Mpanda FM

Kuna umuhimu gani kwa mwanamke kushiriki mikutano ya kampeni?

5 October 2025, 6:40 pm

Baadhi ya wachangiaji wa mada.Picha na Anna Mhina

“Tunashindwa kuhudhuria kwasababu hawatekelezi ahadi zao”

Na Anna Mhina na Roda Elias

Baadhi ya wanawake wa mtaa wa Mpadeko uliopo kata ya Makanyio wilayani Mpanda mkoani Katavi wameiomba mamlaka husika kutoa elimu kwa wanaume juu ya umuhimu wa kushiriki mikutano ya kampeni.