Mpanda FM

Recent posts

4 October 2022, 5:32 am

Wananchi Watema Cheche Kuhusu Vipodozi Vyenye Kemikali

MPANDA Baadhi ya Wananchi wa manispaa ya  mpanda mkoani katavi wametoa maoni yao kuhusiana na madhara yanayosababishwa na matumizi ya vipodozi vyenye kemikali. Wakizungumza na mpanda radio fm wananchi hao wamesema kuwa kuna  madhara kwa mtu anayejichubua anaharibu ngozi yake…

16 September 2022, 4:43 am

Zaidi ya Wanafunzi 5,000 Kusomea Chini Kata ya Shanwe

MPANDA Zaidi ya wanafunzi  5000 katika  Kata ya Shanwe manispaa ya Mpanda mkoani katavi  hawana sehemu ya  kusomea hali ambayo inapelekea kusomea nje. Akizungumza na Mpanda Redio FM Diwani wa Kata ya Shanwe Masumbuko Makolo kolo amesema kuwa shule zilizopo…

16 September 2022, 4:37 am

Wakulima Watakiwa Kuendelea Kujiandikisha na Ruzuku ya Mbolea

MPANDA Wakulima Kata ya makanyagio wametakiwa kuendelea kujiandikisha katika maeneo wanayofanyia shughuli za kilimo ili kunufaika na ruzuku ya mbolea iliyotolewa na serikali. Akitoa ufafanuzi huo wakati akizungumza na mpanda radio fm mtendaji wa kata hiyo Dolnad Edward amesema serikali…

16 September 2022, 4:28 am

Wananchi Waaswa Kufichua Vitendo vya Kiharifu

KATAVI Wananchi mkoani Katavi wamepaswa kufichua  na kushiriki katika kutoa taarifa na vitendo vya kiharifu ili kukomesha  vitendo hivyo. Hayo yamesemwa na Inspekta Kelvin Fuime  kutoka ofisi ya Kamanda wa Polisi  Mkoa Dawati la Jinsia, ambapo amesema ni wajibu wa…

16 September 2022, 4:07 am

Watembea kwa Miguu Walia na Waendesha Vyombo vya Moto

MPANDA Baadhi ya watembea kwa miguu katika manispaa ya  mpanda mkoani katavi wamewalalamikia madereva wa vyombo vya moto kutozingatia sheria na alama za usalama barabarani pindi wanapoendesha. Wakizungumza na mpanda redio fm wananchi hao wameeleza kuwa wanakutana na changamoto ya …

15 September 2022, 10:06 pm

Machinga Walia na Changamoto za Mikopo ya Halmashauri

KATAVI Wajasiliamali wadogo wadogo maarufu kama machinga Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamezungumzia changamoto wanazokutana nazo katika utoaji wa mikopo katika vikundi. Wameyasema hayo wakati wakizungumza na Mpanda Radio Fm, na kubainisha sababu zinazopelekea baadhi ya vikundi kutopata mikopo baada…

15 September 2022, 9:55 pm

Bil.40 za Mradi Kunufaisha Huduma za Malaria Mkoani Katavi

KATAVI Mkoa wa Katavi umepokea mradi wa miaka mitano utakao gharimu Bilioni 40 unaosimamiwa na serikali  ya Marekani chini ya taasisi ya afya ya Ifakara  utakoshirikiana  na Mkoa kusimamia huduma za Malaria . Akizungumza wakati wa kutambulisha mradi huo mkurungezi…

8 September 2022, 7:27 pm

Wananchi Wadai Fidia Waweze Kuondoka

KATAVI Baadhi ya wananchi wanao ishi mtaa wa Tambukareli kata ya uwanja wa ndege manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali kuwalipa fidia ili waweze kutoka katika makazi hayo. Wakizungumza na mpanda redio fm wamesema kuwa ni muda mrefu sasa…

8 September 2022, 7:25 pm

Vijana Washauriwa Kutofanya Maamuzi Mabaya

KATAVI Vijana mkoani Katavi wameshauriwa kutofanya maamuzi mabaya  pindi wanapogubikwa na changamoto na badala yake waombe ushauri kwa watu wanaowazunguka. Hayo yamesemwa na baadhi ya vijani mkoani hapa wakati wakizungumza na mpanda radio fm wamesema athari za matatizo ya kisaikolojia…

8 September 2022, 7:19 pm

Wananchi Wapongeza Serikali kwa Mradi wa Maji

TANGANYIKA Wananchi wakijiji cha Vikonge kata ya Tongwe wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi wamepongeza jitihada zinazo fanywa na serikali katika kutekeleza mradi wa maji kijijini hapo. Wakizungumza na mpanda redio fm wananchi hao wamesema kuwa kukamilika kwa mradi huo kutawapunguzia…