Mpanda FM

Wadhibiti ubora wa shule Tanganyika waweka wazi majukumu yao

4 March 2025, 7:04 pm

Ofisi ya uthibiti ubora wilaya ya Tanganyika

Wadhibiti ubora wa shule wa ndani na wa nje wanahakikisha shughuli za shule zinafanyika kwa ukamilifu

Kupitia kipindi hiki utasikia namna wathibiti ubora wilayani Tanganyika wanavyofanya kazi na kuhakikisha elimu bora inaendelea kutolewa kwa kuzingatia uwepo wa miundombinu rafiki ambayo inamsaidia mwanafunzi kupata elimu iliyo bora sambamba na na upatikanaji wa vitendea kazi vya shule.

Sauti ya kipindi cha udhibiti ubora wilaya ya Tanganyika