Mpanda FM
Mpanda FM
29 September 2024, 8:36 am
“Walimu pamoja na wazazi wanatakiwa kuweka ulinzi mkubwa kwa Watoto ili kujenga taifa moja litakalokuwa na kizazi chenye maadili mema.” Na John Mwasomola -Katavi Wazazi na walezi mkoani Katavi wametakiwa kuwalinda watoto na kuwafundisha maadili yanayofaa ili kuwaepusha na vishawishi…
29 September 2024, 8:18 am
Zaidi ya chanjo 300 zimetolewa kwa ajili ya kuendeleza kuchanja mbwa katika manispaa ya Mpanda. Na Ben Gadau -Katavi Katika maadhimisho ya siku ya kichaa cha mbwa duniani Septemba 28, Kampuni ya Matamba veterinary clinic imepokea chanjo zaidi ya mia…
24 September 2024, 9:16 pm
picha na mtandao “Kitaalamu unywaji wa maji unatofautiana kulingana na jinsia; wanawake, wanaume na watoto kuzingatia unywaji huo husaidia zaidi mzunguko mzuri wa damu,“ Na Rachel Ezekia -Katavi Wananchi Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuzingatia viwango sahihi vya unywaji…
24 September 2024, 8:47 pm
“Wapo wananchi ambao hawaelewi juu ya kuchangamkia fursa zinazopatikana mkoani Katavi” Na Roda Elias-Katavi Wananchi mkoani Katavi wameeleza namna wanavyonufaika na rasilimali zilizopo huku wakiiomba serikali kutatua baadhi ya changamoto . Rasilimali zilizotajwa ni kama vile viwanda vidogo, uwepo wa…
24 September 2024, 8:24 pm
picha na mtandao “Tunatakiwa kujipanga kwa ajili ya kushiriki na kuwania nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa serikali za mitaa “ Na Lilian Vicent -Katavi Baadhi ya wanachama wa Chama cha ACT wazalendo mkoani katavi wamesema kuwa wamejiandaa kushiriki uchaguzi wa…
24 September 2024, 8:03 pm
“Sababu zinazopelekea baadhi ya wananchi kujichukulia sheria mkononi ni kutokana na baadhi ya watu wanaofanya matukio ya kihalifu kutochukuliwa hatua za kisheria .” Kutokana na uwepo vitendo vya baadhi ya wananchi kujichukulia sheria mkononi na kuwajeruhi , kuwasababishia vifo kwa…
20 September 2024, 10:54 am
” Wamepokea maelekezo ya Mkuu wa Mkoa na tayari wameshaanza kutoa elimu kwa maeneo mbalimbali“ Na Leah Kamala-Katavi Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amewataka watendaji wa serikali katika mitaa, vitongoji na vijiji kutoa elimu kwa wananchi juu ya…
18 September 2024, 12:03 pm
“Vitendo vya ukatili wa kijinsia havifai na vinapaswa kukemewa kwani vinazidi kukithiri na kuleta athari kubwa haswa kwa watoto na wanawake.“ Na Lazaro Maduhu-Katavi Baadhi ya wananchi manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali iweke juhudi ya ufutiliaji wa masuala…
18 September 2024, 11:05 am
Baadhi ya takataka zilizopo kwenye nyumba mbalimbali katika mtaa huo na hazijazolewa.picha na Samwel Mbugi “wameilalamikia serikali kwa kuto kuzoa taka kwa wakati jambo linaloweza kusababisha mlipuko wa magonjwa kama vile kipindupindu.” Na Samwel Mbugi -Katavi Wananchi wa mtaa wa…
13 September 2024, 12:56 pm
Rajabu Mollel Manaya afisa muuguzi Daraja la pili idara ya upasuaji na magonjwa ya ndani ya kina mama hospitali ya rufaa mkoani Katavi .picha na Rechel Ezekia “Mitazamo yao kuhusiana na degedege kwa Watoto katika jamii huku wakihusianisha na imani…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
