Mpanda FM
Mpanda FM
20 August 2023, 3:02 pm
NSIMBO Wakulima wa zao la tumbaku halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi wameutaka uongozi wa kampuni ya ununuaji wa tumbaku ya Mkwawa kuharakisha kufanya malipo ya zao hilo. Wakizungumza na kituo hiki kwa nyakati tofauti wakulima hao wametaja kuwa ucheleweshwaji wa…
18 August 2023, 10:18 am
Kufuatia mafunzo ya ujasiriamali yaliyotolewa na Mpanda Radio fm kwa kushirikiana na Mkwawa Vocation Training Center washiriki wa mafunzo hayo wamekiri mafunzo hayo yatawainua kiuchumi. Wameyasema hayo mara baada ya kutamatika kwa mafunzo hayo Agosti 17, 2023 na kubainisha namna…
18 August 2023, 10:06 am
MPANDA Wananchi wa kitongoji cha Bwawani mtaa wa Kigamboni wanaoishi pembezoni mwa bwawa la Milala mkoani Katavi wamelalamikia ucheleweshwaji wa fidia na taarifa kuhusu makazi yao, ambayo walisimamishwa kufanya shughuli zote za kimaendeleo. Wakizungumza na Mpanda Radio fm wananchi hao…
16 August 2023, 10:09 am
TANGANYIKA Mwenge wa uhuru unatarajia kuzindua na kutembelea miradi saba yenye thamani zaidi ya bilioni 1.9 katika wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mkuu wa wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu amebainisha kuwa mwenge wa…
16 August 2023, 7:16 am
Wananchi Mkoani Katavi waanza kunufaika na mafunzo ya Ujasiriamali yanayoendeshwa na Mpanda Radio FM kwa kushirikiana na Mkwawa Vocational Training Center, Mafunzo hayo yatatolewa Kwa siku tatu kuanzia August 15 Hadi August 17. #mpandaradiofm.97.0
15 August 2023, 10:19 am
KASEKESE – TANGANYIKAKutokana na dhana iliyojengeka katika jamii kuwa ukimfundisha mtoto kuhusu Afya ya Uzazi unapelekea kujaribu mafunzo aliyopatiwa.Mpanda radio fm imezungumza na baadhi ya wakazi wa kata ya Kasekese juu ya namna elimu ya afya ya uzazi inavyoweza kupambana…
15 August 2023, 10:15 am
Wananchi Manispaa ya Mpanda wamelalamikia baadhi madereva wa vyombo vya moto mkoani hapa kutozingatia sheria za usalama barabarani hali inayopelea ajali zisizo na ulazima.Wakizungumza na Mpanda Radio fm wameeleza changamoto wanayoipata kutokana na madereva kushindwa kuzingatia sheria za usalama wa…
15 August 2023, 10:05 am
KATAVIMkuu wa mkoa wa katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amewataka wananchi mkoani katavi kujiandaa na mapokezi ya mwenge wa uhuru ambao unatarajiwa kupokelewa August 24 katika shule ya msingi vikonge wilaya ya Tanganyika.Ametoa taarifa hiyo wakati akizungumza na waandishi wa habari…
15 August 2023, 8:31 am
NSIMBOUongozi wa wafuga Nyuki katika halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi wameiomba serikali Kupitia kamishna wa utunzaji wanyamapori Tanzania TAWA kuwaondolea vikwazo ambavyo vimekuwa Vikiwakwamisha katika shughuli za utafutaji. Akisoma risala mbele ya kamishna wa TAWA Tazania na Mbunge wa jimbo…
9 August 2023, 7:13 am
MPANDA Baadhi ya wakazi wa kata ya Minsukumilo ambao walipisha kufanya shughuli za uzalishaji pembezoni mwa bwawa la milala wameomba kupata hatma yao mara baada ya kupisha uendelezaji. Wameyasema hayo wakati wa ziara ya mbunge wa Jimbo la Mpanda mjini…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
