Jamii FM
Jamii FM
28 July 2025, 16:50 pm
“Tunatoa wito wa kuchukua hatua za pamoja, utunzaji wa miundombinu, kuboresha miundombinu, kuwahamisha watu kutoka maeneo hatarishi na kuimarisha elimu ya tabianchi“ Na Musa Mtepa, Mabadiliko ya hali ya hewa yanaathiri maisha ya Watanzania, hasa katika mikoa ya Kusini kama…
28 July 2025, 10:58 am
Kata ya Chuno iliyopo Manispaa ya Mtwara Mikindani yenye jumla ya watia nia 10 wanaowania nafasi ya udiwani, Mariam Chibwalo ndiye mwanamke pekee aliyejitokeza kuomba ridhaa ya chama. Na Mwanaidi Kopakopa Kujiamini na uzoefu katika siasa ni miongoni mwa silaha…
23 July 2025, 22:45 pm
Mradi wa Kuwawezesha Mabinti Kupaza Sauti umepongezwa kwa kuleta mabadiliko chanya kwa wasichana Mtwara kwa kuwaongezea ujasiri, sauti na ushiriki katika maamuzi muhimu. Awamu ya tatu imezinduliwa Julai 2025, ikilenga kufikia mabinti wengi zaidi na kushirikisha jamii kwa upana. Na…
23 July 2025, 12:35 pm
Omari Bakari Hidobelele (35), mkazi wa Madangwa, Lindi, amekutwa amejinyonga kwa kutumia mkanda wa suruali. Polisi wamesema marehemu alikuwa na msongo wa mawazo. Familia imeshangazwa na tukio hilo, ikieleza kuwa hakuwa na matatizo yoyote. Polisi wamehimiza jamii kusaidia wenye changamoto…
22 July 2025, 16:44 pm
Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) imesema uzalishaji wa korosho umeongezeka hadi tani 528,000 msimu wa 2024/2025, kutokana na pembejeo za ruzuku. Mapato ya kigeni pia yameongezeka. Na Musa Mtepa Utoaji wa pembejeo za ruzuku kwa wakulima wa korosho umeleta mapinduzi…
22 July 2025, 12:04 pm
Moto umeteketeza nyumba tano katika kijiji cha Mnaida, kata ya Tangazo, Mtwara Vijijini huku zingine mbili zikiezuliwa ili kuzuia kuenea kwa moto huku chanzo chake kikiwa bado hakijajulikana na uchunguzi unaendelea wakati huo Serikali na taasisi mbalimbali zimeanza kutoa msaada…
18 July 2025, 11:08 am
Wasimamizi wa uchaguzi Lindi na Mtwara wamehimizwa kuzingatia Katiba, sheria na kanuni kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025. Mafunzo ya siku tatu yamehitimishwa Mtwara, yakilenga kuwajengea uwezo. Washiriki wameahidi kuwa mabalozi wa elimu hiyo kwa wenzao Na Musa Mtepa Wasimamizi na waratibu…
18 July 2025, 10:47 am
Wakulima wa Mwambo (Mbuyuni), Kilambo – Mtwara Vijijini, wameiomba serikali kujenga daraja la kudumu Mtondoni kurahisisha kilimo, uvuvi na usafiri. Wanasema daraja la muda halitoshelezi, hasa masika, na linahatarisha usalama wa wakazi Na Musa Mtepa Wakulima katika eneo la Mwambo…
16 July 2025, 11:26 am
“Maafisa wa uchaguzi wametakiwa kufuata misingi ya kikatiba na kisheria ili kuhakikisha uchaguzi huru na wa haki,” amesema Balozi Mapuri, katika mafunzo yaliyofanyika Mtwara yakiongozwa na INEC Julai 15, 2025 NA Musa Mtepa Maafisa wa usimamizi wa uchaguzi wametakiwa kufuata…
14 July 2025, 22:16 pm
Wananchi wa Kilambo, Mtwara, wameiomba serikali kurejesha feri ya MV Kilambo ili kuondoa adha ya usafiri, gharama kubwa na hatari ya kutumia viboti vidogo kuvuka mpaka kuelekea Msumbiji Na Musa Mtepa Baadhi ya wananchi na watumiaji wa kivuko cha Kilambo…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.