Mpanda FM
Mpanda FM
20 November 2025, 12:06 pm

“wanasema kwamba mashamba yamechoka wanaenda kulima mbali”
Na Restuta Nyondo
Wakati mkutano wa COP30 ukiendelea wakulima wameeleza matumizi ya mbolea vunde (asili) inavyowasaidia kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi katika uzalishaji wa mazao
Katika kipindi hiki utawasikia wakulima na mtaalamu wa Kilimo.