Mpanda FM

Recent posts

26 May 2025, 12:42 pm

 Chatu azuia ufyatuaji tofali kasimba

“Msikitini hapa pana shule ya watoto wadogo ni vema kuchukua tahadhari na kila mtu kuwa mlinzi wa mwenzie” Na Bertod Chove Baadhi ya wananchi wanaofanya shughuli za kilimo na ufyatuaji tofali katika moja ya bonde linalopatikana eneo la Kasimba Manispaa…

19 May 2025, 5:30 pm

Watumiaji earphone hatarini

‘Amewaasa wananchi kuachana na matumizi ya earphone ili kuepukana na changamoto za  uchovu wa masikio,maumivu ya kichwa.‘ NA Rhoda Elias -Katavi Baadhi ya wananchi  manispaa ya Mpanda mkaoni Katavi wameiomba serikali kutoa elimu zaidi juu ya madhara yanayoweza kutokana na…

19 May 2025, 5:01 pm

KTPC yatoa tuzo kwa wanahabari

‘lengo kuu la maadhimisho hayo ni kutambua mchango wa vyombo vya habari katika jamii ‘ Na Ben Gadau -Katavi Kila mwaka, Mei 3 huadhimishwa kama Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, Waandishi wa habari mkoani Katavi wameadhimisha siku…

19 May 2025, 4:22 pm

Wafanyabiashara wakerwa na taka zitokanazo na karanga

‘uchafu huo unaotokana na viwanda hivyo zinawasababisha wao kupata mafua ya mara kwa mara na kuharibu biashara zao‘ Na Samwel Mbugi-Katavi Baadhi ya wafanyabiashara wa soko la jioni linalofanyika eneo la kata ya Mpanda hotel manispaa ya Mpanda mkoa wa…

19 May 2025, 4:05 pm

Wabunge watembelea bandari ya Karema

‘serikali imejipanga kuifanya bandari ya Karema kuwa kitovu cha biashara‘ Na betord Chove -Katavi Wabunge kutoka mikoa ya Katavi, Rukwa na Kigoma, ambayo inapakana na Ziwa Tanganyika, Wametembelea bandari ya Karema, kwa lengo la kujionea maendeleo ya ujenzi wa bandari…

19 May 2025, 3:45 pm

Msimamo wa makatibu CHADEMA baada ya viongozi wa chama kujiudhuru

‘Watahakikisha utawala bora na uwajibikaji ndani ya chama unakuwepo.‘ Na Edda Enock -Katavi Makatibu wa chama cha demokrasia na maendeleo  CHADEMA mkoani Katavi wameweka wazi msimamo wao juu ya baadhi ya viongozi kujiudhuru ambapo wamesema kuwa watahakikisha utawala bora na…

19 May 2025, 3:30 pm

Uharibifu wa makazi ya watu wamuibua DC Jamila

‘Miche hiyo itasaidia kupunguza ukame na madhara mengine yanayotokana na uharibifu wa mazingira ‘ Na Ban Gadau -Katavi Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph Kimaro amegawa miche ya miti zaidi ya laki moja kwa wakazi wa Kijiji cha mbugani…

19 May 2025, 3:12 pm

Matukio ya wizi yakomeshwa,ulinzi shirikishi watajwa

Ulinzi shirikishi katika mtaa wa Mpadeco kata ya Makanyagio manispaa ya Mpanda mkoani Katavi umetajwa kuwa moja ya njia inayosaidia kutokomeza matukio ya kihalifu Wakizungumza na Mpanda Redio FM baadhi ya wananchi wa mtaa wa Mpadeco wamesema kuwa ulinzi shirikishi…

19 May 2025, 2:50 pm

Waumini wa dini ya Kiislam waonywa kuachana na uovu

‘Waishi kwa kufuata maelekezo na misingi ya imani mwenyezi Mungu.‘ Na Samwel Mbugi -Katavi Sheikh mkuu wa mkoa wa Katavi Nassor Kakulukulu amewataka  waumini wa dini ya Kiislam mkoani Hapa kuachana na uovu na badala yake waishi kwa kufuata maelekezo…

19 May 2025, 2:35 pm

140 waihama CHADEMA Katavi

“wataweka wazi mustakabali wao kisiasa na jukwaa gani la kisiasa ambalo wataelekea .“ Na Ben Gadau -Katavi Wanachama 140  wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) Mkoani Katavi wametangaza kukihama chama hicho. Wakizungumza wanachama hao, wamesema kuwa wamefikia uamuzi…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.