Mpanda FM

Recent posts

26 December 2024, 6:12 pm

Waumini wa kanisa la EAGT Kasekese walipokea neno la Krismasi

“kupitia neno la Mungu lililohubiriwa siku ya sikukuu ya Krismasi limeendelea kuwakuza kiimani na kumjua Mungu zaidi“ Na Lilian Vicent-Katavi Waumini wa kanisa la EAGT lilipo  kata ya Kasekese Halmashauri ya wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi wamesema  kupitia neno lilohubiriwa…

26 December 2024, 5:41 pm

Mahindi yafyekwa tena Katavi

“Katika makubaliano ilikuwa wataendelea kufanya shughuli zao za kilimo mpaka watakapopewa fidia lakini hawataruhusiwa kukata mti wowote ambao utakuwa ndani ya shamba“ Na Samwel Mbugi-Katavi Baadhi wa wananchi wa kata ya Kasekese kijiji cha Kagunga halmashauri ya wilaya ya Tanganyika …

24 December 2024, 1:03 pm

Katavi:BoT yatoa elimu ya utunzaji wa sarafu kwa wenye ulemavu

“wamenufaika na Elimu hiyo kwa kuzitambua alama za sarafu na usalama wake“ Na Edda Enock -Katavi Benki  kuu ya Tanzania imetoa  Elimu ya utunzaji wa sarafu na  kutambua alama za usalama kwenye sarafu  kwa watu wenye changamoto ya kusikia [viziwi]…

22 December 2024, 10:01 pm

Katavi:Akutwa amejinyonga chumbani kwake

“Wa kwanza kubaini tukio hilo ni mke wa marehemu ambapo alikuta mlango ukiwa wazi na marehemu ananing’inia juu “ Na Samwel Mbugi -Katavi Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Boniphas Juma Katagwa mwenye umri wa miaka 34 amekutwa amejinyoga ndani…

20 December 2024, 7:30 pm

Wananchi Katavi wasisitizwa kuchagua viongozi bora

“Wapime viongozi kwa vitendo, msiwapime viongozi kwa maneno“ Na Edda Enock -Katavi Wananchi wilayani Nsimbo Mkoani Katavi wametakiwa kuchagua viongozi bora ambao watafanya kazi kwa vitendo na sio kwa maneno ili kutimiza majukumu yao kama viongozi kwa kuzingatia ilani ya…

20 December 2024, 7:16 pm

Wajasiriamali Mpanda Hotel waomba eneo mbadala la biashara

“wameiomba serikali ya manispaa ya Mpanda kuwatafutia eneo mbadala la kufanyia biashara zao“ Na Betord Chove -Katavi Baadhi ya wajasiriamali wanaofanya biashara  kando kando ya barabara ya  Mpanda hotel Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali kuwatafutia eneo mbadala mara…

17 December 2024, 3:26 pm

TRA Katavi yawataka wafanyabiashara kuendelea kulipa kodi kwa hiari

“Makusanyo ya mwezi Julai hadi Novemba mwaka 2024,TRA imekusanya Sh. Bill 6.9“ Na John Mwasomola -Katavi Mamlaka ya mapato Tanzania TRA mkoani Katavi imewataka wafanyabiashara ndani ya mkoa kuendelea kulipa kodi kwa hiari ili kuleta maendeleo na kukuza uchumi wa…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.