Mpanda FM
Mpanda FM
18 October 2025, 5:49 pm
“kama watampa ridhaa ya kuendelea kuiongoza nchi atahakikisha mkoa wa Katavi unapata kipaumbele katika ujenzi wa barabara na madaraja ili kuunganisha mkoa huo na maeneo jirani ya ndani na nje ya nchi.” Na Restuta Nyondo Mgombea urais wa Jamhuri ya…
18 October 2025, 11:51 am
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Mpanda katikati akipokea jezi za CHAUMA zilizorudishwa. Picha na Anna Mhina “Wamerudisha kadi zao na jezi zao” Na Anna Mhina Wanachama 24 wa chama cha Ukomboza wa Umma ( CHAUMA) wa kata ya Kazima iliyopo…
16 October 2025, 4:07 pm
Viongozi wa CHAUMA wa pili kutoka kulia ni mgombea ubunge wa jimbo la Mpanda kati. Picha na Betord Chove. ” Naomba niwakikishie watu wa Dirifu ardhi hii ya uchimbaji ni mali yenu” Na Betord Chove Chama cha ukombozi wa umma…
16 October 2025, 3:50 pm
Mgombea ubunge jimbo la Mpanda kati akiwa kwenye kampeni zake. Picha na Anna Mhina “Nitaboresha miundombinu ya barabara na maji” Na Anna Mhina Mgombea ubunge kupitia chama cha mapinduzi (CCM) jimbo la Mpanda kati Haidary Hemed Sumry amewaahidi wananchi wa…
11 October 2025, 4:50 pm
Baadhi ya wafanyakazi wa NSSF Katavi. Picha na Restuta Nyondo “Tunashukuru wajasiriamali tumefikiwa na sisi” Na Restuta Nyondo Zaidi ya wananchi 1000 waliojiariji katika shughuli ndogo ndogo za kiuchumi mkoani Katavi wamejiunga uanachana katika mfuko wa hifadhi ya jamii NSSF…
10 October 2025, 6:43 am
“Lengo ni kuwapenda watoto na kuwajali katika Bwana” Na John Benjamin Jamii mkoani Katavi imesisitizwa kutambua haki za watoto na kuhakikisha kuwa wanalelewa katika mazingira salama yenye heshima na upendo Hayo yamebainishwa na mrakibu na Afisa wa jeshi la polisi…
9 October 2025, 4:57 pm
Wafanyabiashara Katavi wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa TRA. Picha na Samwel Mbugi ” Ninyi ni watu mnaosababisha sisi tuendelee kuwepo” Na Samwel Mbugi Katika kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa…
9 October 2025, 3:19 pm
Mgombea urais Coaster Kibonde katikati akisalimiana na baadhi ya wanachama wa chama cha Makini. Picha na Samwel Mbugi “Vipaombele vyetu vipo vitatu elimu, kilimo na afya” Na Samwel Mbugi Mgombea urais kupitia Chama cha Makini Coaster Kibonde ameendelea na kampeni…
5 October 2025, 7:11 pm
Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph akitoa maelekezo kwa wawekezaji. Picha na John Benjamin “Kuanzia leo nafunga shughuli zote za uchimbaji” Na John Benjamin Wananchi wa Kijiji cha Mtisi wilaya ya Mpanda mkoani Katavi wamelalamikia uwepo wa wawekezaji watatu…
5 October 2025, 6:40 pm
Baadhi ya wachangiaji wa mada.Picha na Anna Mhina “Tunashindwa kuhudhuria kwasababu hawatekelezi ahadi zao” Na Anna Mhina na Roda Elias Baadhi ya wanawake wa mtaa wa Mpadeko uliopo kata ya Makanyio wilayani Mpanda mkoani Katavi wameiomba mamlaka husika kutoa elimu…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
