Mpanda FM

Recent posts

21 January 2026, 7:24 pm

Wafugaji Mpanda washauriwa kukamilisha josho la mifugo

“Ndugu zangu najua ninyi ni wafugaji na mnaingia gharama kubwa za madawa” Na Benny Gadau Diwani wa kata ya Ibindi halmashauri ya wilaya ya Nsimbo Mdakuni Matongo amewasihi wafugaji kushirikiana kukamilisha ujenzi wa josho la mifugo. Amezungumza hayo katika kikao…

20 January 2026, 6:39 pm

Epukeni vitambi kwa kuzingatia ulaji

Neema Kambi  afisa lishe manispaa ya Mpanda. Picha na Samwel Mbugi “Sababu ya kwanza ni ulaji wa chips” Na Samwel Mbugi Ulaji usiofaa watajwa kuwa chanzo cha ongezeko la vitambi kwa baadhi ya  wanaume na wanawake mkoani Katavi.  Akizungumza na…

19 January 2026, 6:43 pm

Wananchi Mpanda walia na miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji

“Mfano kwenye kijiji hiki cha Kasokola kisima kipo kimoja tena cha mtu binafsi” Na Restuta Nyondo Wananchi wa kijiji cha Kasokola halmashauri ya manispaa ya Mpanda wameiomba serikali kuchukua hatua za uwezeshaji miundombinu ya maji ili kuboresha kilimo cha umwagiliaji.…

17 January 2026, 12:25 pm

Mamlaka ya maji yateta na baraza la madiwani Mpanda

Baadhi ya madiwani wakitembelea mradi wa miji 28. Picha na Betord Chove “Mpango tulioupokea ni mzuri shida ya maji katika mji wetu tunakwenda kuipunguza” Na Betord Chove Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Mpanda imetoa taarifa ya utendaji…

15 January 2026, 3:36 pm

Zijue dalili za kifafa cha mimba

“Tunaomba daktari atuelimishe kuhusu huu ugonjwa” Na Samwel Mbugi Kutokana na uwepo wa ugonjwa wa kifafa cha mimba katika jamii wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi wameiomba serikali kutoa elimu itakayosaidia kufahamu na kuelewa dalili na sababu zinazosababisha.…

15 January 2026, 2:55 pm

Serikali ya mtaa Mpanda hotel yaridhishwa na ujenzi wa choo

Uongozi wa shule ya msingi Mpanda pamoja na mwenyekiti wa mtaa. Picha na Roda Elias “Tumeridhisha na ujenzi wa choo” Na Roda Elias Serikali ya mtaa wa Mpanda hotel  manispaa ya Mpanda mkoani Katavi imeridhishwa na ujenzi wa mradi wa …

14 January 2026, 5:47 am

Serikali ya mtaa wa Mpanda hotel yajipanga kutengeneza madawati

Madawati mabovu yaliyopo katika shule ya msingi Mpanda. Picha na Rhoda Elias “Tayari tumeshawaelekeza mafundi wamekuja na kufanya tathimini yao” Na Rhoda Elias Serikali ya mtaa wa Mpanda hotel imefanya ziara  katika shule ya msingi Mpanda  iliyopo manispaa ya Mpanda…

13 January 2026, 6:36 pm

Upi umuhimu wa kuadhimisha Mapinduzi ya Zanzibar?

Hayati Abeid Amani Karume. Picha na mtandao “Hatuna uelewa wowote kuhusu Sikukuu ya Mapinduzi” Na Anna Mhina Wakati  Zanzibar wakiadhimisha sikukuu ya Mapinduzi hapo jana January 12 baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali kurithisha historia…

13 January 2026, 3:17 pm

Wananchi Mpanda walia na MACPANDO

Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph akitoa maelekezo kwa kamati. Picha na Samwel Mbugi “Mnisikilize vizuri huyuhuyu MACPANDO lazima afike mwisho” Na Samwel Mbugi Wananchi wa mtaa wa Tulieni kata ya Nsemlwa wamelalamikia migogoro ya viwanja inayotokana na kampuni…

12 January 2026, 12:27 pm

Wakulima Mpanda wanufaika na miche ya korosho

“Rai yangu kwenu hii miche mkaipande na muitunze” Na Samwel Mbugi Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph amewahimiza wakulima wa zao la korosho kuhakikisha wanapanda na kuitunza ipasavyo miche waliyoipokea ili iweze kusitawi vizuri na kuleta tija katika maendeleo…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.