

1 November 2024, 09:09 am
Wananchi endeleeni kutumia namba 114 kutoa taarifa kwa wakati pindi tukio la moja linapotokea ili kusaidia jeshi la zimamoto na uokoaji kufika kwa wakati katika eneo la tukio Na Musa Mtepa , Henry Abdala Katika tukio la kusikitisha, nyumba moja…
31 October 2024, 09:37 am
Hii ni katika kutolea ufafanuzi wa hali na mwenendo wa zao korosho katika msimu huu wa mwaka 2024/2024 ambao umeonesha uzalishaji kuwa mkubwa na bei rafiki kwa wakulima. Na Grace Hamisi Korosho ghafi tani 180,342 zimeuzwa kwa thamani ya bilioni…
24 October 2024, 17:30 pm
Soko la awali serikali imeridhia kwasababu ya kuongeza ubanguaji wa ndani wa zao hilo hivyo chama kikuu hakiwezi kukataza mkulima kuuza mazao yao kupitia soko hilo ispokuwa wakulima wanatakiwa kuridhia wenyewe. Na Musa Mtepa Wakulima wa mtaa wa Namayanga ,kata…
21 October 2024, 18:41 pm
Kuwepo kwa dhana ya gesi katika eneo la kuchotea maji katika kijiji cha Mnyundo wananchi wamekuwa na matarajio ya makubwa ya kuona wanabadilika kimaendeleo ikiwepo kujengewa miradi ya maendeleo kama vile maji na uimarishaji wa huduma za afya. Na Musa…
16 October 2024, 16:17 pm
Hivi karibuni Waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa Stergomena Tax alifanya ziara mkoani Mtwara ya kutembelea,kukagua na kuweka mawe ya Msingi katika miradi mbalimbali inayotekelezwa na baadhi yake kuahidi kutoa mchango wake. Na Musa Mtepa Mkuu wa Mkoa…
16 October 2024, 14:40 pm
Uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajia kufanyika November 27,2024 uendane na sambamba na kutunza tunu ya amani iliyopo nchini “kwani Tanzania inajukana kama kisiwa cha amani hivyo,jamii haiana budi kutunza tunu hiyo”Shekhe Jamaldin. Na Grace Hamisi Kaimu Shekhe mkuu wa…
15 October 2024, 22:30 pm
Siku ya Mwanamke anayeishi vijijini huadhimishwa October 15, ya kila Mwaka kwa lengo la kutambua mchango wa mwanamke anayeishi vijijini katika jitihada za kujiletea maendeleo yao na kuondokana na umasikini kiwa ni Pamoja na ushiriki wa kuinua Uchumi wa taifa,mtu…
14 October 2024, 13:51 pm
Matembezi haya yenye lengo la kuhamasisha ushiriki kila mmoja mwenye sifa kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa November 27,2024 kote nchini ambapo kwa hatua ya awali uandikishaji wa orodha ya wapiga kura tayari umeshaanza October 11, 2024. Na…
14 October 2024, 11:13 am
Licha ya kuwa Mjimwema ndipo yalipo matenki ya maji yanayotoka katika chanzo cha maji cha Lwelu wananchi wanashangazwa na kuadimika kwa huduma hiyo. Na Musa Mtepa Wakazi wa Mjimwema katika kata ya Magengeni, Manispaa ya Mtwara Mikindani wanakabiliwa na changamoto…
12 October 2024, 11:00 am
Lengo la jogging na michezo mingine ni katika kuhamasisha wananchi kushiriki kikamilifu katika zoezi la uandikishaji kwenye daftari la wapiga kura lilionza rasmi jana October 11, 2024 kote nchini. Na Musa Mtepa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mtwara DC, Abeid Abeid…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.