Jamii FM
Jamii FM
13 December 2024, 15:54 pm
Blandina Chilumba ametetea nafasi yake katika uchaguzi uliopita hii inadhihirisha kuwa wananchi wa mtaa wa Mihambwe bado wana Imani naye. Na Mwanahamisi Chikambu Mwenyekiti wa Mtaa wa Mihambwe, Kata ya Naliendele, Manispaa ya Mtwara Mikindani, Blandina Chilumba, ameendelea kutetea kiti…
13 December 2024, 12:39 pm
Hii ni baada ya matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika November 27,2024 ambapo viongozi wamechaguliwa na tayari wameanza kuwatumikiwa wananchi. Na Musa Mtepa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mtwara, Bi. Zuhura Farid,…
12 December 2024, 17:43 pm
Haya ni matokeo ya asasi za kirai ambazo zimekuwa zikihamasisha wanawake kushiriki katika nafasi mbalimbali za uongozi ambapo hapo awali changamoto kubwa ilikuwa ni uthubutu wa mwanamke kusimama na kupigania nafasi za uongozi mbele ya wanaume. Na Musa Mtepa Katika…
12 December 2024, 13:44 pm
Hii ilikuwa sherehe za kumpongeza Mwenyekiti wa Kijiji cha Nyengedi Bi Lukia Mnyachi baada ya kuchaguliwa na Wananchi katika nafasi hiyo. Na Tatu Mshamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mtwara Vijijini, Nashiri Pontiya,amewataka wenyeviti wa vijiji waliochaguliwa kupitia chama…
12 December 2024, 10:27 am
Wanawake wapatao 78 katika kata ya Mkunwa wamefanikiwa kupata nafasi mbalimbali za uongozi huku Lukia Mnyachi akiwa Mwenyekiti wa Kijiji wa Kwanza na wa pekee katika historia ya kata ya Mkunwa. Na Musa Mtepa Mwenyekiti pekee wa Kijiji wa kike…
11 December 2024, 00:17 am
Hiki ni kikao kazi kilichoitishwa na Diwani wa kata ya Namtumbuka Al-hajji Salumu Lipwelele chenye lengo la kutambuana na kufahamishana majukumu mbalimbali kwa viongozi waliochaguliwa katika uchaguzi wa serikali za mitaa pamoja na wataalamu wa Idara mbalimbali katika kata hiyo.…
6 December 2024, 13:17 pm
Hili ni tukio la kushangaza lililotokea katika kijiji cha Mgao halmashauri ya Mtwara vijijini Mkoani Mtwara ambapo mtu aliyedhaniwa kufariki kuonekana akiwa hai siku moja baada ya Mazishi Na Musa Mtepa Katika hali isiyo ya kawaida, wananchi wa Kijiji cha…
5 December 2024, 12:06 pm
Hii ni katika kutimiza majukumu ya wazazi na walezi kwa watoto ikiwa katika kutimiza majukumu na haki za watoto katika nyanja mbalimbali za malezi. Wazazi na walezi mkoani Mtwara wametakiwa kufahamu haki za watoto na kutimiza mahitaji ya mtoto ili…
1 December 2024, 14:13 pm
Hili ni kundi la nne na la mwisho katika program ya kuimairisha sanaa,na utamaduni katika ufundi stadi yanayotolewa na shirika la ADEA Na Musa Mtepa Mafunzo ya kuimarisha sanaa na utamaduni kupitia ufundi satadi katika kutengeneza ajira yanayotolewa na shirika…
30 November 2024, 08:18 am
Huu ni uapisho uliohusisha viongozi wa serikali za vijiji kutoka katika tarafa ya Mpapura inayounganisha kata ya Kitere,Libobe,Mpapura, na Ndumbwe . Na Musa Mtepa Aliyekuwa Afisa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Afisa Ardhi wa Halmashauri ya…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.