Mpanda FM
Mpanda FM
7 February 2025, 2:29 pm
Picha ya Koplo Zainabu Yusuph. Picha na Samwel Mbugi “Ukatili kwa watoto wa kambo huathiri afya ya akili ya mtoto” Na Lilian Vicent Baadhi ya wananchi mkoa wa Katavi wamesema kuwa familia nyingi kuvunjika miongoni mwa wazazi ni moja ya sababu…
7 February 2025, 1:52 pm
Picha ya kamanda wa polisi mkoa wa Katavi SACP Kaster Ngonyani. Picha na Lilian Vicent “Wananchi watakiwa kuacha kujihusisha na vitendo vya uhalifu” Na Lilian Vicent Jeshi la polisi mkoa wa katavi limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 118 ambapo kati yao watuhumiwa…
7 February 2025, 1:23 pm
Picha ya mstahiki meya wa halmashauri ya Mpanda Haidary Sumry. Picha na Anna Mhina “Jamii ipatiwe elimu na kushirikishwa katika kutunga sheria ndogondogo” Na Restusta Nyondo Halmashauri ya manispaa ya Mpanda imesema kuna haja ya kutunga sheria ndogondogo za kulinda…
7 February 2025, 12:18 pm
Picha ya hakimu mkazi mfawidhi Gway Sumaye. Picha na Anna Mhina “Wananchi watumie mahakama kwa njia ya mtandao ili kuokoa pesa” Na Lilian Vicent Wananchi mkoani Katavi wameshauriwa kutumia mahakama kwa njia ya mtandao ili kuokoa muda pamoja fedha zitakazotumika…
4 February 2025, 2:35 pm
Mstahiki meya wa halmashauri ya Mpanda akizindua tractor. Picha na Rachel Ezekia “Wakulima wanapaswa kutumia zana bora za kilimo ili kupata mavuno mengi” Na Rachel Ezekia Wakulima Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kulima kilimo chenye tija kwa kufuata kanuni…
4 February 2025, 1:46 pm
Picha ya viongozi walioshiriki sherehe za kilele cha wiki ya sheria. Picha na Anna Mhina “Malipo madogo hayakizi mahitaji” Na Lilian Vicent Chama cha mawakili Tanzania (TLS) mkoani Katavi kimelalamikia malipo madogo ambayo hayakidhi mahitaji Hayo yamesemwa na mwakilishi wa…
4 February 2025, 1:20 pm
Wananchi na viongozi wakisafisha eneo ambalo chatu alimmeza mbwa. Picha na Anna Mhina “Chatu mwingine aonekana mtaa wa Msasani akimeza mbwa” Na Anna Mhina Hofu imetanda kwa wakazi wa mtaa wa Msasani uliopo kata ya Mpanda hotel manispaa ya Mpanda…
3 February 2025, 6:58 pm
Picha ya pamoja ya viongozi mbalimbali wa mkoa wa Katavi. Picha na Anna Mhina “Mahakama ni chombo muhimu kwenye utoaji haki” Na Lilian Vicent Baadhi ya wananchi mkoani Katavi wamesema kuwa kupitia wiki ya sheria wameweza kujifunza sheria na kutambua…
31 January 2025, 7:50 pm
Picha ya baraza la madiwani wa halmashauri ya Mpanda. Picha na Edda Enock “Madiwani walalamikia kampuni za uchimbaji madini” Na Edda Enock Baraza la madiwani manispaa ya Mpanda mkoani Katavi limelalamikia kampuni za uchimbaji madini ambazo zinafanya shughuli za uchimbaji…
31 January 2025, 7:36 pm
Picha ya mwenyekiti wa baraza la ardhi na nyumba Katavi Gregory Kalashani. Picha na Anna Mhina. “Wananchi mkoani Katavi wameomba elimu ya ardhi itolewe zaidi” Na Liliani Vicent Baadhi ya wananchi mkoani Katavi wametoa maoni yao kuhusiana na hatua za…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
