safari ya Coletha, Zaituni kisiasa

Walizunguka kwa miguu, walikutana na wananchi, wakahamasisha, na walipambana kwa hali na mali kuhakikisha sauti ya mwanamke inasikika katika uongozi wa ngazi ya chini Na Mwanaidi Kopakopa Katika miaka ya karibuni, Tanzania imeanza kushuhudia mwamko mpya wa wanawake kushiriki kikamilifu…

18 August 2025, 12:57 pm

Wanachama CCM Msimbati watishia kujiondoa uanachama

Wanachama zaidi ya 150 wa CCM Msimbati wamelalamikia kuondolewa kwa jina la Rashidi Linkoni aliyeshinda kura za maoni, wakitishia kurudisha kadi zao, huku viongozi wa wilaya wakisisitiza maamuzi ya kamati ya siasa Na Musa Mtepa Zaidi ya wanachama 150 wa…

15 August 2025, 16:28 pm

Wanahabari watakiwa kuzingatia weledi uchaguzi mkuu

Mafunzo kwa waandishi wa Jamii FM Redio yamewahimiza kuzingatia weledi, usalama kazini na kujikinga na uhalifu mtandaoni kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 Na Musa Mtepa Waandishi wa habari wametakiwa kuwa makini na kuzingatia weledi wa taaluma yao, hususan…

15 August 2025, 10:42 am

Mitandao ya kijamii, malezi duni chanzo mmomonyoko wa maadili Mtwara

Kongamano limebainisha kuwa malezi duni, matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii na kuiga tamaduni za kigeni vinachangia mmomonyoko wa maadili na ongezeko la ukatili dhidi ya watoto, likitoa wito kwa jamii kurejesha malezi imara Na Musa Mtepa Matumizi mabaya ya…

14 August 2025, 12:53 pm

Watoto 202 wafanyiwa ukatili wa kingono Mtwara

Zaidi ya matukio 1,338 ya ukatili yameripotiwa Mtwara ndani ya miezi sita, huku Nanyumbu na Tandahimba zikiongoza. Viongozi wa ustawi wa jamii na dini watoa sababu, mikakati na wito wa kuimarisha malezi na maadili. Na Musa Mtepa Zaidi ya matukio…

8 August 2025, 06:30 am

Jamii inachangiaje kuwalinda, kuwatunza watu wenye ulemavu?

“Hamisi Bakari anakiri kuwa changamoto kubwa anayokumbana nayo ni ukosefu wa eneo maalum la kufanyia biashara, kama angepata sehemu hiyo rasmi basi angeweza kupiga hatua zaidi za kimaendeleo kwa kuwa angeendesha biashara yake kwa utulivu na kujiimarisha zaidi kiuchumi” Na…

6 August 2025, 18:54 pm

Mtamba aibuka kidedea kura za maoni CUF Mtwara Vijijini

Mh. Shamsia Mtamba ashinda kura za maoni CUF Mtwara Vijijini kwa kura 334 kati ya 374, akimuacha Abdull Mahupa nyuma kwa kura 39 Na Musa Mtepa Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mtwara Vijijini, Mh. Shamsia Azizi Mtamba, ameibuka mshindi katika…

6 August 2025, 18:45 pm

Makala: Kuruthumu apatiwa msaada wa kununua kiatu maalum

“Kuruthumu amepatiwa msaada wa shilingi 300,000 kwa ajili ya gharama za ununuzi wa kiatu hicho maalumu. Huu ni mwanzo mpya kwa maisha yake, kwani sasa ataweza kushiriki ipasavyo katika shughuli za kila siku bila kikwazo kikubwa cha utembeaji” Na Msafiri…

4 August 2025, 08:41 am

Wananchi wa mtaa wa Mkunja Nguo waomba barabara rasmi

Uchongaji wa Barabara hiyo itarahisisha huduma kwa wakazi, hususan nyakati za dharura, Mwenyekiti wa mtaa, Bw. Kuladaku, ameunga mkono wazo hilo, akisisitiza mchango wake kwa maendeleo ya vijiji jirani Na Musa Mtepa Kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya njia ya…

Vision and Mission

Who we are

JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.

Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.

Vision

The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.

Coverage:

Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.