Jamii FM

Recent posts

17 March 2025, 22:15 pm

Wanafunzi wa watatu wa shule ya sekondari Madimba wajeruhiwa na radi

Tukio la kujeruhiwa na radi Wanafunzi watatu wa shule ya sekondari Madimba limetokea siku ya Jumanne ya March 11 wakiwa Darasani Na Musa Mtepa Wanafunzi watatu wa Shule ya Sekondari Madimba, iliyopo katika Halmashauri ya Mtwara Vijijini, Mkoani Mtwara, wamenusurika…

15 March 2025, 10:59 am

EWURA yatoa mafunzo kwa wadau wa huduma za  nishati na maji Mtwara

Haya ni mafunzo ya siku moja yaliyohusisha watendaji wa mitaa,viongozi wa dini,wadau na watumiaji wa huduma za maji na Nishati wanaopatikana Manispaa ya Mtwara Mikindani Na Musa Mtepa Mamlaka ya Uthibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeendesha mafunzo…

14 March 2025, 13:19 pm

Jamii FM Mtwara yatoa tuzo kwa msikilizaji bora wa vipindi

Hii ni katika kuwaunganisha wasikilizaji na wadau wa redio ambao wamekuwa wakisikiliza na kuchangia mada mbalimbali katika vipindi vya Jamii FM redio Na Musa Mtepa Kituo cha Redio cha Jamii FM Mtwara kimetoa tuzo kwa Musa Ali Chituta kutoka kijiji…

13 March 2025, 21:19 pm

Mkuu wa Mkoa Mtwara, akabidhi msaada kwa waathirika wa Mafuriko

Msaada ulioletwa na Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na wadau umejumuisha vifaa mbalimbali ikiwemo unga wa sembe, dona, mchele, sukari, mafuta ya kupikia, sabuni za unga, chumvi, sabuni za kuogea, taulo za kike, magodoro, blanketi, vyandarua, nepi za kisasa (diapers),…

12 March 2025, 08:55 am

Watumishi wa afya Makome B waishi nyumba moja

Zahanati ya Makome B inayopatikana kata ya Mbawala  halmashauri ya wilaya Mtwara ilizinduliwa na kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa Ndugu Mzee Mkongea Ali Tarehe 06.10.2019 ikiwa na majengo mawili ambayo ni jengo la zahanati na nyumba moja ambayo wanaishi…

10 March 2025, 18:46 pm

Zaidi ya tani 9,000 za salfa zawasili bandari ya Mtwara

Hii ni meli ya kwanza kati ya meli nne zinazotarajia kubeba tani 40,000 za pembejeo  ya zao la korosho kwa msimu wa mwaka 2025/2026 ambapo kwa mujibu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho wakulima wanahitaji tani 40’000 ili kufanikisha uzalishaji…

7 March 2025, 16:21 pm

Wakazi kijiji cha Naumbu walia na changamoto ya maji

Kijiji cha Naumbu kipo kata ya Naumbu halmashauri ya Mtwara Vijijini ambacho kwa upande wa mashariki kimepakana na Bahari ya hindi na upande wa Magharibi imepakana na Kijiji cha kitope na kijiografia ya Kijiji hicho kimetawaliwa na miamba mikubwa ya…

7 March 2025, 07:57 am

Wanafunzi Mtwara waaswa kutojihusisha na mapenzi wakiwa shuleni

Haya yamejiri kwenye tamasha la michezo lililoandaliwa na shirika la Sports Development Aid likihusisha wanafunzi wa shule za sekondari za Likombe na Chuno zilizopo Manispaa ya Mtwara Mkindani likiwa na lengo la kufikisha ujumbe kupitia michezo wa kuepukana na ukatili…

5 March 2025, 21:50 pm

SDA,TASA, SSDM na tamasha la usawa wa kijinsia Mtwara

Kila ifikapo March 8 ya kila mwaka Dunia huadhimisha siku ya Mwanamke Duniani dhamira ikiwa kutambua mchango mkuu unaotolewa na Mwanake katika jamii hivyo kuelekea siku hiyo shirika la SDA,TASA na SSDM wamefanikisha kupeleka ujumbe juu ya haki ,usawa na…

5 March 2025, 07:20 am

Wananchi wapongeza utoaji wa huduma kituo cha afya Msimbati

Kata za Msimbati na Madimba ni kata ambazo nishati ya gesi asilia inapozalishwa na kuchakatwa hivyo ujenzi wa  kituo cha afya ni sehemu ya utekelezaji wa CSR kwa wananchi kutoka na shughuli za uzalisha ji wa gesi asilia. Na Musa…

Vision and Mission

Who we are

JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.

Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.

Vision

The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.

Coverage:

Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.