Mpanda FM
Mpanda FM
28 September 2023, 11:29 pm
Baraza la Madiwani Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wafanya kikao kifupi cha mapitio ya bajeti ya fedha kwa mwaka 2022 – 2023. Na Mwandishi wetu – MpandaBaraza la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi limefanya kikao kifupi…
28 September 2023, 7:17 am
Mansipaa ya Mapanda yaanzisha kampeni ya kufuatilia wazazi na walezi wanashindwa kuwapeleka Watoto shule Na John Benjamin – MpandaHalmashauri ya mansipaa ya Mapanda mkoani Katavi imeanzisha kampeni ya kufuatilia na kuhakikisha inawachukulia hatua wazazi na walezi ambao wanashindwa kuwapeleka Watoto…
28 September 2023, 6:26 am
Utelekezaji wa watoto katika familia inatajwa kuwa ni miongoni mwa sababu zinazopelekea ukosefu wa elimu kwa vijana na kuongezeka kwa makundi ya kihalifu Katavi. Na Ben Gadau – MpandaUtelekezaji wa watoto katika familia inatajwa kuwa ni miongoni mwa sababu zinazopelekea…
28 September 2023, 12:09 am
Wazazi na walezi mkoani Katavi wameaswa kuachana na tabia ya kusafiri kwa lengo la kufanya shughuli za utafutaji na kutelekeza familia Na William Liwali – Katavi Wazazi na walezi mkoani Katavi wameaswa kuachana na tabia ya kusafiri kwa lengo la…
26 September 2023, 6:03 pm
Kuelekea Maadhimisho ya siku ya kichaa cha mbwa duniani Manispaa ya Mpanda imepokea dozi mia tano kwa ajili ya kuchanja ili kukabiliana na kichaa cha Mbwa. Na Alvero Solomon – MpandaKatika kuelekea Maadhimisho ya siku ya kichaa cha mbwa duniani…
26 September 2023, 5:47 pm
Na Veronica Mabwile – KataviWaumini wa madhehebu mbalimbali Mkoani Katavi wameombwa kuendelea kupinga matendo maovu yanaojitokeza katika jamii ikiwemo kamchape na lambalamba ili kuendelea kulinda amani iliyopo . Wito huo umetolewa na mkuu wa wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu kwa…
26 September 2023, 4:07 pm
Wanawake wazingatie kanuni za unyonyeshaji ili kuwalinda Watoto na magojwa yasio ya kuambukizwa. Na Gladness Richard – Mpanda Wanawake wanaonyonyesha watoto manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameshauriwa kuzingatia kanuni za unyonyeshaji ili kuwalinda watoto na magojwa yasiyo ya kuambukizwa. Maziwa…
20 September 2023, 5:31 pm
Taarifa za msiba huo amezipokea kwa masikitiko makubwa sana na kiongozi wake alikuwa anamfahamu kwamba alikuwa mchapakazi katika utendaji wa kazi. Na Kalala Robert & Anna Millanzi – MpandaMwenyekiti wa chama cha mapinduzi Ccm wilaya ya Mpanda Bw. Method Mtepa…
20 September 2023, 4:59 pm
Katika mikoa iliyotajwa inapaswa kuchukua tahadhari ya uwepo wa mvua kubwa mwaka huu mkoa wa Katavi haujaainishwa. Na John Benjamin – Katavi Wananchi mkoani Katavi wametakiwa kuwa watulivu kufuatia kutolewa kwa taarifa ya utabiri wa hali ya hewa ukionyesha baadhi…
19 September 2023, 10:06 am
Mkoa wa Katavi unatarajia kutoa chanjo kwa Watoto 227,862 ambapo chanjo hiyo itatolewa kwa halmashauri zote tano mkoani hapa. Na Veronica Mabwile – KataviWananchi Mkoani Katavi wametakiwa kushiriki ipasavyo katika kampeni ya chanjo ya polio inayotarajiwa kuanza kutolewa kuanzia September…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
