Mpanda FM

Recent posts

26 November 2025, 10:51 am

Wafanyabiashara walia na miundombinu ya soko la Mpanda hotel

“Mvua zinazoendelea kunyesha zinaleta madhara makububwa “ Na Samwel Mbugi Wafanyabiashara wa soko la Mpanda hotel wameiomba serikali kushughulikia changamoto ya mifereji ya kupitishia maji hususani kipindi hiki cha mvua zilizoanza kunyesha ili isije kuleta madhara ya magojwa ya mlipuko.…

26 November 2025, 10:30 am

RC Katavi “Toeni huduma bora na ufanisi kwa wananchi”

“Hakikisheni mnakuwa wabunifu katika kutoa huduma” Na Restuta Nyondo Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko ameziagiza taasisi zote za umma kutoa huduma bora na ufanisi kwa wananchi na kuhakikisha wanakua wabunifu katika utoaji wa huduma bila visingizio. Ameyasema…

25 November 2025, 7:01 pm

DC Jamila awaasa wananchi kudumisha amani

“Sisi tunathamini mchango mnapokuwa na jambo lolote mtufikie” Na John Benjamin Wananchi wa wilaya ya Mpanda mkoani Katavi wameaswa kudumisha amani na mshikamano utakaokuwa nyenzo muhimu wa kufanya shughuli za maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa masirahi taifa kwa ujumla.…

22 November 2025, 11:18 am

RC Mrindoko atoa wiki mbili kwa mkandarasi wa daraja la Mirumba

“Nataka hizo wiki mbili nione kazi ya maana imefanyika” Na Benny Gadau Mkuu wa mkoa wa Katavi  Mwanamvua Mrindoko amefanya ziara ya kukagua ujenzi wa daraja la Mirumba lenye thamani ya zaidi ya billion 6 katika halmashauri ya Mpimbwe mkoani…

22 November 2025, 10:31 am

Mbarawa akagua ujenzi wa meli nne bandari ya Karema

Waziri Mbarawa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa bandari hiyo. Picha na Samwel Mbugi “Sasa tunajenga meli nne kwa mpigo” Na Samwel Mbugi Waziri wa uchukuzi Makame Mbarawa amelizishwa na utengenezaji wa meli nne zinazotengenezwa bandari ya Karema mkoani…

20 November 2025, 11:58 am

Tanzania kunufaika na dola milioni 20 COP30

“Ofisi ya makamu wa raisi na waziri mkuu ziunganishe mfuko wa maafa” Na Restuta Nyondo Tanzania imepata nafasi ya kipekee ya kunufaika na ruzuku ya dola za Marekani milioni 20 (takriban Sh. bilioni 48), kutoka Mfuko wa kukabiliana na Hasara…

19 November 2025, 12:01 pm

DC Jamila: Vijana tumieni fursa kujiajiri

Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph akikabidhi mbegu kwa mkulima. Picha na Restuta Nyondo “Sisi kama wilaya tumejipanga kuwawezesha vijana waweze kujiajiri katika kilimo” Na Restuta Nyondo Vijana wilayani Mpanda wametakiwa kutumia fursa ya maonesho ya ufunguzi wa msimu…

19 November 2025, 10:55 am

Wanaume jihusisheni na njia za kisasa za uzazi wa mpango

Mratibu wa mama na mtoto mkoa wa Katavi Elida Machungwa. Picha na Anna Mhina “Njia za uzazi wa mpango ni muhimu kwa jinsia zote kuzifuata” Na John Benjamin Baadhi ya vijana kutoka halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa…

18 November 2025, 6:59 pm

Anyulumye: Vikao vya familia husaidia kutatua migogoro

Afisa ustawi manispaa ya mpanda Anyulumye Longo. Picha na Leah Kamala “Vikao vinasaidia kusuluhisha migogoro” Na Leah Kamala Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameitaka jamii kujenga mazoea ya kukaa na kuzungumza katika vikao  vya  familia. Wakizungumza…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.