Mpanda FM

Recent posts

8 November 2024, 12:17 pm

Wanufaika wa TASAF Katavi watia neno juu ya fedha wanazopokea

Picha na mtandao “Mfuko huu umeanzishwa kwa ajili ya kupunguza umaskini, kuboresha hali ya wananchi na ili mnufaika aweze  kujiunga na TASAF kuna vigezo maalum vinavyohitajika“ Na Lear Kamala- Katavi Wanufaika wa mfuko wa maendeleo ya jamii TASAF manispaa ya…

6 November 2024, 7:13 pm

Katavi: Wakazi kata ya Majengo walalamikia kutozolewa taka kwa wakati

Takataka zilizopo katika moja ya nyumba kata ya majengo.picha na Samwel Mbugi “Kampuni ambayo inajihusisha na uzoaji wa taka hizo, kutokana na uchache wa vifaa jambo hilo  limesebabisha mrundikano wa takataka katika makazi yao“ Na Samwel Mbugi -Katavi Wananchi wa…

6 November 2024, 6:50 pm

Madiwani Katavi wakerwa kutotatuliwa changamoto wanazowasilisha

picha na John Benjamin “Wameeleza kuwa kumekuwepo na kujirudia kwa changamoto kila kikao kama ukosefu wa choo cha  machinjio kata ya Mpanda Hoteli mgogoro wa mwekezaji kata ya Magamba na sehemu ya maegisho ya magari makubwa mjini hali ambayo imekuwa…

4 November 2024, 2:13 pm

TAKUKURU Katavi yafuatilia miradi 33 yenye thamani ya bilion 46

kaimu Mkuu wa TAKUKURU  mkoa wa Katavi Stuart Kiondo .Picha na Samwel Mbugi “sekta zilizofuatiliwa ni elimu, kilimo, afya,  Uchumi  biashara na miundombinu“ Na Samwel Mbugi -Katavi Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Katavi imefanikiwa kufuatilia…

1 November 2024, 3:06 pm

Katavi:Takukuru yaokoa fedha zaidi ya Tshs milion 6

kaimu mkuu wa TAKUKURU  mkoa wa Katavi Stuart Kiondo.picha na Samwel Mbugi “ametoa rai kwa wananchi wote wa mkoa wa Katavi kutoa taarifa za vitendo vya Rushwa hususani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa November 27…

30 October 2024, 4:33 pm

DC Tanganyika azindua bweni la wasichana sekondari ya Sitalike

Mkuu wa wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu, picha na Lea Kamala “Kukamilika kwa bweni kutatatua changamoto iliyokuwa ikiwakabili wanafunzi wa kike na kuchangia kutomaliza masomo yao.” Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu kwa niaba ya Mkuu Wa Mkoa wa…

26 October 2024, 2:50 pm

Zawadi zatolewa katika muendelezo wa matukio wiki ya Mwana Katavi

katibu tawala wilaya ya mlele akimuwakilisha mkuu wa wilaya hiyo na kutoza zawadi kwa washindi “wamefurahishwa na michezo hiyo huku wakiwashauri wananchi kuwa na desturi ya kujaribu na kujiamini.“ Na Leah Kamala -Katavi Katibu tawala wa wilaya ya Mlele Yahya…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.