Mpanda FM
Mpanda FM
13 September 2024, 11:59 am
Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa katika picha akiwa na viongozi wengine wilaya ya mpanda akiwemo mkuu wa wilaya ya mpanda Jamila Yusuph.picha na Betord Chove “Wajibu wa watekelezaji wa mradi huo pamoja na serikali kuhakikisha jengo hilo linakuwa na…
9 September 2024, 7:30 pm
Mwenyekiti chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake .picha na John mwasomola “kutokana na matukio yanayojitokeza ya watu kutekwa na kuuawa wanatakiwa kujilinda na kutokubali kuchukuliwa“ Na John Mwasomola -Katavi Mwenyekiti wa chama cha…
6 September 2024, 2:07 pm
Wanafunzi na wananchi ambao wamejitokeza katika mazishi ya mwanafunzi huyo “waliondoka na walimu wao kurudi kambini walipofikia kwaajili ya kupata chakula ndipo walipogundua mwanafunzi mmoja hayupo” Na Betold Chove -Katavi Mwanafunzi aliefahamika kwa majina ya James Japhet (12) amefariki dunia…
6 September 2024, 1:11 pm
Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Katavi ACP David Mutasya akionyesha vitu mbalimbali walivyokutwa navyo watuhumiwa .picha na Roda Elias “Jeshi la polisi limetoa muda kwa wanaomiliki silaha kinyume na sheria kuzisalimisha sulaha hizo katika vituo vya polisi au ofisi…
4 September 2024, 9:32 am
katika picha waliokaa upande wa kushoto ni mwenyekiti wa taasisi zisizo za kiserikali katavi ,anayefuatia ni katibu tawala mkoa wa katavi na kulia ni afisa maendeleo mkoa wa katavi.picha na Rachel Ezekia. “lengo kuu la kukuza uzalendo ni kulinda rasilimali…
3 September 2024, 11:31 am
“Milipuko inayolipuliwa katika uwanja huo imeleta wasiwasi katika jamii na kupelekea baadhi ya wananchi kupata mshtuko wa moyo.” Na Samwel Mbugi -Katavi Baadhi ya wazee kata ya Makanyagio Manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi wamemwomba Kamanda wa Jeshi la Polisi…
2 September 2024, 9:22 pm
picha na mtandao “kuna baadhi ya watendaji wa serikali wamekuwa hawatoi ushirikiano katika suala la usafi jambo ambalo halipendezi.“ Na Edda Alias-Katavi Wananchi wa Mtaa wa Mpanda hoteli manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuhakikisha wanafanya usafi kwenye mazingira yanayowazunguka…
2 September 2024, 8:55 pm
picha na mtandao “Hatua hiyo ni kufuatia tangazo la kuwataka wanachama kutia nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uwakilishi serikalini ndani ya chama .“ Na Lilian Vicent -Katavi Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Sospeter Chotola mkoani Katavi amepokea…
2 September 2024, 8:25 pm
“Hawajaridhishwa na mkandarasi wa ujenzi wa daraja la Tulieni kwani hajafuata maagizo ya chama ya kufanya marekebisho.“ Liliani Vicent -Katavi Wajumbe wa kamati ya siasa Chama Cha Mapinduzi CCM kata ya Nsemulwa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamesema hawajaridhishwa na mkandarasi…
22 August 2024, 1:04 pm
Picha na mtandao “Wakulima wengi wana uwezo wa kuzalisha mazao lakini hawana elimu ya kutosha ya kilimo hali inayosababisha wakati mwingine kutokuwa na mazao bora“ Na Lilian Vicent -Katavi Baadhi ya wafanyabiashara wa mahindi mkoani Katavi wameeleza vigezo vingi vinavyowekwa…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
