Jamii FM

Recent posts

18 July 2025, 11:08 am

“Zingatieni sheria na kanuni za uchaguzi”Sesilia Sepanjo

Wasimamizi wa uchaguzi Lindi na Mtwara wamehimizwa kuzingatia Katiba, sheria na kanuni kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025. Mafunzo ya siku tatu yamehitimishwa Mtwara, yakilenga kuwajengea uwezo. Washiriki wameahidi kuwa mabalozi wa elimu hiyo kwa wenzao Na Musa Mtepa Wasimamizi na waratibu…

18 July 2025, 10:47 am

Wakulima Mtwara waomba Serikali iwajengee daraja

Wakulima wa Mwambo (Mbuyuni), Kilambo – Mtwara Vijijini, wameiomba serikali kujenga daraja la kudumu Mtondoni kurahisisha kilimo, uvuvi na usafiri. Wanasema daraja la muda halitoshelezi, hasa masika, na linahatarisha usalama wa wakazi Na Musa Mtepa Wakulima katika eneo la Mwambo…

16 July 2025, 11:26 am

INEC yawataka maafisa kuzingatia sheria, maadili

“Maafisa wa uchaguzi wametakiwa kufuata misingi ya kikatiba na kisheria ili kuhakikisha uchaguzi huru na wa haki,” amesema Balozi Mapuri, katika mafunzo yaliyofanyika Mtwara yakiongozwa na INEC Julai 15, 2025 NA Musa Mtepa Maafisa wa usimamizi wa uchaguzi wametakiwa kufuata…

14 July 2025, 22:16 pm

Wananchi waililia serikali urejeshwaji wa Mv Kilambo

Wananchi wa Kilambo, Mtwara, wameiomba serikali kurejesha feri ya MV Kilambo ili kuondoa adha ya usafiri, gharama kubwa na hatari ya kutumia viboti vidogo kuvuka mpaka kuelekea Msumbiji Na Musa Mtepa Baadhi ya wananchi na watumiaji wa kivuko cha Kilambo…

13 July 2025, 15:42 pm

Zitto aahidi Mtwara kuwa kitovu cha uchumi wa SADC

Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo amewahamasisha wananchi wa Mtwara kushiriki uchaguzi mkuu Oktoba 2025, akisisitiza umuhimu wa kuchagua viongozi wa chama hicho ili kuleta maendeleo. Na Musa Mtepa Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amewaasa wananchi wa Mtwara…

13 July 2025, 12:33 pm

Wakulima wa kijiji cha Kilambo waomba msaada kudhibiti viboko

Wakulima wa Kijiji cha Kilambo, wameiomba Serikali kusaidia kudhibiti viboko wanaovamia na kuharibu mazao yao usiku katika ukanda wa Mto Ruvuma, wakitumia njia hatarishi kujilinda. Wanaomba msaada wa magemu skauti ili kulinda maisha na mazao yao. Na Musa MtepaWakulima wa…

12 July 2025, 13:39 pm

Aliyekuwa Diwani Ndumbwe ajitosa ubunge Mtwara Vijijini

Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Ndumbwe, Ndugu Abdull Mahupa, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea ubunge Jimbo la Mtwara Vijijini kupitia CUF. Ametaja afya, miradi ya maendeleo na uboreshaji wa huduma kwa wananchi kuwa vipaumbele vyake Na Musa Mtepa…

21 June 2025, 12:01 pm

Kipindi: NEMC Kanda ya Kusini yaelimisha jamii matumizi mifuko ya plastiki

Hii ilikuwa sehemu ya kipindi kilichofanyika redioni kuelekea maadhimisho ya wiki ya Mazingira Duniani ambapo NEMC iliwasihi wananchi kutumia vifungashio vinavyokubalika kisheria ili kulinda mazingira, huku ikiendelea kutoa elimu kuhusu madhara ya mifuko ya plastiki na umuhimu wa utunzaji wa…

19 June 2025, 18:53 pm

Familia inavyochangia ukuaji wa viongozi wanawake

“Mabadiliko makubwa yameanza kujitokeza ambapo wanawake wameanza kushika nafasi muhimu za uongozi katika nyanja mbalimbali kama siasa, uchumi na hata uongozi katika taasisi za dini.” Na Mwanahamisi Chikambu Katika historia ya jamii nyingi duniani, mwanamke ameonekana kuwa nyuma katika masuala…

Vision and Mission

Who we are

JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.

Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.

Vision

The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.

Coverage:

Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.