Mpanda FM

Recent posts

26 May 2022, 1:27 pm

VIJIJI SABA KUNUFAIKA NA UPATIKANAJI WA MAJI KATAVI

Vijiji saba vilivyopo ndani ya Wilaya ya Mpanda    mkoani katavi vitanufaika na upatikanaji wa maji kupitia Wakala wa maji na usafi wa Mazingira vijijini (RUWASA) katika mwaka wa fedha 2022/23. Akizungumza na Mpanda Radio FM Meneja wa RUWASA Wilayani Mpanda…

25 May 2022, 4:23 pm

TAKUKURU: WANANCHI TUSHIRIKIANE KUTOMEZA RUSHWA

Jamii mkoani katavi imeaswa kushirikiana na tasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa takukuku  katika kutokomeza  vitendo vyote vya rushwa mkoani hapa. Wito huo umetolewa na  Mkuu wa Takukuru Mkoani katavi Festo Mdede wakati akitoa taarifa  ya utendaji kazi wa…

25 May 2022, 4:17 pm

IGP SIRRO: POLICE FANYENI KAZI KWA UADILIFU

Mafisa wa polisi mkoani katavi wametakiwa kufanya kazi kwa ubora huku wakizingatia nidham usiri na uadili katika kutoa huduma kwa wananchi. hayo yameelezwa na kamanda wa jeshi la polisi nnchi IGP Simon Siro katika uzinduzi  wa zahanati ya polisi mkoani…

23 May 2022, 2:34 pm

MIL. 470 KUWANUFAISHA SHULE MAALUM MSAKILA

Jumla ya shilingi million 470 zimetolewa katika wilaya ya Tanganyika kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya msingi   katika shule maalumu ya msakila. Akizungumza na Mpanda radio fm kaimu mkurugenzi wa wilaya ya Tanganyika Betuel Luhega wakati wa ziara ya…

23 May 2022, 2:27 pm

MPANDA Vijana Wilayani Mpanda Mkoani Katavi wametakiwa kujishughulisha na kilimo kwa kujiunga na vikundi ili kulima kilimo chenye tija zaidi. Hayo yamesemwa na wakulima wa kikundi cha AMAKWAWO wanaojishughulisha na kilimo cha zao la nyanya Wilayani Mpanda na kusema kuwa …

23 May 2022, 2:20 pm

MAZIWA NA UTOKOMEZAJI WA UDUMAVU KATAVI

Wazazi na walezi mkoani katavi wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika maadhimisho ya  siku ya  maziwa  yatakayofanyika kuanzia tarehe 27 had tarehe moja mwezi wa sita mwaka  huu ili kujifunza umuhim wa  maziwa katika mwili wa mwanaadam na hatimae kuondokana na…

23 May 2022, 2:12 pm

MAADHIMISHO YA SIKU YA NYUKI KATAVI

KATAVI Kufatia maadhimisho ya siku ya nyuki duniani mkuu wa mkoa wa katavi Mwanamvua Mrindoko amewataka watanzania kutunza mazingira kwa kuhifadhi misitu ili kuongeza thamani ya mazao ya mdudu nyuki. Akizungumza katika sherehe za maadhimisho ya siku ya nyuki duniani…

23 May 2022, 1:56 pm

MIGOGORO WAKULIMA NA WAFUGAJI HALI TETE

KATAVI. Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Karema  mkoani katavi wameiomba serikali kuchukua hatua za haraka kutatua mgogoro   kati ya wakulima na wafugaji kabla haujaleta madhara makubwa katika  jamii. Wakulima hao wameiambia mpanda radio fm kuwa ugomvi kati ya wafugaji…

23 May 2022, 1:42 pm

UMASKINI, CHANZO MIMBA ZA UTOTONI

KATAVI Umaskini wa kipato umetajwa Kuwa  chanzo moja wapo  cha kinachopelekea mimba  za utotoni  kwa baadhi ya familia mkoani katavi. Wakizungumza na mpanda redio fm baadhi ya wazazi hao  wameeleza namna umaskini wa familia unavyosababisha mabinti wengi kupata mimba kabla…

23 May 2022, 1:32 pm

MGANGA WA KIENYEJI MBARONI KWA ULAWITI

  Jeshi la polisi mkoani katavi limefanikiwa kumkamata mganga wa kienyeji akili abakuki almaarufu kama jimmy mwenye umri wa miaka 38 mkazi wa majengo kwa tuhuma za kulawiti watoto wenye umri kati ya miaka 6 hadi 12 alipokuwa akiwapatia matibabu…