Mpanda FM
Mpanda FM
21 February 2026, 7:19 pm
Wanatumia vitambaa na wengine kutumia mikono pasipo kujua njia sahihi za kitaalamu kwa ajili ya kusafisha vinywa vya watoto. Na Rhoda Elias-Katavi Baadhi ya wananchi manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameeleza kuwa hawana uelewa wa kutosha juu ya namna sahihi…
20 February 2026, 6:16 pm
“walikuwa wakikumbana na changamoto katika shughuli za kilimo, ikiwemo ukosefu wa maji ya uhakika kwa ajili ya umwagiliaji” Na Ben Gadau – Katavi Baadhi ya wananchi wa Kata ya Mwamkulu wameishukuru Serikali kwa kuwapelekea mradi wa skimu ya umwagiliaji, wakisema…
20 February 2026, 5:44 pm
“ameomba kuharakishwa kukamilika kwa ujenzi wa madarasa hayo ili kurahisisha upatikanaji wa elimu kwa wanafunzi wa eneo hilo.“ Na Ben Gadau- Katavi Diwani wa Kata ya Ibindi Mdakuni Matongo ametembelea na kukagua ujenzi wa madarasa katika shule ya msingi muungano…
20 February 2026, 4:42 pm
“soko hilo linakabiliwa na changamoto ya uchakavu wa miundo mbinu hali ambayo inatishia usalama wa bidhaa za wafanyabiashara hususani nyakati za usiku.“ Na John Benjamin -Katavi Wafanyabiashara wa soko kubwa halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamewaombea msamaha wa…
19 February 2026, 4:06 pm
“Nilifuatwa na mtoto kwa ajili ya kwenda kumsaidia baba yake ambaye alikuwa anavuja damu na baada ya kufika nilimkuta kaka amevunjwa Mguu.” Na Samwel Mbugi- Katavi Mwanaume mmoja mwenye umri kati 40 – 45 ambaye jina lake limehifadhiwa amepigwa na…
19 February 2026, 2:22 pm
“Amepata majeraha baada ya kuchomwa kisu cha moto na mama yake mzazi kwa madai ya kuwa na tabia ya kuomba pesa kwa majirani“ Na Rhoda Elias-Katavi Mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 4 ambaye ni mkazi wa mtaa wa Mpanda…
18 February 2026, 11:34 am
“kupitia mafunzo hayo wanaamini kuendelea kuwapata wadau zaidi ambao watakuwa mabalozi juu ya uhifadhi wa mazingira katika utunzaji wa hewa ya carbon kwenye maeneo yao.“ Na Ben Gadau -Katavi Shirika la IUCN International Union For Conservation Of Nature limetoa mafunzo…
18 February 2026, 9:00 am
“Wamepongeza hatua hiyo ya kuboresha miundombinu ya ofisi na kuwataka wadau wengine kujitokeza ili kuendelea kuboresha miundombinu ya ofisi” Na Betord Chove-Katavi Wananchama wa jumuiya mbalimbali ndani ya chama cha mapinduzi CCM wilaya ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kujitoa ili…
16 February 2026, 8:30 pm
“Mradi ni fursa muhimu katika juhudi za kupunguza vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga“ Na Ben Gadau -Katavi Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Hoza Mrindoko, amezindua mradi wa THAMINI UHAI unaolenga kupunguza vifo vya kinamama wajawazito…
12 February 2026, 5:55 pm
Dkt. Juma Zuberi Homera waziri wa katiba na sheria. Picha na Restuta Nyondo ” Utekelezaji wa huduma hii uanze mikoa yote ya Tanzania bara” Na Restuta Nyondo Waziri wa katiba na sheria Dkt .Juma Zuberi Homera ameagiza wakala wa usajili,…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
