

13 February 2025, 11:22 am
amefariki baada ya kupigwa na Sungusungu kwa tuhuma za kushukiwa anajishughulisha na vitendo vya wizi. Na Betold Chove -Katavi Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu amekemea vitendo vya Wananchi kujichukulia sheria mkononi, hali inayopelekea uvunjifu wa amani na kuhatarisha…
13 February 2025, 11:09 am
“kiongozi huyo ambaye alikuwa mwalimu wa maadili mema, mshauri wa jamii, na kiongozi aliyekuwa mstari wa mbele katika kuleta maendeleo.“ Na Anna Mhina -Katavi Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, Ameshiriki katika mazishi ya Askofu wa kanisa la New…
10 February 2025, 3:35 pm
Dr. Banuba Deogratias mganga mfawidhi hospitali ya Rufaa mko wa Katavi. Picha na Anna Mhina “Wananchi wajitokeze kuchunguzwa vimelea vya kifua kikuu” Wananchi mkoani wa Katavi wametakiwa kujitokeza ili kuchunguzwa vimelea vya ugonjwa wa kifua kikuu Kutokana na uwepo wa…
7 February 2025, 2:29 pm
Picha ya Koplo Zainabu Yusuph. Picha na Samwel Mbugi “Ukatili kwa watoto wa kambo huathiri afya ya akili ya mtoto” Na Lilian Vicent Baadhi ya wananchi mkoa wa Katavi wamesema kuwa familia nyingi kuvunjika miongoni mwa wazazi ni moja ya sababu…
7 February 2025, 1:52 pm
Picha ya kamanda wa polisi mkoa wa Katavi SACP Kaster Ngonyani. Picha na Lilian Vicent “Wananchi watakiwa kuacha kujihusisha na vitendo vya uhalifu” Na Lilian Vicent Jeshi la polisi mkoa wa katavi limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 118 ambapo kati yao watuhumiwa…
7 February 2025, 1:23 pm
Picha ya mstahiki meya wa halmashauri ya Mpanda Haidary Sumry. Picha na Anna Mhina “Jamii ipatiwe elimu na kushirikishwa katika kutunga sheria ndogondogo” Na Restusta Nyondo Halmashauri ya manispaa ya Mpanda imesema kuna haja ya kutunga sheria ndogondogo za kulinda…
7 February 2025, 12:18 pm
Picha ya hakimu mkazi mfawidhi Gway Sumaye. Picha na Anna Mhina “Wananchi watumie mahakama kwa njia ya mtandao ili kuokoa pesa” Na Lilian Vicent Wananchi mkoani Katavi wameshauriwa kutumia mahakama kwa njia ya mtandao ili kuokoa muda pamoja fedha zitakazotumika…
4 February 2025, 2:35 pm
Mstahiki meya wa halmashauri ya Mpanda akizindua tractor. Picha na Rachel Ezekia “Wakulima wanapaswa kutumia zana bora za kilimo ili kupata mavuno mengi” Na Rachel Ezekia Wakulima Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kulima kilimo chenye tija kwa kufuata kanuni…
4 February 2025, 1:46 pm
Picha ya viongozi walioshiriki sherehe za kilele cha wiki ya sheria. Picha na Anna Mhina “Malipo madogo hayakizi mahitaji” Na Lilian Vicent Chama cha mawakili Tanzania (TLS) mkoani Katavi kimelalamikia malipo madogo ambayo hayakidhi mahitaji Hayo yamesemwa na mwakilishi wa…
4 February 2025, 1:20 pm
Wananchi na viongozi wakisafisha eneo ambalo chatu alimmeza mbwa. Picha na Anna Mhina “Chatu mwingine aonekana mtaa wa Msasani akimeza mbwa” Na Anna Mhina Hofu imetanda kwa wakazi wa mtaa wa Msasani uliopo kata ya Mpanda hotel manispaa ya Mpanda…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.