Mpanda FM

Recent posts

23 April 2025, 2:29 pm

Jamii ipewe elimu ya njia sahihi ya kusafisha sikio

Picha ya Gabriel Elias ni daktari kutoka kituo cha afya cha Town Clinic. Picha na Anna Mhina “Tupewe elimu ya njia sahihi ya kusafisha sikio” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa halmashauri ya manispaa ya wilaya ya Mpanda mkoani…

22 April 2025, 6:56 pm

Katavi wamuenzi Papa Francis kwa kulinda amani

Picha ya Makamu Askofu wa kanisa la Roman Cathoric Katavi. Picha na Anna Mhina “Tumepokea kifo cha baba mtakatifu kwa mshtuko na ameacha pengo” Na Anna Mhina Waumini wa kanisa la Roman Cathoric mkoani Katavi wametakiwa kushikamana katika kipindi hiki…

19 April 2025, 7:16 pm

Wakristo acheni kuhangaikia mambo ya kimwili

Picha ya mchungaji Paul Mahenenga. Picha na Anna Mhina “Acheni kuhangaikia mavazi na vyakula” Na Anna Mhina Waumini wa imani ya makanisa ya kipentekoste mkoani Katavi wametakiwa kuacha kuhangaikia mambo ya kimwili katika kuadhimisha siku ya Ijumaa kuu ambayo ni…

16 April 2025, 6:56 pm

Bawacha Katavi wanolewa no reform no election

Picha na Betord Chove “Tunawapa mafunzo ili waweze kusimamia misimamo inayotekeleza kazi za chama” Na Betord Chove Baraza la wanawake la chama cha demokrasia na maendeleo chadema (BAWACHA) Wameanza mafunzo ya uongozi kwa wanachama wanawake mkoani Katavi Akizungumza kabla ya…

16 April 2025, 1:44 pm

DC Mpanda atoa angalizo kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha

Picha ya mkuu wa wilaya ya Mpanda. Picha na Anna Mhina “Wananchi mchukue tahadhari kipindi hiki cha mvua” Na Anna Mhina Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha baadhi ya mawasiliano ya barabara kukatika Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari katika kuwalinda…

16 April 2025, 1:29 pm

Wazazi, walezi wahimizwa kuzingatia chanjo ya polio

Picha ya mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph. Picha na Anna Mhina ” Wazazi na walezi hakikisheni mnazingatia tarehe ya chanjo ya polio” Na Edda Enock Wazazi na walezi manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuzingatia kikamilifu chanjo kwa…

10 April 2025, 3:16 pm

Wafugaji, wakulima watakiwa kutunza mazingira

“Maeneo mengi ya vyanzo vya maji katika bonde hilo bado yanakabiliwa na kitisho cha uharibu wa mazingira “ Na Restuta Nyondo -Katavi Matumizi ya mawasiliano jumuishi kwa jamii imetajwa kuwa mbinu muhimu zaidi ya kutumia usimamizi wa sheria pekee katika…

8 April 2025, 12:20 pm

‘Wanaofanya ukatili mtandaoni wachukuliwe hatua’

Picha ya Koplo Steven afisa wa dawati la jinsia na watoto Katavi. Picha na Samwel Mbugi “Ukuaji wa utandawazi umesababisha baadhi ya wananchi kufanya ukatili pasipo kujua” Na Samwel Mbugi Baadhi ya Wananchi mkoani katavi wameiomba serikali kuchukua hatua kali…

5 April 2025, 9:38 pm

Laki moja yazua utata msibani Katavi

“Wameshtushwa na kadhia hiyo ya uongozi wa dini hiyo kutaka kulipia pesa ili waweze kumstiri ndugu yao” Na Ben Gadau -Katavi Hali ya sintofahamu imeibuka katika kijiji cha Mtakuja baada ya baadhi ya wananchi kudaiwa kulipa kiasi cha shilingi laki…

5 April 2025, 9:11 pm

Udumavu Katavi kero kwa viongozi wa serikali

“Mkoa wa Katavi una changamoto ya udumavu kwa asilimia 32%.” Na Samwel Mbugi- Katavi Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hozza Mrindoko amewasisitiza wananchi kuzingatia lishe bora kwa kuzingatia makundi sita (6) ya chakula ili kuondokana na udumavu. Ameyasema hayo…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.