Mpanda FM
Mpanda FM
9 February 2024, 2:41 pm
Na John Benjamin-Katavi Baadhi ya wananchi katika mtaa wa Airtel kata ya Uwanja wa Ndege halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamelalamikia kuwepo kwa kundi ambalo limekuwa likijitambulisha kuwa ni ulinzi shirikishi ambalo limekuwa likifanya matukio ya kiharifu kama…
9 February 2024, 2:29 pm
Wananchi wamehimizwa kujenga tabia ya kuchukua mikopo katika taasisi za kifedha zinazozingatia sheria na miongozo ya serikali zikiwemo benki ili kuepuka usumbufu wa mikopo umiza. Na Veronica Mabwile-Katavi Imeelezwa kuwa Uwepo wa Elimu ndogo juu ya madhara ya tokanayo na…
9 February 2024, 2:16 pm
Tumejipanga kutoa elimu na kuzuia rushwa kwa Wananchi na wagombea Ili kuhakikisha uchaguzi wa serikali za mitaa unakuwa huru na haki kwa mwaka huu na Uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.Picha na mtandao Na Samweli Mbhugi-Katavi Taasisi ya kuzuia na kupambana…
5 February 2024, 4:14 pm
“Chama Cha Mapinduzi hakipo tayari kuona baadhi ya wananchi wakidhurumiwa haki zao.Picha na Deud Daud Na Festo Kinyogoto Mjumbe wa halamashauri kuu ya CCM taifa, katibu wa itikadi na Uenezi Chama cha Mapinduzi PAUL MAKONDA Amemuagiza mkuu wa wilaya ya…
5 February 2024, 3:49 pm
“Chama cha mapinduzi hakipo tayari kuona Wananchi wakiendelea kuteseka na kero zinzowakabili huku watendaji wa serikali wakitumia mianya hiyo kujinufaisha wenyewe bila kujali wananchi.Picha na Deus Daud Na Festo Kinyogoto Mjumbe wa halamashauri kuu ya CCM taifa, katibu itikadi uenezi…
1 February 2024, 5:54 pm
“Kaimu kamanda Geofrey Mwambungu amesema kuwa kuna ajali nyingi hutokea katika maeneo ya Migodini kipindi cha mvua”. Picha na Gladness Richard. Na Gladness Richard-Katavi Wachimba wa madini mkoani Katavi wameshauliwa kuchukua tahadhali kabla hawajaingia kwenye Migodi katika kipindi hiki cha…
1 February 2024, 5:27 pm
TAKUKURU wanaendelea kufaatilia utekelezaji wa Miradi 11 yenye thamani ya Shilingi Billioni 9.57 katika sekta ya elimu,Afya na ufundi stadi [VETA].Picha na Gladness Richard Na Gladness Richard-Katavi Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Katavi TAKUKURU wamepokea malalamiko…
1 February 2024, 4:48 pm
Wamehoji kutorekebishwa Kwa baadhi ya Vyoo katika Jengo Hilo Kwa muda mrefu ambavyo vimeharibika, kucheleweshwa Kwa fedha za umalizaji Shule na Zahanati ambazo zimetumia nguvu za wananchi. Picha na Festo Kinyogoto. Na Festo Kinyogoto-Katavi Baraza la Madiwani halmashauri ya Wilaya…
1 February 2024, 3:02 pm
Halmashauri zote zilizopo mkoani Katavi kuhakikisha zinapanda miti milioni 2. Picha na Festo kinyogoto Na John Benjamin-katavi Halmashauri zote na mamlaka za Mistu mkoani Katavi zimetakiwa kuhakikisha zinapanda Miti kwa ajili ya kutunza mazingira na uoto wa AsiliHayo yamebainishwa na…
24 January 2024, 3:43 pm
“Madhara ni kupelekea mtumiaji kupata homa na hata kuharisha kutokana na sumu iliyopo ndani ya Chakula”. Picha Na Mtandao Na Lilian Vicent-katavi Baadhi ya wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameeleza maoni yao Mseto juu ya namna wanazingatia muda sahihi …
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
