Mpanda FM
Mpanda FM
24 May 2024, 9:19 am
“Mkuu wa wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu amewataka wananchi wilayani humo kuacha kujihusisha na na shuguli za dawa za kulevya” Picha na John Benjamin Na john Benjamin-Katavi Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa kushirikiana na vyombo…
23 May 2024, 10:57 am
Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko.Picha na Anna Milanzi “kulipa madeni katika hospitali ambazo zinadaiwa kutaongeza ufanisi katika utendaji kazi“ Na Rachel Ezekia-Katavi Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amezitaka hospitali zinazodaiwa na bohari ya dawa kanda…
21 May 2024, 3:18 pm
“Jeshi la zimamoto lililoundwa kwa sheria namba 14 ya mwaka 2007 jukumu lake kubwa ni kuzima moto na kuokoa maisha na mali katika majanga yatokanayo na moto ,mafuriko ,teteeko la ardhi ,ajali za barabarani pamoja na majanga mengine” Picha na…
20 May 2024, 3:46 pm
Na mwandishi wetu Dodoma Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga amesema mradi wa ujenzi wa njia ya umeme kutoka Tabora hadi Katavi wenye thamani ya shilingi bilioni 116 umefikia asilimia 58, ambapo utakapokamilika utauunganisha mkoa wa Katavi kwenye gridi ya…
17 May 2024, 2:06 pm
Huenda ametugeuka kwa kuwa eneo lake limeachwa wazi hivyo tunadhani kuwa zipo sababu za yeye kuegemea upande mmoja na kusababisha maeneo hayo kuchukuliwa na jeshi” Alisema mmoja wa wananchi aliehudhuria kliniki hiyo. Picha na Lilian Vicent Na Lilian Vicent -Katavi Mkuu…
16 May 2024, 4:46 pm
“Tumepokea barua kutoka kambi ya Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ ikimuarifu kuwajulisha wananchi wa mtaa wake kuwepo kwa mnyama Simba ili wawe makini pindi wanapokuwa katika shughuli zao hususani zile za usiku Amesema mwenyekiti wa mtaa wa Mpanda hotel. Picha…
15 May 2024, 11:59 pm
“Kukatika kwa umeme baadhi ya maeneo imekuwa inajirudia na kumekuwa hakuna taarifa kutoka mamlaka husika jambo ambalo limekuwa likipeekea changamoto ya kusimama kwa baadhi ya kazi za watu zinazotegemea nishati ya umeme” Picha na Lilian Vicent Na Lilian Vicent-Katavi Wananchi…
15 May 2024, 11:12 pm
Mkuu wa mkoa wa katavi Mhe. Mwanamvua Mrindoko alipokuwa akitoa hotuba kwa Wananchi katika viwanja vya kituo cha Afya Nsemulwa katika siku ya familia duniani. Picha na Gladness Richard Kauli mbiu ya maadhimisho hayo kwa mwaka huu ni ‘Tukubali tofauti…
15 May 2024, 11:04 am
Picha na Gladness Richard “zoezi la kusikiliza kero za wananchi ni kwa kila kata ambapo jeshi la polisi litahakikisha linawafikia wananchi wote katika kata hizo“ Na Samwel Mbugi -Katavi Kamanda wa Polisi mkoa wa Katavi Kaster Ngonyani ameanzisha ziara ya…
15 May 2024, 10:07 am
Waumini wa makanisa mbalimbali wiliojetokeza katika kongamano.picha na Samwel Mbugi “Wanapaswa kusoma vitabu vya neno la Mungu ili kumjua Mungu na kuepukana na vitendo vya ukatili kutokana na kuwa na hofu ya Mungu“ Na Samwel Mbugi -Katavi Waumini wa makanisa…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
