Mpanda FM
Mpanda FM
22 November 2025, 11:18 am
“Nataka hizo wiki mbili nione kazi ya maana imefanyika” Na Benny Gadau Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amefanya ziara ya kukagua ujenzi wa daraja la Mirumba lenye thamani ya zaidi ya billion 6 katika halmashauri ya Mpimbwe mkoani…
22 November 2025, 10:31 am
Waziri Mbarawa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa bandari hiyo. Picha na Samwel Mbugi “Sasa tunajenga meli nne kwa mpigo” Na Samwel Mbugi Waziri wa uchukuzi Makame Mbarawa amelizishwa na utengenezaji wa meli nne zinazotengenezwa bandari ya Karema mkoani…
20 November 2025, 12:06 pm
“wanasema kwamba mashamba yamechoka wanaenda kulima mbali” Na Restuta Nyondo Wakati mkutano wa COP30 ukiendelea wakulima wameeleza matumizi ya mbolea vunde (asili) inavyowasaidia kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi katika uzalishaji wa mazao Katika kipindi hiki utawasikia wakulima na…
20 November 2025, 11:58 am
“Ofisi ya makamu wa raisi na waziri mkuu ziunganishe mfuko wa maafa” Na Restuta Nyondo Tanzania imepata nafasi ya kipekee ya kunufaika na ruzuku ya dola za Marekani milioni 20 (takriban Sh. bilioni 48), kutoka Mfuko wa kukabiliana na Hasara…
19 November 2025, 12:01 pm
Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph akikabidhi mbegu kwa mkulima. Picha na Restuta Nyondo “Sisi kama wilaya tumejipanga kuwawezesha vijana waweze kujiajiri katika kilimo” Na Restuta Nyondo Vijana wilayani Mpanda wametakiwa kutumia fursa ya maonesho ya ufunguzi wa msimu…
19 November 2025, 10:55 am
Mratibu wa mama na mtoto mkoa wa Katavi Elida Machungwa. Picha na Anna Mhina “Njia za uzazi wa mpango ni muhimu kwa jinsia zote kuzifuata” Na John Benjamin Baadhi ya vijana kutoka halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa…
18 November 2025, 6:59 pm
Afisa ustawi manispaa ya mpanda Anyulumye Longo. Picha na Leah Kamala “Vikao vinasaidia kusuluhisha migogoro” Na Leah Kamala Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameitaka jamii kujenga mazoea ya kukaa na kuzungumza katika vikao vya familia. Wakizungumza…
18 November 2025, 6:16 pm
Viongozi wa bodaboda Katavi wakiwa kwenye picha ya pamoja na bodaboda. Picha na Samwel Mbugi “Lengo ni kuwapongeza bodaboda wa Katavi kwa kuendelea kuitunza amani” Na Samwel Mbugi Mwenyekiti wa umoja wa maafisa usafirishaji (Bodaboda) mkoa wa Katavi Isack Daniel…
17 November 2025, 12:59 pm
“Lengo ni kutoa fursa kwa ajili kuongeza uzalishaji wa mafuta ya alizeti” Na Restuta Nyondo Kuanzishwa kwa jukwaa la wadau wa zao la alizeti mkoani Katavi kunatajwa kama mwanzo wa utatuzi wa uhakika kwa baadhi ya changamoto zinazokabili kilimo cha…
17 November 2025, 12:31 pm
“Matukio haya yote yanalenga kumsukuma mwanamke kuleta mafanikio” Na Anna Millanzi Uongozi wa Katavi Worth Women umezindua msimu mpya wa kutoa hamasa kwa wanawake na kuwakutanisha pamoja ili kuendelea kupeana maarifa ya kujikwamua kiuchumi. Akizungumza na Waandishi wa habari na…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
