Mpanda FM
Mpanda FM
26 September 2023, 5:47 pm
Na Veronica Mabwile – KataviWaumini wa madhehebu mbalimbali Mkoani Katavi wameombwa kuendelea kupinga matendo maovu yanaojitokeza katika jamii ikiwemo kamchape na lambalamba ili kuendelea kulinda amani iliyopo . Wito huo umetolewa na mkuu wa wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu kwa…
26 September 2023, 4:07 pm
Wanawake wazingatie kanuni za unyonyeshaji ili kuwalinda Watoto na magojwa yasio ya kuambukizwa. Na Gladness Richard – Mpanda Wanawake wanaonyonyesha watoto manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameshauriwa kuzingatia kanuni za unyonyeshaji ili kuwalinda watoto na magojwa yasiyo ya kuambukizwa. Maziwa…
20 September 2023, 5:31 pm
Taarifa za msiba huo amezipokea kwa masikitiko makubwa sana na kiongozi wake alikuwa anamfahamu kwamba alikuwa mchapakazi katika utendaji wa kazi. Na Kalala Robert & Anna Millanzi – MpandaMwenyekiti wa chama cha mapinduzi Ccm wilaya ya Mpanda Bw. Method Mtepa…
20 September 2023, 4:59 pm
Katika mikoa iliyotajwa inapaswa kuchukua tahadhari ya uwepo wa mvua kubwa mwaka huu mkoa wa Katavi haujaainishwa. Na John Benjamin – Katavi Wananchi mkoani Katavi wametakiwa kuwa watulivu kufuatia kutolewa kwa taarifa ya utabiri wa hali ya hewa ukionyesha baadhi…
19 September 2023, 10:06 am
Mkoa wa Katavi unatarajia kutoa chanjo kwa Watoto 227,862 ambapo chanjo hiyo itatolewa kwa halmashauri zote tano mkoani hapa. Na Veronica Mabwile – KataviWananchi Mkoani Katavi wametakiwa kushiriki ipasavyo katika kampeni ya chanjo ya polio inayotarajiwa kuanza kutolewa kuanzia September…
14 September 2023, 6:30 pm
Maadhimisho ya usafishaji duniani hufanyika kila ifikapo September 16 ya kila mwaka kwa lengo la kuikumnusha jamii juu ya umhimu wa usafi wa mazingira Na Veronica Mabwile – Mpanda Wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameshauriwa kuitumia wiki ya maadhimisho…
14 September 2023, 12:18 pm
Serikali itaendelea kusimamia utekelezaji wa miradi yote ya serikali na kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa wananchi. Na Kilian Samwel – TanganyikaMadiwani halmashauri ya Tanganyika mkoani Katavi wametakiwa kusimamia miradi inayoanzishwa na wananchi pamoja na kuwashirikisha katika miradi mbalimbali ya serikali.…
14 September 2023, 11:40 am
Mgonjwa wa maralia anapaswa kukamilisha dozi ya Malaria ambayo anapatiwa na mtaalamu wa afya Ambapo kutamsaidia kumaliza vimelea vya maambukizi ya maralia Na John Benjamin – Mpanda Wananchi halmashauri ya manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi wametoa maoni namna wanavyoelewa…
12 September 2023, 9:49 am
John Shindika Askari wa usalama barabarani kutoka kitengo cha elimu mkoa wa Katavi akitoa mafunzo ya udereva. Tumieni vyema mafunzo mliopatiwa mkiwa darasani Na John Benjamini -Mpanda Wahitimu wa mafunzo ya udereva wa vyombo vya moto mkoani Katavi wametakiwa kufuata…
12 September 2023, 7:27 am
Mafunzo haya yatawasaidia waandishi wa habari kuwa na uelewa zaidi kidigital kwa kuchapisha Habari ,Makala na kufikisha elimu mbalimmbali kupitia radio tadio Na Anna Millanzi – Mbeya Waandishi wa Habari wa radio jamii nyanda za juu kusini wamepatiwa mafunzo ili…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
