Mpanda FM

Recent posts

21 July 2025, 3:21 pm

Mafua tishio Katavi

Dr. Masalagwe Gambishi.Picha na Anna Mhina “Kwenye hali ya hewa ya baridi kuna kirusi kinachosababisha mafua” Na Anna Mhina Wananchi mkoani Katavi wameshauriwa kunywa maji mengi, kuvaa nguo nzito na kuvaa barakoa katika kipindi hiki cha baridi ili kuepuka kuugua…

19 July 2025, 5:36 pm

Viongozi wa kidini, kimila na wazee maarufu Katavi wanolewa

Stewart Kiyombo Kaimu mkurungezi TAKUKURU Katavi. Picha na Blessing Kikoti “Wananchi waunge mkono vita dhidi ya rushwa ya kisiasa” Na Blessing Kikoti Uwepo wa rushwa katika jamii mkoani Katavi umetajwa kusababisha wananchi kuchagua viongozi wasiostahili na wasiokuwa na weledi katika…

18 July 2025, 11:50 am

Madereva, makondakta Katavi wapewa onyo

Baadhi ya madereva na makondakta wa stendi ya zamani. Picha na Leah Kamala “Ni marufuku kufungua mlango gari likiwa linatembea” Na Leah Kamala Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa malalamiko yao kuhusiana na tabia ya makondakta…

18 July 2025, 11:25 am

Madada poa 17 watiwa mbaroni Katavi

Kamishina msaidizi mwandamizi wa polisi SACP Kaster Ngonyani. Picha na Samwel Mbugi ” Tumekamata vijana 3 na madada poa 17 na tumewapeleka mahakamani” Na Samwel Mbugi Jeshi la polisi mkoani Katavi limefanikiwa kukamata madada poa 17 na vijana 3 waliokuwa…

17 July 2025, 2:12 pm

Wananchi Katavi walalamika kutopata mkopo

Baadhi ya wananchi walioahidiwa mkopo. Picha na Samwel Mbugi “Tangu tulipokabidhiwa hundi mpaka sasa hela hazijaingizwa bank” Na Samwel Mbugi Baadhi ya wananchi ambao ni wanufaika wa mkopo wa asilimia kumi wametoa malalamiko yao kwa serikali kutopata mkopo huo ambao…

16 July 2025, 4:04 pm

Longo: Wazazi, walezi wapatieni watoto haki ya elimu

Afisa Ustawi wa Jamii Manispaa ya Mpanda Anyulumye Longo. Picha na Leah Kamala “Usipompa mtoto haki yake ya elimu ni rahisi kujiingiza kwenye makundi hatarishi” Na Leah Kamala Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa  kuwafundisha maadili…

14 July 2025, 2:29 pm

Mbukwa: Wanaume acheni kutelekeza familia kisa migogoro

Mkuu wa Dawati la Jinsia Katavi Judith Mbukwa. Picha na Anna Mhina “Mazingira yenyewe ya ndani yanasababisha kukimbia familia” Na Leah Kamala Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamesema kuwa hali ngumu ya kimaisha na changamoto ya…

14 July 2025, 2:16 pm

“Wazazi, walezi zingatieni makuzi ya watoto”

Afisa Maendeleo ya Jamii manispaa ya Mpanda Irene Samson. Picha na Samwel Mbugi “Tunashindwa kujikwamua kiuchumi kwa sababu tunapenda starehe” Na Anna Mhina Wazazi na walezi mkoani Katavi wametakiwa kusimamia malezi na makuzi ya watoto wao ili kuwaepusha kujiunga na…

10 July 2025, 12:53 pm

Fursa zasababisha wanaume Katavi kuamka

Mwalimu Chahe (kushoto) akifundisha utengenezaji wa batiki kwa vitendo. Picha na Anna Mhina “Mafunzo haya walikuwa wanahudhuria kina mama lakini awamu hii wanaume ndio wengi” Na Anna Mhina Idadi ya washiriki wa mafunzo ya ujasiriamali na uchumi imeongezeka hadi kufikia…

8 July 2025, 7:56 pm

Mchele wageuka kuwa sabuni Katavi

Mwalimu Benjamin Chahe kutoka chuo Mkwawa V.T.C Iringa. Picha na Anna Mhina “Leo nimefurahi mchele kumbe ni sabuni!” Na Anna Mhina Wajasiriamali ambao wanapatiwa mafunzo ya ufugaji bora wa kuku, utengenezaji wa sabuni na batiki wameonesha kufurahia mafunzo ya utengenezaji…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.