Mpanda FM
Mpanda FM
8 April 2024, 3:07 pm
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko .Picha na Mtandao “Mafanikio ya Mkoa wa Katavi kwa miaka Mitatu ya Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Dkt Samia“ Na Liliani Vicent -Katavi Mkoa wa Katavi umepokea Fedha zaidi ya…
8 April 2024, 1:39 pm
Picha na Mtandao “Baada ya kuzipokea Fedha hizo alikaa na Wajumbe kwa ajili ya kufanya Maamuzi, wakaona ni Vyema kuwashilikisha Wananchi ili kukubaliana kiasi cha kuchangia kwa ajili ya upatikanaji wa Mchanga“ Na Samwel Mbugi -Katavi Wananchi wa Mtaa wa…
8 April 2024, 12:33 pm
Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini Sebastian Kapufi.Picha na Mtandao “viongozi wa serikali na wasio waserikali wamekuwa na mchango katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa ramadhani katika dhehabu hilo kwa kutoa misaada mbalimbali ikiwemo kufuturisha” Na Deus Daudi-Katavi Mbunge…
4 April 2024, 8:45 pm
Afisa Msajili mamlaka ya vitambulisho vya taifa wilaya ya Mpanda Mauna Karumbeta akiwa katika Studio za Mpanda Redio Fm .Picha na Anna Milanzi Amewataka wananchi kuthamini juhudi za serikali kwa kufika kuchukua vitambulisho na kuvitunza kwani serikali imetumia gharama“ Na…
4 April 2024, 4:28 pm
Picha na Mtandao “Baada ya polisi kuuchukua Mwili wa Marehemu kikosi cha ulinzi na usalama kilirudi tena kufanya Misako ya Watu wanaokunywa Pombe Saa za Kazi“ Na Samwel Mbugi-Katavi Mtu mmoja anaekadiriwa kuwa na Umri kati ya Miaka 40-45 amekutwa…
4 April 2024, 3:54 pm
Mratibu wa kudhibiti Kifua Kikuu na Ukoma Manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi Bruno Cronely.picha na Samwel Mbugi “Mtu yoyote mwenye ugonjwa unaoweza kupelekea upungufu wa kinga za mwili, ni rahisi kupata kifua kikuu” Na Samwel Mbugi-Katavi Wananchi wa Manispaa…
3 April 2024, 9:26 pm
picha na Mtandao ” Wanandoa wanapaswa kusuluhisha Migogoro ya ndoa kwa njia ya amani na kuripoti vitendo vya ukatili wanavyofanyiwa katika mamlaka husika“ Na Lilian Vicent -Katavi Hayo yameelezwa na Afisa Ustawi wa Jamii Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi Anyulumiye…
3 April 2024, 1:02 pm
picha na Mtandao “Ni muhimu vijana kushiriki katika kufanya kazi ili kusaidia kuondoa makundi ya kiharifu“ Na Veronika Mabwile -Katavi Imeelezwa kuwa uwepo wa baadhi ya vijana wasioshiriki katika shughuli za Kiuchumi katika Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi inatokana kutokuelezwa…
2 April 2024, 10:23 pm
Picha na Mtandao Wizi wa koki uliokuwa unafanywa na wahalifu ulichangia kwa kiasi kikubwa kukosekana kwa maji katika mtaa wa Mpanda hoteli. Na Samwel Mbughi-Katavi Wananchi wa Mtaa wa Mpanda Hoteli Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa Shukrani kwa Serikali…
1 April 2024, 9:16 pm
Jengo la Maabara inayojengwa .Picha na Mtandao Akinamama wa kiislamu wamefurahishwa na uanzishwaji wa maabara hiyo huku wakidai itakapokamilika itasaidia kutatua changamoto zinazowakabili kwani watapatiwa huduma na wataalam wa kike na si wa kiume kama ilivyo sasa. Na Betold Chove…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
