Mpanda FM

Recent posts

8 June 2022, 4:03 pm

USIRI KWA WANAUME UNAVYOCHANGIA CHANGAMOTO YA AFYA YA AKILI

Wananchi mkoani katavi wametoa maoni yao juu ya kwanini usiri kwa wanaume unapelekea kusumbuliwa na changamoto ya afya ya akili. Wamyasema hayo wakati wakizungumza na Mpanda Radio Fm na kusema kuwa hiyo ni kwasababu wanaume wengi si wazungumzaji wa vitu…

8 June 2022, 4:01 pm

WANANCHI WALIA NA BEI ZA NAULI

Baadhi ya wananchi mkoani katavi wameuomba uongozi unao simamia vyombo vya usaifi mkoani hapa kupunguza bei ya nauli na kiirejesha kama ilivo kuwa hapo awali. Wakizungumza na kituo hiki baaadhi ya wananchi wamesema kuwa kupanda kwa bei ya nauli kwa…

8 June 2022, 3:55 pm

WAKULIMA WA MPUNGA WAASWA KUTUMIA NJIA ZA KISASA KUHIFADHI MAZAO

Wakulima wa Mpunga mkoani Katavi wameaswa kutumia njia za kisasa za kuhifadhi zao hilo mara baada ya kuvuna ili waweze kuendana na utunzaji bora kwa manufaa ya  zao hilo likiingia sokoni. Akizungumza na Mpanda radio fm afisa kilimo kata ya…

8 June 2022, 3:50 pm

MIGOGORO NA ATHARI KATIKA NDOA

Baadhi ya wananchi Wilayani Mpanda wamesema wivu wa mali, hofu ya kupoteza nafasi na kutozimudu hasira zimekuwa ni sababu za migogoro mingi ndani ya ndoa. Wakizungumza na Mpanda radio FM wananchi hao wamesema ndoa nyingi zimekuwa zikikumbwa na migogoro ya…

8 June 2022, 3:47 pm

WANAWAKE JISHUGHULISHENI KUJIKWAMUA KIUCHUMI

Wanawake katika halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wametakiwa kujishughulisha ili waweze kujikwamua na umaskini. Wakizungumza na mpanda radio fm wanawake ambao wanajishughulisha na upetaji wa pumba na kujipatia chenga za mchele na kisha kuziuza wameeleza namna kazi hiyo…

8 June 2022, 3:45 pm

TUWEZESHENI, TUKAWAWEZESHE

Wanachama wa Chama cha wafugaji wa ngombe wa maziwa cha Kashauriri Livestock Keepers kilichopo Wilayani Mpanda  wameomba kuwezeshwa na taasisi za fedha kwa lengo la kujikwamua kiuchumi na kutoa fursa ya ajira kwa jamii. Wakizungumuza wakati wa kilele cha maadhimisho…

8 June 2022, 3:42 pm

WAZAZI SIMAMIENI MALEZI KUPUNGUZA WATOTO WA MITAANI

Baadhi ya wazazi na walezi mkoani katavi wameshauriwa kuwalea watoto katika misingi bora ili kuepuka janga la watoto wa mitaani na mmomonyoko wa maadili. Wakizungumza na mpanda fm baadhi ya wazazi hao wamesema kuwa hali duni ya maisha ndio sababu…

8 June 2022, 3:41 pm

MADARASA NA MADAWATI BADO CHANGAMOTO KATA YA KASOKOLA

Kata ya kasokola iliyopo manispaa ya mpanda inakabiliwa na upungufu wa miundo mbinu wa madarasa na madawati katika shule za msingi na sekondari. akizungumza  na Mpanda radio fm katika kipindi Cha kumekucha Tanzania Diwani wa kasokola  Crisant  Andrea Mwanawima amesema…