

11 October 2024, 15:50 pm
Mnada wa leo wameshindana makampuni 37 na korosho zote zilizouzwa zimenunuliwa na makampuni 10 hivyo makampuni 27 yamekosa korosho maana yake ni kwamba kunauhitaji wa korosho duniani na beii hii ni kutokana dunia ina uhitaji mkubwa wa korosho karanga na…
10 October 2024, 23:10 pm
Dhamira ni kuwataka wazee kukaa na vijana na kuzungumzia suala la amani na usalama wa mkoa katika kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa ,uchaguzi ambao umekuwa ukishuhudia heka heka za hapa na pale za vyama vya siasa. Na Musa Mtepa…
10 October 2024, 15:55 pm
Maeneo ya utawala kwa nchi nzima yalitangazwa na Waziri husika kutoka ofisi yar ais TAMISEMI September 16,2024 na baada ya kutangaza maeneo hayo wasimamizi wa uchaguzi kwa ngazi za halmashauri zote nchini zikiwemo na halmashauri (9) za mkoa wa Mtwara…
8 October 2024, 14:34 pm
Kwa mujibu wa kanuni na taratibu za uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024 viongozi wa mitaa,vijiji na wajumbe wanatakiwa kujiuzuru ifikapo October 25,2024 . Na Musa Mtepa Mwenyekiti wa Mtaa wa Magengeni, Manispaa ya Mtwara Mikindani, Amina Ahmadi…
8 October 2024, 13:05 pm
Mradi huo unaojumuisha Vyumba 9 vya Madarasa, Jengo la Utawala pamoja Matundu 6 ya Vyoo, umetekelezwa kwa fedha zilizotoka Serikali kuu. Na Musa Mtepa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Stergomena Tax, amefanya ukaguzi na kufungua mradi…
8 October 2024, 11:57 am
Ni zaidi ya maafisa 400 wa uandikishaji wa daftari la wapiga kura wameapa na kupata seimina ya jinsi ya kuanya uandikishaji katika uchaguzi wa serikali za mitaa katika halmashauri ya Mtwara vijijini Na Musa Mtepa Mratibu wa Usimamizi wa Uchaguzi…
5 October 2024, 08:34 am
Waziri wa ulinzi ataanza ziara Oktoba 6, 2024 katika halmashauri ya wilaya ya Mtwara ambapo ataanza na ukaguzi wa vyumbo vya madarasa vilivyopo katika shule ya sekondari Mustafa Sabodo na kumalizia uwekaji wa jiwe la msingi nyumba ya Watumishi wa…
3 October 2024, 12:48 pm
Kiwanda hiki kinakadiriwa kuwa na thamani ya shilingi bilioni 3.4 huku kikitarajiwa kubangua tani 3,500 za korosho kwa mwaka. Na Musa Mtepa Wakulima wa korosho katika wilaya za Tandahimba na Newala mkoani Mtwara wameonesha furaha yao kuhusu ujenzi wa kiwanda…
2 October 2024, 23:45 pm
Takribani Bilioni 3.4 inaelezwa kuwa zimetumika kujenga kiwanda hicho huku ikikadiriwa kuwa na uwezo wa kubangua korosho tani 3,500 kwa mwaka Waziri wa Kilimo, Mh. Hussein Bashe, amezindua rasmi kiwanda cha kubangua korosho cha Chama Kikuu cha Ushirika cha Tandahimba,…
2 October 2024, 20:59 pm
Maabara hayo yatasaidia katika kufanya tafiti mbalimbali katika kituo cha TARI Naliendele ikiwa katika magonjwa na mbegu bora inayoweza kuhimili katika mazingira yote. Na Mwanahamisi Chikambu Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe, amezindua rasmi ujenzi wa maabara ya Taasisi ya…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.