Jamii FM

Recent posts

17 April 2025, 15:17 pm

Ulemavu na Sanaa: Kipaji ndani ya sauti

Karibu kwenye makala maalum kupitia Jamii FM, Leo tunakuletea simulizi ya kusisimua, ya kuhamasisha, na yenye kugusa hisia, simulizi ya kijana mmoja jasiri, mwenye moyo wa chuma na sauti ya dhahabu juu ya Ulemavu na sanaa Na Msafiri Kipila John…

16 April 2025, 14:06 pm

Elimu na teknolojia saidizi kwa wenye ulemavu

Makala hii inalenga kuhamasisha jamii kuhusu haki ya watu wenye ulemavu kupata elimu na kutumia teknolojia saidizi kwa maendeleo yao binafsi na ya jamii kwa ujumla. Kupitia mfano wa Mwalimu Shazili Ali Namangupa wa Shule ya Msingi Nanguruwe, inaonyesha jinsi…

9 April 2025, 15:14 pm

Wakulima wa korosho wahamasishwa kilimo mseto

Huu ni msisitizo kwa wakulima kuhakikisha wanalima kilimo mchanganyiko kwenye zao la Korosho ili kusaidia kupunguza ghalama za upaliliaji pamoja na kuongeza virutubisho vinavyotokana na mazao yanayochanganywa kwenye mikorosho hiyo. Na Musa Mtepa Wakulima wa zao la korosho nchini wamehamasishwa…

7 April 2025, 00:00 am

Vyama vya ushirika vyakemea kauli za upotoshaji za wanasiasa

Tamko hili limekuja baada ya kuwepo kwa taarifa za baadhi ya wanasiasa kutumia majukwaa yao kuupotosha umma juu ya mifumo ya stakadhi ghalani unavyo wakandamiza wakulima wanapouza mazao yao Na Musa Mtepa Wenyeviti wa vyama vikuu vya ushirika vinavyosimamia mazao…

5 April 2025, 18:24 pm

Wakuu wa Wilaya watakiwa kuhakiki ubora miradi ya Mwenge

Na Musa Mtepa Wakuu wa wilaya na wataalamu ngazi zote wametakiwa kukagua nyaraka mbalimbali zinazotakiwa kuwepo kwenye miradi itakayopitiwa wakati wa mbio za mwenge mkoani mtwara kutekelezwa kwa ubora ili kuepuka ubadhirifu unaoweza kujitokeza. “Navielekeza vyombo vinavyotakiwa kuchukua hatua watakapo…

1 April 2025, 12:43 pm

ADEA yatangaza maonesho ya bidhaa za sanaa na ubunifu mkoani Mtwara

Maonesho hayo yatafanyika katika viwanja vya shule ya msingi Chikongola Manispaa ya Mtwara Mikindani ambapo bidhaa zitahusisha zilizotengenezwa katika mafunzo yaliyoratibiwa na ADEA kwa kufadhiliwa na Alwaleed na Unesco. Na Musa Mtepa Hiki ni kipindi kilichofanyika katika Studio za Jamii…

1 April 2025, 11:58 am

Utekelezaji wa ahadi za kampeni uchaguzi wa serikali za mitaa 2024

Kipindi hiki kinaangazia hali ya utekelezaji wa ahadi zilizotolewa wakati wa Kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa kupitia kwa Bi Lukia Mnyachi Mwenyekiti wa kijiji cha Nyengedi ambae ni mwanamke pekee aliyefanikiwa kupata kuwa mwenyekiti wa kijiji kwa kata…

23 March 2025, 15:39 pm

TMA Mtwara yahimiza wananchi kufuatilia utabiri wa hali ya hewa

Haya ni maadhimisho ya 75 tangu kuanzishwa kwa shirika la hali ya hewa Duniani mnamo March 23 ,1950 ambapo  Tanzania ikiwa nchi mwanachama 193 wa WMO na kwa Mtwara mjini yameadhimishwa katika chuo cha kilimo cha MATI Naliendele Mtwara. Na…

21 March 2025, 15:39 pm

TAMWA yahamasisha wanawake kugombea nafasi za uongozi

Mwaka 2025 Tanzania inatarajia kufanya uchaguzi mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais ambapo kupitia mafunzo hayo yatawawezesha waandishi wa habari kupitia vipindi vyao kushawishi wanawake kuingia katika kinyanyiro cha uchaguzi. Na Mwanaidi Kopakopa Leo tarehe 21 Machi 2025, Chama cha…

20 March 2025, 09:13 am

TASA yatambulisha mradi wa ‘Amani Yetu Kesho Yetu’ Mtwara

Mradi wa Amani Yetu Kesho Yetu unaonekana kuwa ni hatua nzuri ya kujenga jamii yenye umoja na amani, hasa kwa kuhusisha vijana na wanafunzi ambao wapo katika hatari ya kutumbukia katika uvunjifu wa amani katika jamii Na Musa Mtepa Shirika…

Vision and Mission

Who we are

JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.

Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.

Vision

The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.

Coverage:

Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.