Mpanda FM

Recent posts

20 November 2021, 10:52 am

Madereva Zingatieni Sheria za Barabarani

Madereva wa vyombo vya moto mkoani Katavi wametakiwa kuzingatia sheria na taratibu zote za usalama barabarani. Wito huo umetolewa mapema leo na Sanjeti Jofrey Britoni wakati akizungumza na kituo hiki na kubainisha kumekuwa na madereva wanaovunja na kukaidi kufuata utaratibu…

20 November 2021, 10:44 am

Mifumo Mibovu ya Maisha Chanzo cha Magonjwa Yasiyoambukiza

Wananchi mkoani katavi wameshauliwa kubadili mtindo wa maisha ili kuondokana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza ikiwemo ugonjwa wa moyo. Kauli hiyo imetolewa na daktari wa idara ya magonjwa yasiyoambukiza kutoka  hospitali ya rufaa ya mkoa wa katavi dokta  Daniford Mbohilu…

20 November 2021, 10:32 am

TRA Mpanda Yakusanya Mil. 371 kwa Mwezi

Mamlaka ya mapato wilaya ya  mpanda Mkoani katavi  imefanikiwa kukusanya shilingi milioni mia tatu sabini na moja kwa kipindi cha mwezi augusti sawa na asilimia themanini na tisa ya lengo lililopangwa. Kauli hiyo imetolewa na afisa kodi daraja la kwanza…

19 November 2021, 12:41 pm

MUWASA Yawafutia Madeni Wateja 602

Jumla ya wateja 602 wa huduma ya maji wafutiwa madeni yao na mamlaka ya maji safi na mazingira Manispaa ya Mpanda Muwasa baada ya bodi kujilidhisha kuwepo kwa changamoto ya madeni hayo Akizungumza na Mpanda Redio FM afisa biashara wa…

19 November 2021, 12:33 pm

Elimu ya Uraia Itolewe

Wananchi wa wilaya  ya  mpanda mkoani katavi wameiomba serikali kupitia idara ya uhamiaji kutoa elimu ya uraia ili kuwajengea wananchi uelewa katika masuala ya uraia. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na mpanda redio baadhi ya wananchi wamesema hawana elimu ya kutosha…

19 November 2021, 12:23 pm

Wazee Uwanja wa Ndege Waonya Vikundi Vya Uhalifu

Wazee wa kata ya uwanja wa Ndege  Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamewashauri wazazi na walezi katika kata hiyo  kuwaeleza watoto juu ya madhara  yatokanayo  na kujihusisha na makundi ya kiuharifu Wakizungumza na kituo hiki  mara baada ya kikao na…

19 November 2021, 12:12 pm

Million 245 za Mkopo wa Asilimia Kumi Katavi

Zaidi ya shilingi milioni mia mbili arobaini na tano zimetolewa  kwa wanawake vijana na watu wenye ulemavu ambao ni wanuafaika wa mkopo wa asilimia kumi kutoka manispa ya mpanda mkoani katavi. Akikabidhi mikopo hiyo katika ukumbi wa manispaa mkoani katavi…

19 November 2021, 12:01 pm

Katavi na Maadhimisho ya Magonjwa Yasiyoambukiza

Baadhi ya wananchi waliojitokeza kwenye kilele cha maadhimisho ya wiki ya magonjwa yasiyoambukiza wameeleza  umuhimu wa mazoezi sambamba na kuwaasa wananchi wenzao kujitokeza kwenye mazoezi. Wameyasema hayo walipozungumza na mpanda redio fm katika uwanja wa Azimio ambapo yaefanyika maadhimisho ya…

19 November 2021, 11:52 am

Bustani Jiko Mkombozi wa Udumavu

Wananchi Mkoani Katavi wameaswa kujihusisha na kilimo cha Bustani Mkoba ili kuepukana na changamoto ya utapiamlo na udumavu unaosababishwa na ulaji usiofaa Hayo yameelezwa na Gastor Mwakilembe Afisa Kilimo Manispaa ya Mpanda ambae pia ni Mratibu wa mradi wa Bustani…

19 November 2021, 11:16 am

Wanawake Acheni Kukanda Maji

Wanawake mkoani Katavi wametakiwa kuachana na dhana ya kuwakanda  maji ya moto pindi wanapojifungua  kwani kufanya hivyo kuna madhara zaidi ikilinganishwa na faida zinazoainishwa na jamii nyingi. Editha Ngavatula ni muuguzi katika hospitali teule ya mkoa wa Katavi amesema kuwa…